Simu za maduka ya tigo na utapeli wa ofa za mb

Simu za maduka ya tigo na utapeli wa ofa za mb

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Mwezi huu wa tatu nilienda kumnunulia mdogo wangu simu kwenye duka la tigo nilishawishika kununua simu Ile sababu ya ofa ya kupewa gb kadhaa kwa mwaka lengo langu zile GB zimsaidie kuongeza maarifa kwenye masomo yake ishu ikaanza pale pale kupewa gb pungufu nikauliza kwanini ila nikaambiwa kila mwezi utakuwa ukiipata gb kadhaa hatukupi zote kwa mara moja utakuwa ukipata kila mwezi

Sasa ni mwezi wa pili huu hatuoni gb zile walizotuambia kuwa watakuwa wakitupa kupiga huduma kwa wateja wanasema tunalifanyia kazi miezi miwili imekata mpaka sasa naona tayari nikama tumeshapigwa
 
Mwezi huu wa tatu nilienda kumnunulia mdogo wangu simu kwenye duka la tigo nilishawishika kununua simu Ile sababu ya ofa ya kupewa gb kadhaa kwa mwaka lengo langu zile GB zimsaidie kuongeza maarifa kwenye masomo yake ishu ikaanza pale pale kupewa gb pungufu nikauliza kwanini ila nikaambiwa kila mwezi utakuwa ukiipata gb kadhaa hatukupi zote kwa mara moja utakuwa ukipata kila mwezi

Sasa ni mwezi wa pili huu hatuoni gb zile walizotuambia kuwa watakuwa wakitupa kupiga huduma kwa wateja wanasema tunalifanyia kazi miezi miwili imekata mpaka sasa naona tayari nikama tumeshapigwa
Ulifata utaratibu wa kupata hiyo offer mkuu? Maana kuna utaratibu unapewa
 
Mwezi huu wa tatu nilienda kumnunulia mdogo wangu simu kwenye duka la tigo nilishawishika kununua simu Ile sababu ya ofa ya kupewa gb kadhaa kwa mwaka lengo langu zile GB zimsaidie kuongeza maarifa kwenye masomo yake ishu ikaanza pale pale kupewa gb pungufu nikauliza kwanini ila nikaambiwa kila mwezi utakuwa ukiipata gb kadhaa hatukupi zote kwa mara moja utakuwa ukipata kila mwezi

Sasa ni mwezi wa pili huu hatuoni gb zile walizotuambia kuwa watakuwa wakitupa kupiga huduma kwa wateja wanasema tunalifanyia kazi miezi miwili imekata mpaka sasa naona tayari nikama tumeshapigwa
Wewe ni mdau wa biashara halafu unawasagia kunguni machoni wenzako?
 
Mwezi huu wa tatu nilienda kumnunulia mdogo wangu simu kwenye duka la tigo nilishawishika kununua simu Ile sababu ya ofa ya kupewa gb kadhaa kwa mwaka lengo langu zile GB zimsaidie kuongeza maarifa kwenye masomo yake ishu ikaanza pale pale kupewa gb pungufu nikauliza kwanini ila nikaambiwa kila mwezi utakuwa ukiipata gb kadhaa hatukupi zote kwa mara moja utakuwa ukipata kila mwezi

Sasa ni mwezi wa pili huu hatuoni gb zile walizotuambia kuwa watakuwa wakitupa kupiga huduma kwa wateja wanasema tunalifanyia kazi miezi miwili imekata mpaka sasa naona tayari nikama tumeshapigwa
Tigo ndiyo zao hizo matapeli tu hao
 
Ushatapeliwa mkuu ...........wewe ushangai wanakuuzia gb na tena wanakupa muda mchache wanasema zime expire hata kama ujazitumia ...............wakati walisha kuuzia ......ni zako wanasahau matumizi ni juu yako ........mara utume pesa ipotee kurudisha kipengele....mimi niliacha kununua salio kwa tigo pesa maana ilikuwa kuna muda kama wanachanganyikiwa hivi .......ukiuliza uaambiwa system........sasa sijui aliye set kafa
 
Mimi nilienda kununua simu duka la Tigo ndo nilitaka kulia nmeenda namuuliza mtu bei kakaa anachat hata kunitazama hana mda anamiambia angalia ukipenda sema
Nikatoka zangu nkaenda kununua duka flani mawasiliano sina hamu.
 
Ushatapeliwa mkuu ...........wewe ushangai wanakuuzia gb na tena wanakupa muda mchache wanasema zime expire hata kama ujazitumia ...............wakati walisha kuuzia ......ni zako wanasahau matumizi ni juu yako ........mara utume pesa ipotee kurudisha kipengele....mimi niliacha kununua salio kwa tigo pesa maana ilikuwa kuna muda kama wanachanganyikiwa hivi .......ukiuliza uaambiwa system........sasa sijui aliye set kafa
Utapeli ni mwingi sana mkuu , imagine case kama hizo unanunua Salio hela inakatwa huduma hupati basi rudisheni hela wanajikanyaga kila ukipiga unapewa sababu tofauti na ya mwanzo

Kuna kampuni kama zuku TV ndio kabisaa utapeli nje nje
 
Back
Top Bottom