Henry Temu
Member
- Aug 11, 2012
- 85
- 22
- Thread starter
-
- #21
Mjomba,uncle halafu . . . . . . !
shituka acha ubwege..
c mara nyng ila huwa inatokeaNjomba wa usiku wa saa 5? Labda ka kuna matatizo kwenye familia. Je inajitokeza mara kwa mara?
Kama huamini kama huwa anaongea na mjomba wake,muombe namba za mjomba wake huyo,ili next time ukikuta namba busy unajaribu kupiga ya mjomba uhakikishe kama ni kweli huwa anaongea na uncle au ni kidumu chake
Punguza vurugu
anacheka akinikumbuka mimi na vichekesho vyangu lol
mumewe yupo but not this funny lol
Unampigia cmu mpenzi wako ucku sa 5 unamtafuta kesho yake anakuambia alikua anaongea na mjomba wake,kuna ukwel hapo?
kwa nini kusiwe na ukweli, je kama mjomba anaishi ughaibuni!!!
punguza woga kijana sisi wakina (eva/hawa) wajanja sana hata mkiwa mmekumbatiana anaweza akawa anachat na kibuzi ,af mbona sa 5 mapema tu au ni mkeo na wewe uko mbali nae af unajua hana mjomba ?naona kama una wivu sana wewe!mchunguze taratibu kama una mashaka nae, mtani wangu usijepata presha bure, kumbe wifi yangu walaa hana mambo hayo?au kuna kitu umeficha hujatuambia,funguka mana mficha maradhi kifo kinamuumbua....
inategemea
Mumeo hauko naye mcheke wote?
mjomba ni sugar daddy wake
so yuko sahihi
anamuita mjomba ndo jina alilochagua kumuita
Yaani ulivyoona ipo busy hukupiga tena mpaka kesho yake? Ndo mana anaongea na wajomba!
kwa hiyo ulitaka aongee na bosi wake ndo ufurahi au?