Lil Sanguine
Member
- Jun 28, 2023
- 16
- 16
Zilikuwa zikiuzwa shilingi ngapi na sasa "zinachuuzwa" kiasi gani?Kwa miezi takribani mitatu iliopita tumeshuhudia simu za oppo zikianza kuuzwa kwa bei ndogo kuliko kawaida kwenu wataalamu wa simu mnafikiri inatokana na nini?
Swali la msingi sanaZilikuwa zikiuzwa shilingi ngapi na sasa "zinachuuzwa" kiasi gani?
Ngoja tuwasikilize isiwe huko shureni warisomea ujinga.
Zinapato moto balaa hizi simu za dubai why? Hazifai kabisa!Used from dubai
Basi ni multi papasi zitumike kama pasi kunyooshea😂Zinapato moto balaa hizi simu za dubai why? Hazifai kabisa!
Najuta sana kununua simu used from dubai ...ilikua google pixel ,ilizima ghafla tuu....mpaka leo iko usingizini .....Zinapato moto balaa hizi simu za dubai why? Hazifai kabisa!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]Najuta sana kununua simu used from dubai ...ilikua google pixel ,ilizima ghafla tuu....mpaka leo iko usingizini .....
Infinix na Tecno tuwape maua Yao ..Najuta sana kununua simu used from dubai ...ilikua google pixel ,ilizima ghafla tuu....mpaka leo iko usingizini .....
Kama simu ni calculator wape hao Tecno na Infinix maua tofauti na hapo hakuna jipya ...Infinix na Tecno tuwape maua Yao ..
Pixel nying ni miyeyusho ,hakuna kitu kabisa ...mbwe mbwe TU[emoji38][emoji38]
.google pixel nying zinaflashiwa kuwa global version...ipeleke wakaiflash tenaNajuta sana kununua simu used from dubai ...ilikua google pixel ,ilizima ghafla tuu....mpaka leo iko usingizini .....
Shureni,warisomea ...ujinga!Ngoja tuwasikilize isiwe huko shureni warisomea ujinga.
Hii ni kweli Jana nilikuwa nimetulia kwa fundi mmoja anawapiga Hela kwenye hizi google pixel ,kuzi update .....google pixel nying zinaflashiwa kuwa global version...ipeleke wakaiflash tena