Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninamiliki simu/handset moja ya kichina ina line mbili, ni handset matata sana, sasa mfumo wa sauti umejifunga...naleta kwenu wataalamu mnisaidie naweza vipi ku-restore factory settings, wakati sijui password yake ? Nokia N95....ya kichina.
Hapaswi kulaumiwa huyu bwana ila kukumbushwa yakwamba,ameshasema kuwa simu yake ni matata,so mwache imletee matata yake!!!!Handset matata halafu imechemsha ??? 🙂
ASANTE KWA MSAADA WAKO wa kiufundi , ingawa haukunisaidia sana,Password ambayo huwa ni default kwa cmu zote kama haujawahi ku-set ni 12345 kwa simu zenye passwords za digit 5 au ni 0000 kwa simu za password za digit 4, jaribu hizo mbili, endapo utashindwa kabisa aheri uende kwa wataalamu wanaotumia softwares kurekebisha simu.
asante kwa msaada wako wa kiufundi , ingawa haukunisaidia sana,
sasa nimeamini kweli mchina hana maana, hii simu inanitesa tangu siku ya kwanza.
acha nikaone mafundi, ila wito , achaneni na simu za kichina.
Rahisi aghali ndugu
mchina jamani mchina kaja kuharibu soko la watu haya mnaojua utaalam msaidieni mwenzenu
Ninamiliki simu/handset moja ya kichina ina line mbili, ni handset matata sana, sasa mfumo wa sauti umejifunga...naleta kwenu wataalamu mnisaidie naweza vipi ku-restore factory settings, wakati sijui password yake ? Nokia N95....ya kichina.
Wao wenyewe wanasema tunatengeneza circuit kwa ajili ya level zote,so kumbuka China bei ndiyo inayodetermine quality,Kuweni makini na hao wafanyabiashara wetu ambao ndio source ya matatizo.Mchina yupo very flexible. Sio tu kwenye Simu bali hata majengo,barabara nk
Nimeongea hivi kwakuwa ninawafahamu wachina,ninafana kazi na wachina na ninaijua china na si watetei wachina.
Nawakilisha!
dah hiyo kitu ni rahisi sana kurekebisha, tatizo niko mbali na wewe...ningekuformatia na nikatoa hayo mapasiwedi yao...kukuelekeza kwa mdomo ni riski kwani hizo hazichelewi kuwa bomu...au ukaharibu sistimu zingine...Ninamiliki simu/handset moja ya kichina ina line mbili, ni handset matata sana, sasa mfumo wa sauti umejifunga...naleta kwenu wataalamu mnisaidie naweza vipi ku-restore factory settings, wakati sijui password yake ? Nokia N95....ya kichina.