Simulewi mwanaume huyu!!!!

Sioni tatizo ila akikuomba pedi tuelezee pengine watu watachambua hoja pamoja na hii ya leo kuweza kulianika tatizo.

My take.

Perfume za kike na deodorant nyingi harufu yake ina kuwa ya kupooza "cool" na si ya kuumiza kichwa hujawahi kuona mtu kapita dakika kumi na tano zilizopita lakini harufu yake bado ipo? Kwahiyo wanaume wengine hutumia baadhi ya perfume za kike zilizotulia harufu zake mfano kuna kapafyum ka bei rahisi kanaitwa bondage ya kike ni very light lakini ya kiume ipo strong!
 
Du pedi tena!!
 
Labda hizo unazomnunulia ni za kuchakachua.. akipata kitu genuine mwenyewe atakubali, jaribu kumnunulia Hugo Boss, Obsession by Calvin Klein, Acqua Di Gio by Giorgio Armani; am sure hizo hata wewe kila akivua shati utakuwa unalinusa:smile-big::lying:
kusema kweli huwa namnunulia genuine perfumes, hata kama unahisi namnunulia zilichakachuliwa tell me about hizo lotion,shower gel na body spray na zenyewe ni za kichina???
 
Hakuna shida, inawezekana ana nyumba ndogo kwa kuficha siri, inabidi atumia kila kitu ambacho unacho wewe, vilevile kipo nyumba ndogo! usije shtuka harufu tofauti..
 
Inawezekana anapenda kutumia MTANDAO WA EXTREME!:smile-big:
 
huyo ana mwanamke mwingine ambaye pia anatumia perfume kama zako, hiyo anatumia zako ili hata akiwa na yule mwingine wewe using'amue and vice versa.
 
Kwahiyo siku mimi nikimuomba girlfriend wangu deodorant yake halafu akaja hapa kuanzisha thread kama huyu first impression nitaambiwa nina mahusiano ya kishoga......Wabongo bwana kwa kuosha vinywa
 
kusema kweli huwa namnunulia genuine perfumes, hata kama unahisi namnunulia zilichakachuliwa tell me about hizo lotion,shower gel na body spray na zenyewe ni za kichina???

From the above naona anapenda harufu nzuri nzuri flowerly.... basi cha kufanya jaribu hizi Hugo Boss, Obsession by Calvin Klein, Acqua Di Gio by Giorgio Armani; kama hatapenda basi jaribu unisex perfurmes na kama hatapenda basi mwambie muuza duka ni perfume gani za kiume zenye harufu kali na ya kuvutia i think sio tatizo bali anapenda harufu nzurinzuri na kila mtu anamapenzi yake so he needs to find a perfect brand for himself.. lakini hizo bei za suggestion zangu am sure ukimnunulia hawezi kuacha kutumia sababu its expensive and value for money
 
Mie naona kama ni normal ,kwani kwa updande wangu nimekuwa nikipendelea kupaka Deodorant za kiume ,na kuna baadhi ya perfume za kiume zinanukia vizuri hivyo wakati mwingine natumia za mwenzangu ,hivyo sioni kama ni tatizo
 
Ni kawaida mpenzi. Mi pia napenda za kiume.
 
huyo ana mwanamke mwingine ambaye pia anatumia perfume kama zako, hiyo anatumia zako ili hata akiwa na yule mwingine wewe using'amue and vice versa.
akili ya chini ya kapeti
 
ulivyozing'ang'ania hizo brand!! nimekwambia anapenda za kwangu na hapendi hizo masculine branded perfumes kitu kilichopelekea mimi kuuliza if its normal for a man kupenda feminine perfumes
 
Kwa baadhi ya wanaume iko hivyo,wapo pia wasichana hutumia perfume za kike au za waume zao....
Si tatizo kwa maoni yangu,ukiwa na mashaka na mambo mengine then mchunguze but hakuna tatizo hapo.😛lane:
 
Kama ameshakujibu anapenda harufu wewe unataka nini tena??
 

We mdada jamani khaa!

yaani kushe pafyumu tu unaona balaa? Wenzio wanashea wanaume na wametulia maisha yanasonga mbele.
 
Kuna mawazo humu nimeyaona si sahihi usiyafate wewe ongea na mumeo tu kama hupendi mwambia kama haikudhuru chuna endelea kununua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…