Simuamini Wenje, Mnyika na Mbowe

Simuamini Wenje, Mnyika na Mbowe

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Wakati wa uchaguzi wa Serikali za mitaa. Mbowe , Mnyika na Wenje walihamasisha CHADEMA ishiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa. Pamoja na wengi kuona kasoro zilizokuwepo za uchaguzi kusimamia na TAMISEMI.

Mwenyekiti Mbowe ndio akaja na kuweka maamuzi ya kwba CHADEMA itashiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa baada ya uchaguzi CHADEMA ikapata Asilimia 0.78. Wote, Cha kushangaza wote walliopiga kelele CHADEMA ishiriki wakaingia mitini kimya. Lema siku ya kupiga kura akajidai kuzira kwamba hatajisumbua kuhangaika na huo uchaguzi CCM wakitaka wachukue kila kitu. Nikawa najiuliza walishiriki Kwa nini?.

Nimegundua ni utapeli wa Wenje, Mnyika na Mbowe. Ni kama walitumika Kwa kujua. Leo Mbowe anasema walishiriki uchaguzi ili watu waone panapovuja. Nani hajui tabia za CCM na uchaguzi?. Mimi nasema kushiriki Kwa CHADEMA kulikuwa Kuna mkono wa mtu akawatumia Mnyika, Wenje na Mbowe kuhamasisha CHADEMA ishiriki.

Narudia Tena simwamini Mbowe Tena, nilisimama naye wakati wa Lowassa pamoja kwamba sikumtaka Lowassa ila Kwa haya anayofanya Sasa hivi kuingiza chama chaka simkubali kabisa pamoja na akina Wenje na Mnyika. Hawa watu wakiendelea watakiua Cha chetu Cha CHADEMA.
 
Wakati wa uchaguzi wa Serikali za mitaa. Mbowe , Mnyika na Wenje walihamasisha CHADEMA ishiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa. Pamoja na wengi kuona kasoro zilizokuwepo za uchaguzi kusimamia na TAMISEMI.

Mwenyekiti Mbowe ndio akaja na kuweka maamuzi ya kwba CHADEMA itashiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa baada ya uchaguzi CHADEMA ikapata Asilimia 0.78. Wote, Cha kushangaza wote walliopiga kelele CHADEMA ishiriki wakaingia mitini kimya. Lema siku ya kupiga kura akajidai kuzira kwamba hatajisumbua kuhangaika na huo uchaguzi CCM wakitaka wachukue kila kitu. Nikawa najiuliza walishiriki Kwa nini?.

Nimegundua ni utapeli wa Wenje, Mnyika na Mbowe. Ni kama walitumika Kwa kujua. Leo Mbowe anasema walishiriki uchaguzi ili watu waone panapovuja. Nani hajui tabia za CCM na uchaguzi?. Mimi nasema kushiriki Kwa CHADEMA kulikuwa Kuna mkono wa mtu akawatumia Mnyika, Wenje na Mbowe kuhamasisha CHADEMA ishiriki.

Narudia Tena simwamini Mbowe Tena, nilisimama naye wakati wa Lowassa pamoja kwamba sikumtaka Lowassa ila Kwa haya anayofanya Sasa hivi kuingiza chama chaka simkubali kabisa pamoja na akina Wenje na Mnyika. Hawa watu wakiendelea watakiua Cha chetu Cha CHADEMA.
Mi namuunga mkono Mbowe kwa lolote lile. Wakati yupo Gerezani matanganyika yalikua busy na mpira... zinaa na miziki ya akina Diamond na upuuzi mwingine. Hii nchi itakombolewa siku mitanganyika itakapoamka na kupigania mambo ya msingi kama wakenya!!
 
Wakati wa uchaguzi wa Serikali za mitaa. Mbowe , Mnyika na Wenje walihamasisha CHADEMA ishiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa. Pamoja na wengi kuona kasoro zilizokuwepo za uchaguzi kusimamia na TAMISEMI.

