Sawa kaka yangu, shukran sana@Elton Tonny huyu Saleh Ally ni Mhariri Mtendaji. Cheki nae Mkuu kipaji chako kikufute jasho [emoji3]
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Umesoma lkn hujaielewa. Hata kama angeweza kutoa tiba, mwili wa Xander haukuewrpo, asingeubadilisha wa kike kimuujiza uwe wa kiume ilihitajika mapacha wote wawe hai. Feel me?
Nitafanya hivyo usijaliMkuu Elton Tonny tunakushukuru kwa burudani hii,ila nakuomba man,chonde chonde Fanya uimalizie ile ya INVISIBLE, sijui nini kilitokea ukaishia njiani,labda ni tatizo LA kiufundi lakini ulipaswa kutujiza mashabiki zako kuwa nini kilitokea hadi mzigo ukakatia njiani
Inakaribia kuanza, kaa chonjoMali nyingine lini mdogo wangu Elton Tonny ?