Simulizi: Mpenzi jini

Simulizi: Mpenzi jini

Dam55

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2015
Posts
5,641
Reaction score
11,958
SIMULIZI:MPENZI JINI.

MTUNZI:LAMECK PETER

SEHEMU YA 1.
...Kwa Jina Ninaitwa KETARO Ilikuwa Ni Mwaka 2015 Nikiwa Na Umri Wa Miaka 21 Nikiwa Nimezaliwa Mwaka 1994.Nilikuwa Ninaishi Na Bibi Yangu Mzaa Mama Katika Mkoa Wa Rukwa Sumba Wanga.Bibi Yangu Huyo Alikuwa Ni Kabila La Mfipa.Bibi Yangu Alinilea Mimi Tangu Utotoni Hadi Kukuwa Kwangu Hakuwahi Kunieleza Lolote Kuhusu Maisha Yangu Zaidi Ya Kuniambia Yakuwa Wazazi Wangu Walifariki Na Ajali Nikiwa Mdogo Sana Ndipo Aliponichukuwa Nakuishi Na Mimi Nikiwa Na Umri Wa Miaka 4 Hadi Sasa Nikiwa Na Umri Wa Miaka 21. Bibi Yangu Alikuwa Ni Mzee Pia Alikuwa Akijishughulisha Na Shughuli Za Kilimo.Bibi Yangu Jina Lake Halisi Alikuwa Akiitwa LIKANDE.kwa Kweli Nilikuwa Nikimpenda Na Kumjali Sana Bibi Yangu Kwani Nilikuwa Namchukulia Kama Mama Yangu ,Bibi Yangu Alikuwa Akinihaswa Na Mengi Juu Ya Maisha haswa Maisha Ya Kijijini Kwetu Hapo Nakuniambia Mara Kwa Mara Yakuwa Niwe Makini.Katika Maisha Yangu Yote Nilikuwa Makini Na Sikutaka Kujihusisha au Kujiingiza Katika Mambo Yasiyo Faa.Kwa Kweli Watu Wengi Kijijini Hapo Walinisifu Kwa Utii Wangu Na Wachache Wake Wakinisifu Kwa Jinsi Nilivyo Mzuri Kwa Lugha Ya Wageni Wanasemaga Handsome Boy.Wanawake Wengi Walikuwa Wakivutiwa Nami Nakunisifia Hali Iliyonifanya Mimi Mwenyewe Kujishangaa Na Kujitazama Kwenye Kioo Mara Kwa Mara Lakini Hali Ile Ya Kusifiwa Na Wanawake Wengi Yakuwa Ni Mzuri Ili Wachukiza Sana Watoto Wa Kiume Wenzangu.Katika Kijiji Hicho Kuna Dada Mmoja Aliyekuwa Anaitwa LUYANGE Alikuwa Ni Mjukuu Wa Bibi Mmoja Aliyekuwa Akisifika Kwa Uchawi Pale Kijijini.Binti Huyo Alijaribu Kuzielezea Hisia Zake Kwangu Mara Kwa Mara Na Kuniambia Yakuwa Ananipenda Lakini Sikuwahi Kumkubalia Hata Kidogo Kwani Nilikuwa Mwenyekuzingatia Maonyo Ya Bibi Yangu.Karibia Watu Wengi Pia Walikuwa Wakizungumza Maneno Yapembeni Wakisema "Mtoto Huyu Sio Ridhiki " Kwani Sikuonyeshaga Hata Punje Ya Kupapalika au Kudata Kwa Mabinti Wa Kike.Siku Moja Nikiwa Ninaenda Kuchota Maji Kisimani Eneo Tunalochota Maji Ni Mbali Kidogo Na Maeneo Ya Nyumbani Nilipofika Nilichota Maji Yangu Nakuanza Kurejea Nilipotoka ,Wakati Nageuka Nilihisi Mtu Akinigusa Katika Bega Langu La Kushoto Nilishtuka Sana Nakumwaga Maji Yalikuwa Kwenye Mti Nilipogeuza Shingo Yangu...
KETARO:Wewe Luyange Kwanini Lakini.Kumbe Alikuwa Ni Luyange Na Mashoga Zake Wawili Wakienda Mtono Kuchota Maji.Nyakati Hizo Mashoga Zake Wote Walikuwa Wakicheka Isivyo Kawaida.
KETARO:Luyange Sininakuuliza Jamani Kwanini Unanishtuwa Ivyo.
LUYANGE:Samahani Ketaro Ila Lengo Langu Nilikuwa Nataka Kukuona Tu Utafanyaje.
KETARO:Aaah Kwahiyo Umefurahi Sasa Nilivyomwaga Maji Sindio Eenh.
LUYANGE:Hapana Ila Maji Sikitu Kwangu Niwapo Na Wewe Faraja Ya Moyo Wangu Kama Ni Maji Nitakuchotea.Wakati Huo Huo Akamwomba Mmoja Wa Marafiki Aliyokuja Nao Akanichotee Maji.
LUYANGE:MANYA Nakuomba Ukamchotee Maji Shemeji Yako Tafadhali.
MANYA:Usijali Shoga.
KETARO:Luyange Mbona Unanipotezea Muda Wangu Hebu Niambie Unachotaka Kuniambia Basi Fasta Mimi Niondoke Zangu.Nikiwa Ninazungumza Hayo Luyange Alikuwa Akinitazama Usoni.
LUYANGE:Ketaro Kila Ninapokuona Huwa Ninapata Mshtuko Wa Moyo .Sura Yako Naa Jinsi Ulivyo Vinanifanya Nikose Amani Ketaro Wewe Ni Mzuri Sana Sijapata Kuona.
KETARO:Luyange Naona Unanipotezea Muda Hebu Niache Mimi Niondoke Zangu Bibi Anasubilia Maji Nikageuka Ilikuyafuata Maji Yangu Aliyokwenda Kufuata Shoga Yake MANYA Nilipogeuka Tu Alinishika Mkono Nakusema...
LUYANGE:Ketaro Hebu Jaribu Kunielewa Hata Chembe Kidogo Tu Kwanini Unataka Kunijeruhi Moyo Wangu Kwanini Hautaki Kuzielewa Hisia Zangu Kwako Jaman Mimi Nakupenda Ketaro Kwanini Ni Nini Ambacho Sina Mbaka Unanifanyia Ivyo Jaman.Kwa Kweli LUYANGE Alikuwa Ni Binti Mmoja Mzuri Sana Kwani Alikuwa Ni Binti Mwenye Rangi Nzuri Ya Chokreti,Lips Nene Nzuri Laini Zenye Rangi Nyekundu Iliyokolea.Mwenye Umbo Lililodhihirishwa Na Baadhi Ya Sehemu Zilizokuwa Zikionekana Katika Mwili Wake ,Alikuwa Anaumbo Zuri Sana Waswahili Wenyewe Wanasema Namba Nane.Luyange Alikuwa Mwenye Nywele Laini Zenye Kuvutia,Macho Makubwa Yaliyo Legea Yenye Umbo La Duara ,Kidevu Kilicho Jichonga ,Matiti Yake Mazuri Yaliyobinuka Ipasavyo Kama Vile Milima Miwili Iliyopakana Bila Kusahau Miguu Yake Iliyokuwa Imebarikiwa Unene Inayojulikana Kwa Jina La Miguu Ya Bia Kwa Ujumla Luyange Alikuwa Ni Binti Mzuri Sana Isivyo Kawaida Alikuwa Ni Mwanamke Aliyeumbika Mithili Ya Malaika Katika Mabinti Watatu 3 Pale Kijijini Wazuri Ukitafuta Hutoweza Kumkosa Luyange.Luyange Alieleza Hisia Zake Mara Kwa Mara Kwangu Tena Mara Nyingine Alipokuwa Akiwakilisha Kwangu Hisia Hizo Alikuwa Akilia Sana Alikuwa Akinieleza Hisia Zake Hizo Mara Kwa Mara bila Kuchoka Lakini Niliogopa Sana Tena Haswa Bibi Yake Kutokana Na Kusifiwa Na Uchawi Alionao Na Matukio Anayofanya Haswa Ya Mauaji Hali Iliyonifanya Kuingiwa Na Hofu#
ITAENDELEA...
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.

