Hana mda mrefu atabainika bayana na ndio itakua mwisho wake!Kevin anaboa kweli mjinga huyu
Hahaha karibu tumshinde shetani!Mweee hii hadithi inatia majaribuni hahahah
Hahaha karibu tumshinde shetani!Mweee hii hadithi inatia majaribuni hahahah
πππππmimi tena muda huu, bado best bado hajashusha
Kweli mkuu mgonjwa ana hali mbaya hukuππMkuu Elton Tonny arosto hukuu tushushie mzigo [emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23] tenaaa Bosshii ni story ya kulevya [emoji23][emoji23][emoji23]