Meritta
JF-Expert Member
- Apr 26, 2011
- 1,303
- 294
hi wana jf,nina mpenzi wangu tuliyedumu miaka mitano sasa but kwa kipindi hiki simuelewi amebadilika,ananfanyia visa mara ohh mimi namdharau na muona boya,simpend but kiukwel nampend na sijawai kumdharau kibaya zaid anamwambia rafki yang mimi na yeye it over,me mwenyewe hajaniambi zaidi ya kuniambia nisimpigie wala nisimtumie masseg na namba zangu kafuta zote,sababu maalum hatoi,roho inaniuma bado nampend,nifanye nini ndugu zangu