MTUNZI:LAMECK PETER.

SEHEMU YA 2.
...Tulipoishia...Sikutaka Hata Kidogo Kumwelewa Luyange Kwani Nilielewa Nini Kitakachoendelea .Nilimwogopa Sana Bibi Yake Kama Ujuwavyo Wachawi Haswa Wamaeneo Ya Sumba Wanga Asije Akanigeuza Tetea.Sikutaka Hata Kidogo Kumuelewa Luyange Na Kumweleza Sababu Kuu Ya Kumkatalia Japokuwa Ndani Ya Nafsi Yangu Kwa Asilimia Kadhaa Nilikuwa Ninampenda.Nilitoa Mkono Wangu Kwake Na Kwenda Kufuata Maji Yangu Kwa Shoga Yake Manya.Nilichukuwa Maji Nakumwaga Kwa Kumwambia...
KETARO:Sio Kosa Langu Luyange Ila Wewe Mwenyewe Unajuwa Naomba Tu Uniache.Sifa Nyingi Na Maneno Mengi Yalisemwa Yakwamba Bibi Yake Huyo Akitaka Kumuona Yeyote Yule Alipo Akitaka Anamwona,Kwa Kweli Bibi Huyo Alikuwa Anaogopeka Isivyo Kawaida Wakati Mwingine Mvua Ilikuwa Ikinyesha Katika Mazao Yake Tu Hata Kama Nikwakipindi Cha Kiangazi.Hakuna Hata Mmoja Aliyejenga Ukaribu Nae Zaidi Ya Wachawi Wenzie Vitu Hivyo Viliniogopesha Mno.
LUYANGE:Tafadhali Ketaro Me Najuwa Kwanini Unanikatalia Na Ninajuwa Sio Majibu Ya Moyo Wako Lakini Kumbuka Anaependa Ni Mimi Na Kama Kuolewa Nitaolewa Mimi Nielewe Ketaro Jaman.Sikutaka Hata Kidogo Kumwelewa Kwani Miezi Miwili Iliyopita Kuna Kijana Aliyekuwa Akimtaka Kimapenzi Binti Huyo Luyange Aliuwawaga Nakukutwa Kwenye Shamba La Mpunga Huku Ikiwa Haijulikana Aliyefanya Tukio Hilo.Binti Huyo Luyange Hakuwahi Kuwa Na Mwanaume Yeyote Kimapenzi .Niliamuwa Kutomsikiliza Nakuondoka Zangu.Nilikwenda Hadi Nyumbani Na Kumkuta Bibi Yangu Likande Akipika...
LIKANDE:Mjukuu Wangu Mbona Umekawia Ivyo Kulikoni.
KETARO: Ooohh Weacha Tu Bibi Yaani Nilivyoenda Mtoni Nimekutana Na Luyange Bado Anaendelea Kuniambia Mambo Yake.
LIKANDE:Wewe Wewe Wewe Mjukuu Wangu Asiyesikia La Mkuu Huvunjika Guu.Mjukuu Wangu Mimi Nimekula Chumvi Nyingi Nimeliona Jua Kabla Yako Mjukuu Wangu Yule Bibi Yake Na Luyange Namjuwa tangu Enzi Zetu Za Ujanani.Mzee Muuaji Yule Tena Ukae Nae Mbali Sana.
KETARO:Mimi Bibi Sijamsikiliza Wala Nini Nimeondoka Zangu.
LIKANDE:Tuuu "Bibi Alitema Mate Chini" Tena Ninarudia Tena Ketaro Kuwa Makini Majuto Ni Mjukuu.
KETARO:Nimekuelewa Bibi Usijali Mimi Nitakuwa Makini.Masaa Yalienda Na Jioni Ikatimia,Nikiwa Nikiwa Ninaosha Vyombo Ghafla Nilimwona Manya Na Gawa Marafiki Zake Na Luyange Wakiwa Wanakuja Nyumbani Kwetu...
GAWA:Hodi Hodi.
KETARO:Kalibuni.
MANYA:Asante Zamuda Ketaro.
KETARO:Nzuri Tu.
MANYA:Hivi Ketaro Kwanini Unamfanyia Ivyo Luyange Lakini.
KETARO:Kwani Vipi Manya.
MANYA:Ketaro Mimi Ninaumia Sana Ndani Ya Moyo Wangu Kumuona Shoga Yangu Luyange Akilia Na Kuteseka Kila Nyakati Kwa Ajili Yako Ketaro Kwanini Usimuelewe Hisia Zake Lakini Kwani Nini Amekukosea Jaman.
KETARO:Hapana Manya Mimi Sio Kama Simpendi Luyange Nampenda Sana Lakini Naupenda Uhai Wangu Kuliko Luyange.
MANYA:Unamaanisha Nini Ketaro.
KETARO:Aaah Manya Hebu Jiongezi Inamana Haujuwi Jaman.
MANYA:Hapana.
KETARO:Hivi Manya Wewe Unadhania Bibi Yake Na Luyange Akigundua Hili Siataniua Mimi.
MANYA:Ketaro Hapana Tena Ungejuwa Bibi Yake Na Luyange Anamwambia Luyange Kila Siku Mtafutie Mkwelima Kwani Anajuwa Kuwa Sasa Luyange Amekwisha Kuwa Anabidi Kuwa Na Mwenza Wake.
KETARO:Mmmh Manya Kama Ndio Mmepanga Huko Na Luyange Mnishawishi Kwa Maneno Yenu Hayo Hapa Mmegonga Mwamba.
MANYA:Ketaro Wewe Ni Kijana Mzuri Wa Kuvutia Hebu Jiamini Inamana Unamwogopa Binadamu Mwenzio.
KETARO:Hapana Simwogopi Ila Tutaharibiana Maisha.
MANYA:Basi Ninakuomba Kesho Asubuhi Ya Saa 3 Uje Kule Mtoni Luyange Anahitaji Kuzungumza Na Wewe Utamkuta Sawa Ketaro.
KETARO:Sawa Nimekuelewa Manya.
MANYA:Asante Kwa Kutusikiliza Ketaro.
GAWA:Asante Sana Ketaro Mungu Akusaidie Katika Maamuzi Yako.
KETARO:Sawa.Nyakati Zilisogea Na Usiku Ukatimu Siku Hiyo Nilichelewa Sana Kulala Nilikuwa Nikitafakari Juu Ya Maamuzi Yangu Kwa Luyange Mda Huo Nilikuwa Kwenye Godoro Langu Dodoma Kitanda Cha Misengere Nilifikiria Lakini Sikupata Jibu.Asubuhi Ilitimu Nilifanya Majukumu Yangu Ya Nyumbani Na Ilipofika Saa Tatu 3 Nilikwenda Mtoni.Kweli Nilimkuta Luyange Akiwa Amekaa Kwenye Gogo Lilokuwa Pembezoni Mwa Mto.Nilifika Hadi Pale Alipokuwa Amekaa Kwenye Gogo Niliwaona Mashosti Zake Wakiwa Mbali Kidogo Na Pale Wakipiga Stori.
KETARO:Mambo Luyange.
LUYANGE: Powa.Lakini Luyange Aliitikia Kama Vile Mgonjwa Aliitikia Kwa Udhaifu Sana.
KETARO:Luyange Mbona Uko Ivyo Kwani Tatizo Nini Jaman.
LUYANGE:Ketaro Kwanini Lakini Hivi Unategemea Mimi Nitakuwa Na Furaha Ya Kutoka Wapi Wakati Furaha Yangu Ndio Wewe .Ketaro Mimi Nakupenda Na Nipo Tayari Kwa Lolote Juu Yako.Lakini Chakushangaza Wakati Akizungumza Haya Ghafla Alitokea Bibi Yake Na Luyange Akiwa Amebeba Mtungi Wa Maji Akija Mtoni.Kitendo Ambacho Sijawahi Kumwona Hata Siku Moja.Mda Huo Nilikuwa Nimemkalibia Sana Luyange Kiasi Cha Kwamba Mtu Akitutazama Anatambuwa Yakuwa Hawa Wana Mahusiano.Nilihisi Haja Ndogo Kama Inataka Kutoka
ITAENDELEA
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.

