Simuelewi huyu kimwana.

khaaaaaaah,we jamaaaa!!
 
Huyo anakutaka sema aliona noma kukubali haraka,kama unamtaka live na bado hujapata mwingine,then huyo ameshakubali.Tatizo la mademu wengi huwa ni wazito kutoa maamuzi haraka,inawezekana hana mtu ila alikuwa anakupima utakaza kiasi gani..
 
mkuu unajua bima?amekugeuza bima ili plan A ikikwama plan B unaingia
 

kosa ni lako wewe..alikua anapima imani na mapenzi yako kwake.. ilibidi uendelee muhangaikia... ila kwa vile karudi... maliza kabisa.. ila ukipiga tu muache kwani ninahisi ni kakicheche...
 
Kwanini usimuulize YEYE anachomaanisha?! Hapa hamna mwenye jibu la uhakika...kila mtu anahisi ahisivyo.Muuloze mhusika!!


mmmhhhhhh.....!!!!???... lizzy hako kadada ni ka kicheche na kanataka kupigwa.... afu usiseme naropoka.. huo ndio ukweli
 
Hapo kwenye red sijaelewa
 
Sifikiri kama tunamtendea haki huyo binti kwa kumfikiria kuwa ni kicheche, anakufanya kama bima, plan A na B, Alokuwa naye kamtema sasa anakwenda kwa mwengine....na shutuma kama hizo.
Mimi nabaki na waliotoa maoni kuwa wasichana wanahitaji uhakika na usalama, pamoja na kukimbia dhana ya kuwa akikubali haraka ataonekana malaya.
Mkuu, ikiwa hivyo kupigiwa simu, kukwambia anakumiss na kupenda sauti yako kunakupa dalili ya kuwa amebadili mawazo, na ikiwa wewe unampenda, jipange upya na umteke moyo awe wako. Ikiwa huna haja naye, basi chunga heshima yako na yake kwa kuepuka "kumchukua, kumtumia na kumtema".
 
mpe kitu roho inapenda maneno mazuri na mawazo mazuri...sex not allowed..
 
huyo mchukue mpeleke chumbani
mvue nguo zote mpige vidole kisha mwambie avae nguo zake aende asije akachafua dude lako bure...alipiga teke pochi la mzungu akati lina madola lazma ajutie mshenzi huyo imekula kwako ha2bembelez wanaume wa ckuhizi ukilinga 2pa kule
 
Msichana anayetaka uhakika kama nampenda atafute neno tofauti la kuniambia, siyo kunitamkia kuwa ana mtu na wanapendana sana... Kwangu mimi sentensi ya hivo inani-turn off na nitakuchukulia kama dadaangu, hakuna namna utanipata tena.. Kama unahitaji mda mwambie mtu, hauko tayari au unahitaji mda, nk. Lkn siyo kunijengea picha kuwa kuna mtu mnapendana sana kumbe unavuta mda sijui kufikiria au kunichunguza, hamna kitu hapo... wizi mtupu.. Kuna watu ukifanya hivyo imekula kwako.
 
khaaaah!!broh wizo,huo c unyama lakn?
 
sawa sawa mkuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…