Simulizi kutoka St. Petersburg hadi nimepatamani Urusi

Simulizi kutoka St. Petersburg hadi nimepatamani Urusi

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Mzuka wanaJF

Kuna jamaa tulikutana naye kwenye mechi ya mpira ni mcameroun amekaa St. Petersburg toka 2005. Tumejenga urafiki na kunipa story za Urusi.

Ananisimulia St. Petersburg ukilinganisha na Copenhagen, Stockholm Oslo na Helsinki kwa pamoja haya majiji ni kama playing ground. Jiji ni kubwa na advance hadi Watalii wa Marekani Japan wa nashangaa.

Anasema kuna daraja flani yani hapo hapo treni magari metro zinapita lakini linafunguliwa jioni hili meli zipite. Basi Watalii kutoka mataifa tofauti tofauti wanasimama na kupiga picha kwa mshangao na kusema this is Russia.

Jamaa Anasema kila mtaa kuna mkuu wa polisi anaitwa Sheskova kama sheriff Marekani wanakula rushwa balaa. Yeye alianzishaga Car wash Sheskova akamuendea na kumuambia kila mwezi anamlipa kama dola 300 na kumbuka hapo pia kodi analipa.

Pia kuna vikundi vya mafia nao walimfuata na awe anawalipa kama dola 300 ukibadilisha kutoka Russian Ruble kwa iyo kwenye iyo biashara yake inabidi alipe Sheskova 300 na mafia 300 kwa jumla 600 na aliajiri wamatumbi wenzake wawili.

Anasema biashara yake ilichanganya sana hadi kwa mwezi hasa wakati wa winter anaingiza kama 5000 us dollar.

Kuna siku alichelewa kumlipa huyu mafia walimzingira akirudi kwake na kumpiga sana.

Anasema Watanzania ni wengi sana St Petersburg na labda wapo humu JF labda mnaweza kujua huyu mwamba.

Simulizi ilyonivutia zaidi nipomuuliza vipi watoto. Akaniambia kuna utitiri wa watoto wakali wamezagaa scattered ni kasema tu huko ni pakutembelewa.

Pia Anasema kuna mtanzania kaanzisha restaurants anaingiza hela kichiz.

Kuhusu Miundo mbinu Urusi inaongoza vibaya na kwa mbali. Barabara Pana na nzuri

CC britanicca
 
Car wash aliyooanzisha ilikuwa inalipa vizuri sana hadi warusi wakamuonea wivu. Anadai Urusi utapendwapendwa lakini wewe mtu mweusi wakikuona unamaendeleo wanamaindi.

Na hii tabia ya sheskova kuchukua chake pamoja na mafia siyo kwake tu hata kwa warusi wengine wanaoufanya biashara.

Sheskova alitaka chake hata mwezi ukuisha tangu aanzishe biashara. Ila hawa mafia mkubwa wao alianza kuchukua baada ya miezi mitatu. Na huwezi kuwa Fanya kitu hata kuwashtaki
 
Mkuu

Naona maradhi ya Bawasiri bado yanakusumbua.

Sasa ulikua na haraka gani ya kupost kabla ya

kufanya proofreading? Basi hata kupangilia

unachokisema meku?

Uzi bila picha haujanoga, ni sawa na mboga bila chumvi.

Mashabiki wa Chadema utawajua tu!
 
Mkuu

Naona maradhi ya Bawasiri bado yanakusumbua.

Sasa ulikua na haraka gani ya kupost kabla ya

kufanya proofreading? Basi hata kupangilia

unachokisema meku?

Uzi bila picha haujanoga, ni sawa na mboga bila chumvi.

Mashabiki wa Chadema utawajua tu!
Mbusii weee
 
Ukizaa za mrusia, mtoto anatoka bombaaaaa
Jamaa Ana watoto watatu na dada wa kirusi. Kusema kweli dada wa kirusi ni wazur kisura na kifuani tu.