MTUNZI:LAMECK PETER

SEHEMU YA 3
...Tulipoishia...Nilishindwa Kuelewa Bibi Yake Na Luyange Amefikaje Fikaje Hapo Mtoni.Alikwenda Zake Taratibu Kuchota Maji.Nilimwamkia Lakini Hakutaka Kuitikia Salamu Yangu,Hali Ile Ili Nifanya Kuwa Na Mawazo Kwani Inafahamika Kabisa Bibi Luyange Ukimkwaza Utajuwa Maharage Ni Mboga au Protin.Nilianza Kujisogeza Pembeni Kutoka Kwa Luyange Lakini Cha Kushangaza Luyange Alinishika Na Kunivuta Kwake Tena Kwa Ukaribu Huku Akizungumza Kwa Sauti Ya Chini "Usiogope Ketaro Jaman" .Niliogopa Sana Kwani Macho Ya Bibi Yake Na Luyange Yaliyokuwa Na Rangi Nyekundu Iliyokolea Yalinifanya Kuogopa Sana
KETARO:Luyange Hebu Niache Tafadhali Mimi Naogopa Jaman
LUYANGE:Ketaro Usiwemwoga Wa Kupitiliza Kiasi Hicho Huyu Ni Mwanadamu Mwenzio.Muda Wote Huo Bibi Yake Na Luyange Alikuwa Yupo Kimya Akichota Maji Hali Iliyonifanya Nizidi Kuogopa Sana Kwani Alikuwa Kimya Alichota Maji Yake Nakuondoka Zake Bila Ya Hata Kumsemesha Yeyote Yule
KETARO:Hapana Luyange Bibi Yako Ataniua..Mda Huo Maneno Yangu Yalikuwa Yakiambatana Natendo La kumsukuma Mikono
LUYANGE:Usifanye Ivyo Ketaro Tafadhali Utaniumiza Moyo Wangu.Niliinuka Nakuanza Kuondoka Nikiwa Sijielewi Elewi Kwani Nilihisi Leo Itakuwa Kitimu Timu.Nilikwenda Hadi Nyumbani Nikiwa Sielewi La Kufanya Niliingia Ndani Nakujifungia Ndani Ilinipate Kupumzika Kwa Muda Akili Ikae Sawa.Nikiwa Kitandani Nilipatwa Kusikia Sauti Kwa Mbali Ikiniamsha Alikuwa Ni Bibi Na Ilikuwa Kama Saa 9 Na Nusu 30.Bibi Alikuwa Akiniamsha Niende Kula Niliamka Nakwenda Kula.Wakati Tukiwa Tunakula..
LIKANDE:Mjukuu Wangu Mbona Kama Haupo Sawa Tatizo Nini Hebu Niambie
KETARO:Luyange Bibi
LIKANDE:He He He Ketaro Mjukuu Wangu Hivi Umeingiwa Na Nini Jaman Inamana Mabinti Wameisha Hapa Kijijini aya niambie amekufanya nini
KETARO:Hapana Bibi Sio Luyange Ila Bibi Yake Luyange
LUKANDE:Mungu Wangu Amefanyaje Tena!!
KETARO:Alinikuta Mtoni Asubuhi Hii Alikuja Kuchota Maji Nikiwa Nimekaa Na Luyange Tukizungumza Lakini Hata Nilipomsalimia Hakujibu Chochote Kile Na Wala Hakuzungumza Chochote Kile Mbaka Anaondoka
LIKANDE:Ye Ye Ye Mjukuu Wangu Mbona Unataka Kujisababishia Matatizo Makubwa Kwanza Yule Bibi Hana Kawaida Ya Kwenda Kuchota Maji Mtoni Na Angekuwa Ana Nia Njema Na Ninyi Angali Kujibu Basi Hata Salamu Uliyomwamkia .Jaman Jaman Eeeh Ila Tumuombe Mungu Asaidie Tu
KETARO:Mimi Hapa Sijuwi Hata Lakufanya
LIKANDE:Mjukuu Wangu Yule Bibi Ni Mshenzi Wawa Shenzi Usifikiri Kwamba Utaweza Kumzidi Ujanja hapa Cha Msingi Tumwombe Mungu Tu Asaidie.Tulimaliza Kula Nikaosha Vyombo Na Kwenda Kuoga Muda Wote Huo Nafanya Hayo Majukumu Akili Yangu Ilikuwa Ikiwaza Juu Ya Bibi Yake Na Luyange Nilibaki Kumwomba Mungu Tu Anisaidie.Nilipomaliza Kuoga Nilipata Mawazo Mapya Ya Kwenda Kujaribu Kumwomba Bibi Yake Na Luyange Asije Akanidhuru .Kweli Nilipiga Moyo Konde Ndani Ya Mida Kama ya Sika Kumi Na Moja 11 Jioni Niliweza Kwenda.Nilienda Na Nilipofika Nilimkuta Luyange Akiandaa Chakula Cha Usiku
KETARO:Luyange Nimekuja Hapa Ninamwomba Bibi Yako Nasi Vinginevyo
LUYANGE:Mmmh Ketaro Jaman Kuwa Na Amani Yaani Ndio Unakuwa Na Hofu Ivyo Jaman
KETARO:Mimi Nimesema Ninamuhitaji Bibi Yako Jaman Mbona Unielewi Luyange
LUYANGE:Sawa Basi Nimekuelewa.Bibi Bibi Bibi Bibi Eee Bibi Na Yeye Jaman Inamana Haunisikii au.Ghafla Bibi Yake Na Luyange Alitoka Katika Hali Ya Sitofahamu Kwani Kichwa Chake Kilikuwa Kikifuka Moshi Na Huku Macho Yake Yakiwa Na Rangi Nyekundu Iliyokolea Isivyo Kawaida.Kwa Kweli Niliogopa Sana Tena Sana Nilitamani Kukimbia Lakini Nilijipa Moyo Kama Mwanaume Kwani Nilijuwa Fikra Kwamba Hata Nikikimbia Haitosaidia Kitu Bali Nitazidi Kuhatarisha Maisha Yangu
KETARO:Bibi Samahani Kukusumbuwa
BIBI YAKE NA LUYANGE: Ongea Shida Yako
KETARO:Bibi Mimi Mjukuu Wako Nimekuja Hapa Kwa Lengo Moja Tu.Bibi Mimi Ni Mjukuu Wako Ni Sawa Sawa Na Luyange Tu .Nilikuwa Ninakuomba Bibi Yangu Kama Endapo Nitakuwa Nimekukosea Unisamehe Mimi Ni Mwanadamu Sijakamilika Tafadhali Sana Nakuomba Unisamehe Bibi
BIBI YAKE NA LUYANGE:Kuna Jingine
KETARO:Hapana Bibi
LUYANGE:Eeeh Bibi Sasa Siumsikilize Ketaro Mbona Unakuwa Ivyo Lakini.Bibi Yake Na Luyange Hakuzungumza Kitu Zaidi Ya Kurudi Ndani.Daah Niliogopa Sana, Nilimwona Luyange Kama Moto Sikumsemesha Chochote Kile Nilitoka Zangu Kwao Nikiwa Sina Nguvu Kabisa Hali Ile Aliyoiyonyesha Bibi Yake Na Luyange Ilinikata Maini Kabisa.Nilikwenda Zangu Hadi Nyumbani Nilimkuta Bibi Amekwisha Pika Chakula Lakini Usiku Huo Sikuweza Kula Kabisa Niliona Chakula Kama Dawa.Nilimshukuru Bibi Na Kumwambia Yakuwa Nimeshiba Kisha Nikaingia Zangu Kulala.Masaa Yalizidi Kusogea Usiku Wa Siku Hii Sikutaka Kabisa Kulala Kwani Nilijuwa Ninikitakacho Endelea Endapo Nikilala.Nilizidi Kukaa Macho Huku Masaa Yakizidi Kusogea.Ilipofika Saa 8 Usiku Wa Manane Nikiwa Nimejifunika Shuka Langu Kwa Uwoga Ghafla Nilihisi Mlango Unafunguliwa Hali Yakuwa Nilikuwa Nimeufunga..
ITAENDELEA...
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.

