๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜‡๐—ฒ๐˜๐˜‚ ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ผ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ถ๐—ธ๐—ผ ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐—ผ ๐˜‚๐—น๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐—ป๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ผ

๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜‡๐—ฒ๐˜๐˜‚ ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ผ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ถ๐—ธ๐—ผ ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐—ผ ๐˜‚๐—น๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐—ป๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ผ

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
620
Reaction score
1,240
๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜‡๐—ฒ๐˜๐˜‚ ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ผ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ถ๐—ธ๐—ผ ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐—ผ ๐˜‚๐—น๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐—ป๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ผ

1_20241208_015458_0000.png


Inawezekana kama ni jambo la kushangaza lakini ndo uwalisia!! Utafiti unaonyesha simu tunazozimiliki ni chafu kuliko hata kile kiti Cha chooni au sinki la chooni.

Uchunguzi umefanyika na kugundulika kuwa simu zetu tunazozitumia zina bakteria wengi kuliko hata kiti Cha chooni. Watu wengi hawapendi kusafisha simu zao na kufanya kuwa ni sehemu ya mazalia ya vijidudu.

2_20241208_015458_0001.png


Tofauti na choo ambapo usafishwa mara kwa mara lakini kwenye simu uchukua bakteria wengi kupitia mikono Yetu, nyuso zetu na kusababisha kuchangia kuongezeka kwa viini vyao.

โœ“ simu inaweza kubeba bakteria mara 10 zaidi ya viti vingi vya chooni au sinki za chooni.

3_20241208_015458_0002.png


โœ“ simu zetu huweza kubeba virusi vinavyopeleka watu kupata ugonjwa wa mafua, baridi, kipindupindu, minyoo nk.

4_20241208_015458_0003.png


Ebu tuambie mara ya mwisho kusafisha simu yako ilikua lini tuachie maoni yako ?
 
Pesa zenyewe je? Maana ni chafu mbaya kuliko simu.

Lakini hizi simu mbona eti tunaambiwa zinakuja na mfumo fulani wa mionzi ya ndani kwa ndani ambayo haiwezi kutahaifu vijududu wakiwemo bakteria. Wakitua tu lazima wafe palepale.
 
Back
Top Bottom