mpeleke akachangamane n watoto....ataongea tu..!!Habari wana jamvi la malavidavi. Naombeni mchango wenu katika hili ,niko kwenye mahusiano na kijana mmoja ila haongei ni mkimya sana hajui hata kusema asante. Hata sim zake ni za kikazi tu.marafiki anao akipiga story ni kazi au bizness. Hata kunitöngoza aliongea kidogo tu. Hata marafiki hawamuelewi. Nifanyeje ananipenda sana na me pia nampenda. Naomba mwongozo tafadhali.
Wanaume huwa hatuongei sana dada........... mie sa nyingine huwa nashindwa kujua akina dada hua mnaongea nini muda wote.Habari wana jamvi la malavidavi. Naombeni mchango wenu katika hili ,niko kwenye mahusiano na kijana mmoja ila haongei ni mkimya sana hajui hata kusema asante. Hata sim zake ni za kikazi tu.marafiki anao akipiga story ni kazi au bizness. Hata kunitöngoza aliongea kidogo tu. Hata marafiki hawamuelewi. Nifanyeje ananipenda sana na me pia nampenda. Naomba mwongozo tafadhali.
mpeleke akachangamane n watoto....ataongea tu..!!
nshakutana nae kama huyo,siku akiongea sanaaa na kucheka ujuwe anataka mchezo,mpige chini yaani wanauzi hao
Taratibu Chetuntu,mwanaume kuongea sana si sifa nzuri....Nenda nae taratibu,akikuzoea atakuwa comfortable kuzungumza zaidi na kufanya mambo mengi na wewe.Hata kama asipobadilika,hicho si kilema,unaweza jifunza kuishi nae vile alivyo.Best Wishes!
Inategemea na wewe mwenyewe kama humsemeshi unataka aanze kuimba mashairi ya kina Fid Q? anzisha somo uone atakavyojibu!!!!
nshakutana nae kama huyo,siku akiongea sanaaa na kucheka ujuwe anataka mchezo,mpige chini yaani wanauzi hao
Unataka aongee nini??? Longolongo nyingi ni wizi mtupu mkimya ndo poa hana uongo ila kaa chonjo wanakuwa na hasira hao??? Usiombe kusikia maana ataona kosa la kwanza hasemi, la pili hivyo, la tatu hivyo la nne umekwisha kama wewe ni unaongea sana jitahidi kupunguza kurap kuwa kama mwenzio hiyo ndo kusoma weakness za mwenzako!!!