MTUNZI:LAMECk PETER

...Tulipoishia...Ghafla Nilihisi Mlango Ukifunguliwa Taratibu.Daah Niliogopa Sana Tena Sana Nilihisi Kujikojolea Na Kujisaidia Pia.Ikiwa Ni Saa Nane Ya Usiku Manane Nilizidi Kujawa Na Hofu ,Mlango Ulizidi Kufunguliwa Kwani Nilisikia Ukitoa Mlio Wa Mlango Ukifunguliwa Kama Mjuwavyo Milango Ikifunguliwa Haswa Ya Mbao Pia Niliweza Kuona Mwanga Wa Nje Hali Iliyoonyesha Kwamba Mlango Unafunguliwa.Nikiwa Katika Hali Ya Uoga Sana Ghafla Nilipata Kuwaona Watu Wa Tatu 3,Wawili Wakiwa Kwenye Pembe Za Nyumba Na Mmoja Akiwa Mbele Ya Mlango Wote Walikuwa Wamevaa Mavazi Yaliyofanana ,Mavazi Yenye Rangi Nyeusi Yajulikanayo Kwa Jina La Kaniki.Kwa Kweli Niliona Kifo Kina Nijia Nilijaribu Kutoa Sauti Ilinipate Msaada Lakini Sikufanikiwa Kwani Sauti Haikutoka Hata Kidogo ,Nilijalibu Hata Kuinuka Lakini Sikuwa Na Nguvu Kabisa.Roho Iliniuma Sana Nililia Sana Nilibaki Nikijilaumu Moyoni Kwanini Nilijiweka Karibu Na LUYANGE Lakini Kujilaumu Kwangu Kwa Wakati Huo Haukusaidia Kitu.Wakati Nikiwa Ninawatazama Tu Kwani Nilikuwa Sina Nguvu Na Siwezi Kuzungumza lolote Lile,Walisogea Hadi Karibu Na Mimi Na Kisha Wakanizingira Kila Mmoja Upande Mmoja Huku Mbele Ya Miguu Yangu Alikuwa Amesimama Bibi Kizee Mmoja Aliyekuwa Amefanana Ipasavyo Na Bibi Yake Na LUYANGE.Nilizidi Kujilaumu Isivyo Kawaida Nikiwa Katika Hali Ya Majonzi Ghafla Nilijikuta Nikipatwa Na Usingizi Mmoja Mkubwa Sana Tena Sana.Lakini Chakushangaza Nilikuja Kuzinduka Na Kujikuta Nikishtuka Saa 2 Asubuhi Katikati Ya Msitu Nisioufahamu.Mahali Nilipozindukia Nilikuwa Sipaelewi Elewi Vizuri Kwani Kulikuwa Na Damu Za Watu,Viungo Vya Watu Pamoja Na Baadhi Ya Nyama Mbichi Na Zakuchomwa Za Watu Bila Kusahau Mafiga Na Kuni Na Huku Nikiwa Ninamavazi Ya Ajabu Na Peku Pia.Nilijawa Na Hofu Sana Tena Sana Nilijikuta Nikijikojolea Nakuanza Kukimbia Ndani Ya Msitu Huo Huku Bila Kujali Kama Kutakuwa Na Wanyama au Viumbe Vikali Au Vibaya. Nikiwa Sielewi Niendapo Kwani Msitu Huo Ulikuwa Ni Mkubwa Mno Tena Wa Kutisha Sana.Nilikimbia Mbio Zisizoza Kawaida Kama Mjuwavyo Mbio Za Kuokoa Uhai Zilivyo.Nilikimbia Kama Masaa Matatu 3 Hadi Kufikia Saa 5 Ikielekea Mchana Nilikuwa Nikikimbia Tu ,Nilikimbia Umbali Mrefu Mno Lakini Sikuona Hata Dalili Za Kuumaliza Msitu Huo.Muda Wote Huo Niliyokimbia Siku Bahatika Kuona Chanzo Chochote Cha Maji Na Sikutia Kitu Chochote Kinywani Hadi Muda Huo ,Nilikuwa Na Njaa Isiyo Yakawaida.Niliamuwa Kupumzika Kwa Muda Chini Ya Mti Mmoja Wenye Kivuli,Kwani Nilikuwa Nimechoka