Simulewi mwanaume huyu!!!!

Mzee wa busara

Hahaha...naona bado naongoza....sina mpinzani hakyanani.

Huyo mdada angejua hapa muzee nimetinga chup.i ya wife wala asingeanzisha hii sredi.

Si ndo kila siku tunasema sharing is Caring?
 
Hahaha...naona bado naongoza....sina mpinzani hakyanani.

Huyo mdada angejua hapa muzee nimetinga chup.i ya wife wala asingeanzisha hii sredi.

Si ndo kila siku tunasema sharing is Caring?

Ha ha ha duuhh we mkali. Nilikumiss sana bana nilikuwa porini no network toka jana. Utaongoza milele
 
Ha ha ha duuhh we mkali. Nilikumiss sana bana nilikuwa porini no network toka jana. Utaongoza milele

Hilo litakuwa la ngapi naliweka moyoni?

Maporini wapi huko hata posting via mobile haiwezekani?

Karibu kwetu Bunju huku tulime matikiti maji na matango huku tunasurf JF!
 
Hilo litakuwa la ngapi naliweka moyoni?

Maporini wapi huko hata posting via mobile haiwezekani?

Karibu kwetu Bunju huku tulime matikiti maji na matango huku tunasurf JF!

Bunju iko Dar vile eeehhh kuna mashamba?? Ahhh ok kwetu huku Mpitimbi mobile nayo ukitumia sana charge inakata haraka halafu pakuchagia foleni
 
Bunju iko Dar vile eeehhh kuna mashamba?? Ahhh ok kwetu huku Mpitimbi mobile nayo ukitumia sana charge inakata haraka halafu pakuchagia foleni

Unaweza kunitamkia kwa sauti hapo? Mi nimejing'ata ulimi.

Yaa Bunju iko Dar...kwa Dar nusu ekari tunaita bonge la mshamba mkuuuuuubwa!
 
Huyo ni chakula ya wajanja...sidhani kama kuna mwanaume normal atapenda kusikia harafu ya kike kutoka kwa mwanaume labda hao mashoga
 
huyo ana mwanamke mwingine ambaye pia anatumia perfume kama zako, hiyo anatumia zako ili hata akiwa na yule mwingine wewe using'amue and vice versa.

akili ya chini ya kapeti

akili yako iko ndani ya choo cha shimo kabisa wewe, mnajifanya wakali wa mapenzi kumbe hamjui hata trick za wanaume na mnaposhauriwa mnaishia kutukana.
 
We mdada jamani khaa!

yaani kushe pafyumu tu unaona balaa? Wenzio wanashea wanaume na wametulia maisha yanasonga mbele.

aulizae anataka kujua, nilichotaka kujua kama hii tabia ni normal kwa wanaume wengine, sio kwamba nakwazika ila najiuliza hivi ni impression gani mtu mwingine anapata anaposmell manukato ya kike kwa mwanaume, tukubali kuwa sasa hivi maisha yamebadilika sana na huu utandawazi sio kila kitu unachokiona kwa mwenzio ukachukulia for granted kuwa ni sahihi, lakini pia katika maelezo yangu niliweka wazi kuwa inawezekana hili swala likawa normal ila mimi ndio ambaye nimehisi tofauti so nikataka kupata mtazamo watu wengine on the same issue!! wewe kama kwako kushea mwanamke ni normal na maisha yanasonga hongera sana na uzidi kubarikiwa kwa hilo!
 
Ondoa hofu hilo ni jambo la kawaida sana,kwani ni kweli wengi wao hupend harufu hizo na pia mbona kuna wanawake wengi wanatumia deodrants za kiume na perfume pia.
 
Dada mchunguze vizuri huyo atakuwa na tabia za sgoga bottom,sasa wakati mnado hebu peleka vidole kwenye tigo yake uone riaksheni y*ke


:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:
 
raha ya penzi lako kwake... ila siku aking'ang'ania sidiria na kypi chako...muwahishe akaombewe..!
 

[Abnormal!..........I][/I]
 
aah hio sio ishu, mi ntakachokuta mezani ndo ntatumia, kwanza mi hua sinunui hua ananunua yeye so vile vinavyopakika kwangu hua napaka labda kama ni enjofeici, lipshine na vingine vya kwake peke yake! the rest hua natumia tu, vipodozi!!! sio zile towel za kila mwezi usije nielewa vibaya
 
Hahaha...naona bado naongoza....sina mpinzani hakyanani.

Huyo mdada angejua hapa muzee nimetinga chup.i ya wife wala asingeanzisha hii sredi.

Si ndo kila siku tunasema sharing is Caring?
Mkuu umivaa G-string? ucje tu ukaja humu na brazia!!:A S 39:
 
Nakuomba usimwanike mwenzio bali mwelimishe juu ya vipodozi vya wanawake na wanaume na tofauti zake. Asipoelimika atakuwa ni mpumbavu na wala si mjinga. Asante.
 

Sasa kama wewe humwelewi na uko naye hapo, watu wa mbali watamwelewaje?

Zungumza nae akueleweshe, ebo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…