me mlokole
Member
- Jul 17, 2015
- 27
- 11
Kha!!
Jf imevamiwa hii nayo news..
Zuwenna mambo?Kha!!
Jf imevamiwa hii nayo news..
Ungeanza kusema baya lako kwanza ingekuwa vizuri
Nakuonaa nakuonaaaZuwenna mambo?
Ufahamu wako umetiwa Giza ilihali huna habariMambo yako ya ulokole tutolee humu...Tafadhali, kama hujui kupost mada nzuri sema usaidiwe...Eboo
Dada yangu wa hiari nakuona nakuona!!......sasa hivi nipo kwenye mchakato wa kukutafutia wifi!Nakuonaa nakuonaaa
Basi njoo mulikia na uwashe taa huku kwenye ufahamu wangu mkuu...Ufahamu wako umetiwa Giza ilihali huna habari
Mie nakula tu ubuyuu hapaDada yangu wa hiari nakuona nakuona!!......sasa hivi nipo kwenye mchakato wa kukutafutia wifi!