Isivyo Kawaida.Niliamuwa Kujipumzisha Lakini Kipindi Nikipumzika Nilijikuta Nikipitiwa Na Usingizi Mzito Nilipokuja Kushtuka Ilikuwa Kama Vile Jioni Ya Saa Kumi Jua La Magharibi.Nilishtuka Sana Kwani Sikutaka Kabisa Giza Linikute Kwenye Msitu Huo Mkubwa Kwani Ningeweza Kuhatarisha Maisha Yangu.Nilianza Tena Kukimbia Huku Nikiwa Nimechoka Isivyo Kawaida.Nilikimbia Sana Mbaka Inafika Saa 12 Jioni Jua Ndio Linamalikizia Kuzama Sikupata Kutoka Nje Ya Msitu.Nilikuwa Nimechoka Sana Niliamuwa Kupumzika Kwanza Kidogo Kwani Nilihisi Sasa Kuchanganyikiwa.Nikiwa Ninavuta Pumzi Kwa Kujipumzisha Nilipigwa Na Butwaa Kubwa Mno Pale Nilipoangalia Nakukuta Nimerejea Pale Nilipozinduka Nyakati Za Asubuhi .Daaah Kwa Kweli Niliishiwa Nguvu Kabisa Hata Za Kuondoka ,Nililia Sana Sana Sikujuwa Nini Chakufanya Kwani Nilihisi Leo Itakuwa Ndio Siku Yangu Ya Mwisho .Siku Ya Leo Ninaweza Kuliwa Nyama Nikifanya Mchezo.Nilipofikilia Hayo Nilijipa Matumaini Kama Vile Mtoto Wa Kiume.Niliamuwa Kujikaza Nikaanza Mbio Tena Ikiwa Ni Saa 12 Jioni Ikielekea Giza .Mara Hii Niliamuwa Kukimbilia Upande Mwingine Kabisa.Nilikimbia Kwa Nguvu Zangu Zote Kwa Jinsi Niwezavyo Huku Njaa Na Kiu Kikinikung'uta Ipasavyo.Nilikimbia Mno Hadi Inafika Saa Tatu 3 Usiku Mimi Bado Ninakimbia Tu Bila Mafanikio.Nilikimbia Na Kufika Sehemu Ambapo Niliona Kuna Nyumba Moja Iliyojengwa Kwa Makuti Ikiwa Peke Yake.Nilijaribu Kusogea Hadi Kwenye Nyumba Hiyo Ilinipate Kujuwa Kama Kuna Mtu Lakini Nilipobisha Hodi Hakuna Aliyeitika Pia Nyumba Hiyo Ilikuwa Ikionekana Ni Ya Muda Kwa Maana Kuwa Ni Kuu Kuu Na Pia Kutokutumika.Niliamuwa Kuingia Kwenye Nyumba Hiyo Ilinipate Kupumzika Kidogo Kisha Niendelee Na Safari Yangu.Nikiwa Kwenye Kibanda Hicho,Ghafla Nilisikia Sauti Nzuri Ya Kike Ikizungumza Ikitokea Ndani Ya Kibanda Hicho Huku Ikijirudia Rudia.
NYUMBA:Ketaro Ketaro Ketaro.Niliogopa Sana Nilijiweka Sawa Kukimbia.
NYUMBA:Usinikimbie KETARO.
KETARO:Wewe Ni Nani Na Unataka Nini?Ghafla Nilisikia Sauti Hiyo Ya Kike Ikicheka Sana "Hahahahahaha".
NYUMBA:Unachekesha Sana KETARO Eti Wewe Ni Nani Na Unataka Nini "Hahahahaha"Laiti Ungejijuwa Usinge Niambia Ivyo.Najuwa Unamatatizo KETARO.
KETARO:Ni Kweli Ninamatatizo Lakini Wewe Ni Nani?
NYUMBA:Usijali Mimi Utanijuwa Tu Kuwa Na Subila Ila Mimi Ninataka Nikusaidie Kwani Kuna Vitu Vibaya Vinakuja Mbele Yako Siku Ya Leo KETARO:Mungu Wangu Mimi Nipo Tayari Kwa Lolote Endapo Ukinisaidia...
ITAENDELEA...
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.

