Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,784
Redmi note ndy hatari ya danger.Atleast vivo .
Nimenunua Banana Morocco mkuu, na ni brand new.Ulinunua wapi mkuu? Sio refurb ama Copy?
Hili tatizo sio Common na hizo cpu za hizo simu ni lowend, unlikely ku overheat.
Duh...Mkuu utakuwa umepewa redmi copy.
Nimewewahi kuwa na redmi note10S Kwa mwaka mzima bila kuwa na tatizo lolote..hadi nikaigawa Kwa jamaa.
Nina jamaa yangu mmoja nae alinunuwa redmi 10 s,,anayo hadi sasa haina shida zozote.
Zote tulinunuwa jariri shop Saudi Arabia.
Na sasa nimenogewa na redmi note Brand,,
nimenunuwa redmi note11 S wala sijuti...
Camera 108 pixels, ram 8,, battery 5200..
Tafuta redmi note 10 PRO hutojutia maamuzi yako.
Pendelea kununuwa vitu original mkuu.
Mkuu utakuwa umepewa redmi copy.
Nimewewahi kuwa na redmi note10S Kwa mwaka mzima bila kuwa na tatizo lolote..hadi nikaigawa Kwa jamaa.
Nina jamaa yangu mmoja nae alinunuwa redmi 10 s,,anayo hadi sasa haina shida zozote.
Zote tulinunuwa jariri shop Saudi Arabia.
Na sasa nimenogewa na redmi note Brand,,
nimenunuwa redmi note11 S wala sijuti...
Camera 108 pixels, ram 8,, battery 5200..
Tafuta redmi note 10 PRO hutojutia maamuzi yako.
Pendelea kununuwa vitu original mkuu.
Nilitumia Redmi 9c, haikuwa na shida, ikaibiwa, Japo baadae nikaja kuipata but tayari nimeshanunua Redmi 10. Hii Redmi 10 ndio baada ya muda ilianza usumbufu wa kuchemsha. Na sasa ni Redmi note 10s.Walete Redmi
Daaah ππππUlidhani ukinunua simu kanjanja zitakuacha salama hapa mm nacomment na redmi na inakucheka ww unaepata shida na redmi copy
Kufa hufi ila cha moto utakionaDaaah ππππ
Mkuu, umeamua kunikata maini kabisa
Usiseme hivi.Kufa hufi ila cha moto utakiona
Kwan tatizo ni hiyo 530? Unaweza toa hata 2m na ukauziwa kitu fake na walishajua hyo 10 ni copy ndo maana wakakupa copy nyingineπππππUsiseme hivi.
Wakati nabadilishiwa simu, Redmi 10 zilikuwa zimeisha, nikaongeza hela kidogo nikapewa note 10s...
Laki 530 miezi miwili tatizo ni lile lile. Nimejaribu kuweka screenshot ya hiyo overheating alert Naona Nimeshindwa, natumia browser.
Usawa huu simu natoa wapi tena?
Subiri nilie kwanza π
Wewe sio mzima.... π€£Kwan tatizo ni hiyo 530? Unaweza toa hata 2m na ukauziwa kitu fake na walishajua hyo 10 ni copy ndo maana wakakupa copy nyingineπππππ
Samahani mkuu nje ya mada kidogoUlinunua wapi mkuu? Sio refurb ama Copy?
Hili tatizo sio Common na hizo cpu za hizo simu ni lowend, unlikely ku overheat.
Umedownload wapi hio app?Samahani mkuu nje ya mada kidogo
Natumia redmi note 11, tatizo lake inakataa kuinstall gbWhatsapp, inadowload apk yake mpk mwisho ila kwenye kuinstall inakataa..msaada mkuu
Pole kwanza kwa hio bei umepigwa vibaya mno mno mno yaani uwiiiiiiiiiUsiseme hivi.
Wakati nabadilishiwa simu, Redmi 10 zilikuwa zimeisha, nikaongeza hela kidogo nikapewa note 10s...
Laki 530 miezi miwili tatizo ni lile lile. Nimejaribu kuweka screenshot ya hiyo overheating alert Naona Nimeshindwa, natumia browser.
Usawa huu simu natoa wapi tena?
Subiri nilie kwanza π
Ww ungenunua kwa shngpPole kwanza kwa hio bei umepigwa vibaya mno mno mno yaani uwiiiiiiiii