Habari wana jamvi la malavidavi. Naombeni mchango wenu katika hili ,niko kwenye mahusiano na kijana mmoja ila haongei ni mkimya sana hajui hata kusema asante. Hata sim zake ni za kikazi tu.marafiki anao akipiga story ni kazi au bizness. Hata kunitöngoza aliongea kidogo tu. Hata marafiki hawamuelewi. Nifanyeje ananipenda sana na me pia nampenda. Naomba mwongozo tafadhali.