MTUNZI:LAMECK PETER.

SEHEMU YA 5.
...Tulipoishia...Ketaro Aliendelea Kusikiliza Maelezo Aliyokuwa Akipewa Kutoka Kwa Nyumba Hiyo Iliyokuwa Ikizungumza Sauti Nzuri Na Nyororo Ya Kike Ili Apate Kuondolewa Kwenye Hatari Hiyo.
NYUMBA:Ketaro Mimi Nitakusaidia.
KETARO:Nisaidie Tafadhali Sana.
NYUMBA:Lakini,Kabla Haijamaliza Kuzungumza Nyumba Hiyo Ketaro Akadakia.
KETARO:Lakini Nini Jaman Mimi Nipo Tayari Kwa Lolote Lile.
NYUMBA:Hapo Ulipo Mbele Yako Kuna Kachumba Kadogo Sana.
KETARO:Ndio Nakaona.
NYUMBA:Ingia Humo.Ketaro Aliingia Hadi Kwenye Kachumba hako Kalichotawaliwa Na Giza Kubwa Sana.
NYUMBA:Sasa Ninakuomba Hapo Nyuma Yako Maeneo Ya Juu Kuna Chupa Imefungwa Iliyowekwa Juu Ya Mifupa Na Damu.
KETARO:Ndio Nimeiyona.
NYUMBA:Sasa Nakuomba Ufunguo Hiyo Chupa Tafadhali Kisha Na Mimi Nitakusaidia Yote Unayotaka Ketaro.
KETARO:Mmmhh Sitodhulika Kweli Jaman.
NYUMBA:Niamini Mimi Ketaro.Nyumba Ilizungumza Maneno Hayo Kwa Sauti Nyororo Mno Ya Kuvutia Yaliyo Mshawishi Ketaro Kufanya Ivyo.
KETARO:Sawa.Kisha Ketaro Alifungua Chupa Ile Taratibu Na Moshi Mweupe Ulitoka Kwa Kasi Kama Ufunguapo Soda.Baada Ya Kutoka Mvuke Huo Ndani Ya Chupa Hiyo.Ghafla Alitokea Binti Mmoja Mzuri Hakuna Mfano ,Binti Mzuri Mwenye Asili Ya Kiarabu ,binti Alikuwa Ameumbika Mithili Ya Malaika Alikuwa Anarangi Nyeupe Shepu Nzuri Iliyojichora Kwenye Vazi La Gauni Wanalopenda Kuvaa Haswa Wahindi Pamoja Na Nywele Ndefu Laini .Macho Mazuri Na Sura Nyembamba Iliyoambatana Na Kidevu Kizuri Kilichojichonga.Uzuri Aliyekuwepo Nao Yule Dada Ambaye Haikujulikana Alipotoka Ulimfanya Ketaro Kuganda Kwa Muda Badala Ya Kukimbia Kwani Alibaki Akimshangaa Tu Alivyo Mzuri Mwanadada Huyo.
MWANADADA:Ketaro Ketaro Ketaro Ketaro.
KETARO:Naam.
MWANADADA:Mbona Umeganda Nini Tatizo.
KETARO:Hapana Lakini Nashangazwa Na Sauti Yako Inamana Wewe Ndiye Nyumba Uliyekuwa Ukizungumza Au.
MWANADADA:Hahahaha Ndio Mimi Kwanini Umeuliza Ivyo.
KETARO:Inamana Wewe Ndiye Uliyekuwepo Kwenye Chupa Au.
MWANADADA:Ndio Mimi Lakini Usijali.
KETARO:Kwani Wewe Unaitwa Nani Samahani Lakini?
MWANADADA:Naitwa NAJMA.
KETARO:Sawa Najma Naomba Ufanye Kama Ulivyo Niahidi Basi Jaman.
NAJMA:Usijali Ketaro Mimi Nitakusaidia Kwani Wewe Umeweza Kuokoa Maisha Yangu Bila Wewe Mimi Ningekufa.
KETARO:Nimeokoa Maisha Yako Unamaanisha Nini Najma Jaman.
NAJMA:Usijali Nitakwambia Ila Chakwanza Na Cha Muhimu kwa Muda Huu Nikukusaidia Wewe Ketaro Sawa.
KETARO:Sawa.
NAJMA:Basi Naomba Ketaro Unikumbatie Mimi.
