ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Ni simu chache nimeona kwa watu ndio hazina crake kwenye kioo.katika simu kumi utakuta simu Saba Zina crake.tumeshindwa kununua protector original.wengi ambao simu zao zimevunjika Ni masela,ma beki 3,wakina mama,walevi Ila watu ambao wako ofisini simu zao ziko vizuri.