1. Tafuta helaJamani,,simu yangu inatumia sana bandle la internate.Je nifanye njia ipi kupata bundle kwa bei nafuu kwani nataka kuanza kusoma kwa kutumia online mecahnisns.Hivi wale wa internate cafe mbona saa nzima wanacharge book TU,,je wao wanafanyaje kupata bandle kubwa Kwa Bei nafuu na hadi wanapata faida?
Niko mbezi Dar nakmba ushauri
bandle la internate.
Bando kubwa, pesa kubwa.Jamani,,simu yangu inatumia sana bandle la internate.Je nifanye njia ipi kupata bundle kwa bei nafuu kwani nataka kuanza kusoma kwa kutumia online mecahnisns.Hivi wale wa internate cafe mbona saa nzima wanacharge book TU,,je wao wanafanyaje kupata bandle kubwa Kwa Bei nafuu na hadi wanapata faida?
Niko mbezi Dar nakmba ushauri
NdiyoUmesema internate?
Unafanyaje?Post paid ndo hbr saiv..
Au Airtel Sme
Naiangakiwa wapi?Weka ON Data saver
naiangalia wapi kwenye simu?saidia mtaalamuWeka ON Data saver
una tumia mtandao gnUnafanyaje?
Aina gani Simu yakonaiangalia wapi kwenye simu?saidia mtaalamu
Kwa wale tunaotumia samsung iz za mkopooo kama a04sAina gani Simu yako
Setting, Connection, Data usage, Mobile data usage, Data saverKwa wale tunaotumia samsung iz za mkopooo kama a04s
Shukran kiongozSetting, Connection, Data usage, Mobile data usage, Data saver
Hii Airtel sme ikojePost paid ndo hbr saiv..
Au Airtel Sme
Hii Airtel sme ikoje