Mwenyekiti Mbowe ndio akaja na kuweka maamuzi ya kwba CHADEMA itashiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa baada ya uchaguzi CHADEMA ikapata Asilimia 0.78. Wote, Cha kushangaza wote walliopiga kelele CHADEMA ishiriki wakaingia mitini kimya. Lema siku ya kupiga kura akajidai kuzira kwamba hatajisumbua kuhangaika na huo uchaguzi CCM wakitaka wachukue kila kitu. Nikawa najiuliza walishiriki Kwa nini?.

Nimegundua ni utapeli wa Wenje, Mnyika na Mbowe. Ni kama walitumika Kwa kujua. Leo Mbowe anasema walishiriki uchaguzi ili watu waone panapovuja. Nani hajui tabia za CCM na uchaguzi?. Mimi nasema kushiriki Kwa CHADEMA kulikuwa Kuna mkono wa mtu akawatumia Mnyika, Wenje na Mbowe kuhamasisha CHADEMA ishiriki.

Narudia Tena simwamini Mbowe Tena, nilisimama naye wakati wa Lowassa pamoja kwamba sikumtaka Lowassa ila Kwa haya anayofanya Sasa hivi kuingiza chama chaka simkubali kabisa pamoja na akina Wenje na Mnyika. Hawa watu wakiendelea watakiua Cha chetu Cha CHADEMA.
MBOWE haaminiki, yeye na macho yake
 
Anzisha chama chako ndio ufanyage unayoyataka wewe na umbumbumbu wako.unafikiri kujenga chama ni kazi nyepesi kama unavyoandika hapa ukiwa umejificha kwenye fake ID? Huna mchango wowote kwa CHADEMA halafu unakuja kupiga makelele yako hapa.
 
Lowasa alipoletwa CHADEMA tu niligundua yote ni yaleyale tu mafisadi

Twende na CHAUMA
 
Anzisha chama chako ndio ufanyage unayoyataka wewe na umbumbumbu wako.unafikiri kujenga chama ni kazi nyepesi kama unavyoandika hapa ukiwa umejificha kwenye fake ID? Huna mchango wowote kwa CHADEMA halafu unakuja kupiga makelele yako hapa.
Wewe tunakujua, unalipwa kwa kaz ya uchawa
 
Mbowe anataka tu Uenyekiti, lakini sidhani kama anahitaji la kuiondoa CCM madarakani, anataka tu kusindikiza sindikiza CCM huku akilambishwa lambishwa Asali.

Kwasisi tunaotaka mabadiliko ya kweli Nchi hii itatubidi tumshauri Lissu ili tuanzishe Chama kama atafanyiwa Uduanzi kwenye Uchaguzi wa Uenyekiti hapo Mwakani.
 
Anzisha chama chako ndio ufanyage unayoyataka wewe na umbumbumbu wako.unafikiri kujenga chama ni kazi nyepesi kama unavyoandika hapa ukiwa umejificha kwenye fake ID? Huna mchango wowote kwa CHADEMA halafu unakuja kupiga makelele yako hapa.
Chawa mmna hasira ukombozi wa kweli unakuja, mna hofu tundu anakuja kufuta sisa za ubabaishaji

Hela za mama Abdul zimepotea bure
 
Mbowe anataka tu Uenyekiti lakini sidhani kama anahitaji la kuiondoa CCM madarakani anataka tu kusindikiza sindikiza CCM huku akilambishwa lambishwa Asali.

Kwasisi tunaotaka mabadiliko ya kweli Nchi hii itatubidi tumshauri Lissu ili tuanzishe Chama kama atafanyiwa Uduanzi kwenye Uchaguzi wa Uenyekiti hapo Mwakani.
Usihofu atashinda kama alivyoshinda Boniface Mwambukusi pamoja na figisu za dola
 
Back
Top Bottom