Jamaa anadai polisi Urusi wakikushika huna makaratasi wanakusweka ndani hadiuwahonge watakuachia usipofanya hivyo watakuacha tu ukae jela kwasababu hawawezi kukudepot wanaogopa kugharamika wao.

Ukikaa mwaka ndani huna hela ya rushwa wanakuachia nakukushauri nenda bana nje ukatafute binti wakirusi hata uzae naye upate makaratasi.
 
Kazi zipo lakini ni vigumu kama umeajiriwa upate zaidi ya kama dola 450 kwa mwezi labda ufanye blackjobs kwasababu system imewekwa ufanye kazi siku 15 tu kwa mwezi. Ila iyo 450 inatosheleza mahitaji yote.

Anasema janjajanja nyingi sana Urusi kuliko Denmark. Rushwa njenje.

Kwenye kilimo wako vizuri sana. Ila wa Afrika Urusi Wana roho mbaya sana na hawana ushirikiano.

Anadai alipoaanzisha car wash alianza na mghana kumuajir. Anasema wateja walimpenda yeye kwasababu ya kufanya kazi vizuri. Lakini asipokuwepo jamaa haoshi magari vizuri na wateja wanalalamika.

Biashara ilianza kuchanganya baada ya miezi miwili tu. Akaamua kuongeza mfanyakazi mwengine mnigeria. Yani Anasema asipokuwepo nao kazini mambo yanaaribika.
 
Huyu mnigeria aliyemuajiri alikuwa hana makaratasi akamuonganisha na dada mmoja wa kirusi wakawa wanaishi naye. Lakini jamaa lilikuwa na roho mbaya sana na linafiki yote pamoja na yule mghana. Walivuka mpaka hadi kumtongoza mke wake nakumwambia jamaa Ana watoto wawili Cameroun na ameacha mwanamke.

Huyu mnigeria na demu wake mrusi aliyeonganishiwa walienda kisiri hadi kwa mwenye eneo la car wash nakuanza kumpa umbea hili wamnyanganye jamaa eneo wakabidhiwe wao.

Ila mwenye eneo alihuzunika sana na kumshanga jamaa. Kwasababu jaamaa tangu alipomuajiri hadi kumconnect na binti wa kirusi alijua. Pia hana shida na jamaa kwasababu haijawahi kuchelewa kulipia kodi.

Ikabidi amtafute nakumsimulia yote na kumshauri amfukuze kazi
 
Huyu mnigeria aliyemuajiri alikuwa hana makaratasi akamuonganisha na dada mmoja wa kirusi wakawa wanaishi naye. Lakini jamaa lilikuwa na roho mbaya sana na linafiki yote pamoja na yule mghana. Walivuka mpaka hadi kumtongoza mke wake nakumwambia jamaa Ana watoto wawili Cameroun na ameacha mwanamke.

Huyu mnigeria na demu wake mrusi aliyeonganishiwa walienda kisiri hadi kwa mwenye eneo la car wash nakuanza kumpa umbea hili wamnyanganye jamaa eneo wakabidhiwe wao.

Ila mwenye eneo alihuzunika sana na kumshanga jamaa. Kwasababu jaamaa tangu alipomuajiri hadi kumconnect na binti wa kirusi alijua. Pia hana shida na jamaa kwasababu haijawahi kuchelewa kulipia kodi.

Ikabidi amtafute nakumsimulia yote na kumshauri amfukuze kazi
Wanageria sio watu, hapa kilichokuwa kinafuata ni Kumuua Mbongo ili biashara iyumbe na mwishowe aimiliki yeye.
 
Wanageria sio watu, hapa kilichokuwa kinafuata ni Kumuua Mbongo ili biashara iyumbe na mwishowe aimiliki yeye.
Jamaa anadai alivyo kuwa bado mgeni Urusi alipanga kwa mnigeria mmoja. Anasema kuna siku aliingia nyumbani Mara tatu na kutoka jamaa akammaindi nakumuamuru kwake sio PA kuingiaingia na kutoka toka unaingia Mara moja. Nakumbuka kodi kashalipa
 
Back
Top Bottom