KETARO:Nikukumbatie?
NAJMA:Ndio Unikumbatie Usiniogope Ketaro Wewe Nikumbatie Tu Hii Ndio Ponea Yako.Kweli Ketaro Hakuwa Na Lakufanya Ilimbidi Amkumbatie Najma Binti Huyo Mzuri Mwenye Asili Ya Kihindi Kwa Uwoga.Najma Nae Alimkumbatia Ketaro,Kweli Ghafla Ketaro Alijikuta Akiwa Kwenye Chumba Kwenye Kitanda Cha Ngozi.Kutoka Kule Alipokuwepo Kwenye Msitu Kutoka Saa 4 Usiku Hadi Kuja Kujikuta Yupo Kwenye Kitanda Mida Ya Saa 2 Asubuhi.Alipotazama Vizuri Aligunduwa Kuwa Yupo Nyumbani Kwao Yaani Kwa Bibi Yake.Ketaro Alishangazwa Sana Na Alifurahi Sana Isivyo Kawaida.Aliamka Taratibu Lakini Hakujuwa Nimuda Gani Umepita Toka Alipotoka Nyumbani Kwao Hapo Kwa Upande Wake Alikuwa Haelewi Kabisa Kwani Mambo Yaliyomkumba Yalimfanya Kupatwa au kurukwa na akili kidogo.Ketaro Aliamka Ili Apate Kutoka Nje Lakini Cha Kushangaza Alipotoka Tu Nje Watu Wakijiji Walikuwa Wamekusanyika Kusanyika Kwa Vikundi Vikundi.Walipomuona Watu Wote Walianza Kumkimbia Tena Kwa Nguvu Zote Huku Wakipiga Kelele.Ketaro Alishindwa Kuelewa Kabisa Kuna Nini Kinachoendelea Hata Yeye Aliogopa Sana Alihisi Kwamba Labda Yaweza Kuwa Kuna Hatari Ipo Nyuma Yake Ilimbidi Ageuka Nyuma Na Kuangalia Lakini Hakuona Kitu Ili Mbidi Awafate Baadhi Ya Watu Na Kuwauliza Kuna Nini Kinachoendelea Lakini Kila Mtu Alitimua Mbio Lakini Bibi Yake LIKANDE Alikuwa Ameegemea Kwenye Ukuta Wa Nyumba Yao Hiyo Ya Udongn Akilia Huku Akimtazama Mjukuu Wake.Ketaro Ilimbidi Amfuate Bibi Yake Ili Azungumze Nae...
KETARO:Bibi Shkamoo.
LIKANDE:Marahaba Mjukuu Wangu.Mjukuu Wangu Umerudi Eenh Shetani Wakubwa Hawa.
KETARO:Bibi Kwani Kuna Nini Na Kwanini Unasema Ivyo Jaman.
LIKANDE:Mjukuu Wangu Usilolijuwa Nisawa Sawa Na Usiku Wa Giza.Mjukuu Wangu Wewe Ulikuwa Umekufa Jaman.
KETARO:Bibi Nimekufa Jaman.
LIKANDE:Ndio Umekufa Na Hata Hawa Wamekukimbia Kwasababu Wameshangazwa Sana Kwani Wewe Ulikuwa Umekwisha Kufa Na Tumekuzika Mjukuu Wangu Ila Mimi Nilitambuwa Yakuwa Mjukuu Wangu Bado Hujafaa Mwanaidhaa Mkubwa Bibi Yake Na Luyange Kutaka Kuniulia Mjukuu Wangu.
KETARO:Bibi Mbona Sielewi Mimi Nimekufa Jaman.
LIKANDE:Ndio Mjukuu Wangu.Ghafla Wakiwa Katika Maongezi Hayo Alitokea Luyange Akiwa Mbio Akimkimbilia Ketaro kwani Alikuwa Amekwisha Pata Taarifa Alikuwa Akitiririkwa Na Machozi,Alipofika Alimrukia Na Kumkumbatia Kwa Nguvu Huku Akilia Sana Tena Kwa Hisia"Kwanini Lakini Bibi"...
ITAENDELEA....
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.

