Simu za Oppo, Vivo, Aquos zikoje na ubora? Wana matoleo mengi balaa

Simu za Oppo, Vivo, Aquos zikoje na ubora? Wana matoleo mengi balaa

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Simu za Oppo, Vivo, Aquos zikoje na ubora? Wana matoleo mengi balaa

Oppo zimefurika sana Tanzania hizi simu yaani wana matoleo mengi balaa hata bei zake sio ghali sana

Wakuu kuna simu nimeona zinaitwa Oppo nafikiri ndo kampuni wana matoleo mengi balaa!! Yaani unaweza kuhesabu kuanzia 2 hadi 99 ni matoleo hayo yaani mfano oppo A1 hadi oppo A99

Hizi simu zipoje na ubora?maana naona zimekua nyingi sana, mapungufu yake ni yapi?

Pia kuna hizi za Vivo, na Aquos ubora wale upoje?
 
Mimi natumia ViVo ni simu bora Sana.Nimenunua yangu 2019 na mpaka leo ni 🔥🔥kila mtu akiiona anaisifia
 
Oppo haina shida nimetumia kipindi flani simu yangu ya galaxy note 10+ ilipokufa kioo, inakaa sana na chaji ni imara na hata kimuonekano ni kama iphone😁😁😁
 
Ni kweli kumekuwa na simu nyingi mitandaoni aina ya (oppo,vivo,aquos) na bei ake ni ndogo tu yaan ranging from 100k to 150k sababu ya kuuzwa hivyo ni kwamba simu hizo zina android version ndogo tena haziwezi kuupdate tena kwahiyo znauzwa cheap ili zisije zikakosa soko coz kuna apps nyingi ztakuwa hazifanyi kazi eg:whatsapp na pinterest zinazotaka android version8:0:1 wakati simu hizo zina version ya 5.0:1 to 7:0:1
Kuweni makini na hizo purchase♣️❤️♠
 
Oppo ni overrated phones..
Hizi low end mkuu ndio overated.. Oppo simu zake za bei ya chini nyingi hazitoi specifications ambazo ni competetive. Upande wa midrange Oppo Reno series ziko vizuri nazo
Na ukija kwenye flagship huku ndio Oppo anakopaweza, Fuatilia mfano Oppo Find X7 Ultra, ina kamera nzuri kuliko hata Samsung Galaxy S24 Ultra, comparison nyingi Twitter zinaprove hilo na kila specs yake ni high end
Again Oppo Find N3 ni nzuri kuliko Samsung Galaxy Z Fold 5. Bado kuna N3 Flip, etc

So naweza kusema upande wa low end Oppo ni overated yeah ila kwenye flagship nope, Oppo wana flagship nzuri sana. Pia usisahau ColorOS ina smoother Animation compared to One UI.
 
Vipi kuhusu vivo Y93 Gb 128?
IMG-20240705-WA0079.jpg
 

Attachments

  • IMG-20240705-WA0078.jpg
    IMG-20240705-WA0078.jpg
    41.1 KB · Views: 14
Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
 
Back
Top Bottom