Jamani, simu yangu inatumia sana bandle la internet. Je, nifanye njia ipi kupata bundle kwa bei nafuu kwani nataka kuanza kusoma kwa kutumia online mecahnisns.
Hivi wale wa internate cafe mbona saa nzima wanacharge book tu. Je, wao wanafanyaje kupata bandle kubwa Kwa bei nafuu na hadi wanapata faida?
Niko mbezi Dar naomba ushauri
Hivi wale wa internate cafe mbona saa nzima wanacharge book tu. Je, wao wanafanyaje kupata bandle kubwa Kwa bei nafuu na hadi wanapata faida?
Niko mbezi Dar naomba ushauri