MTUNZI:LAMECK PETER.

SEHEMU YA 6.
...Tulipoishia...Luyange Alimkumbatia Ketaro Kwa Hisia Sana Kuliko Ambatana Na Kutokwa Machozi.Ketaro Alikuwa Na Hasira Sana Juu Ya Luyange Muda Mfupi Tu ,Ketaro Alimsukuma Luyange Kwa Hasira Hadi Luyange Akadondoka Chini.
LUYANGE:Najuwa Ketaro Unahasira Sana Juu Yangu Lakini Utanihukumu Mimi Bure Tu Kwani Mimi Sijahusika Hata Kidogo Kwa Yaliyokupata Ila Ni Bibi Yangu Ketaro.Mimi Nakupenda Ketaro Kutoka Ndani Ya Moyo Wangu Nimekupatia Moyo Wangu Navyote Vilivyomo ,Wewe Ndio Kila Kitu Kwangu ,Wewe Ndio Furaha Yangu Nakupenda Sana Tena Sana Tena Zaidi Ya Sana.Maneno Yale Yalimgusa Sana Ketaro Kidogo Jazba Ikashuka.
KETARO:Luyange Mbona Sasa Unaniweka Katika Wakati Mgumu Sana Jaman Wewe Ungekuwa Mimi Ungefanyaje Kwani Bibi Yako Nimuuaji Leo Laiti Nisingekuwa Hapa.Luyange Alitambuwa Yakuwa Ketaro Ameanza Kupoa Aliamuwa Kumsogelea Nakuanza Kumbembeleza Kwa Kumshika Shika.Kama Mjuwavyo Watoto Wa Kike Wakiwa Kwenye Bembeleza Yao Ya Papasa Papasa Kwa Kweli Ketaro Alipoa Kabisa.
LIKANDE:Wajukuu Zangu .Luyange Kweli Unaweza Ukawa Unampenda Ketaro Sana Lakini Bibi Yako Ni Kikwazo,Bibi Yako Ni Muuaji Bila Ya Kumuwahi Na Kupambana Nae Mapema Atatuangamiza Yule.Kweli Wote Kwa Pamoja Waliona Hilo Ndilo Litakuwa Jibu La Tatizo Waliamuwa Kuwatafuta Wanakijiji Japokuwa Wengi Wao Bado Walikuwa Wakimkimbia Ketaro Na Hata Wengine Wakikataa Kukaa Nae Karibu Wakisema Ni Mzuka.Lakini Ketaro Aliwaeleza Hali Halisi Ilivyokuwa Na Mungu Akasaidia Ikawa Wepesi Kueleweka Na Wote Wakagundua Yakuwa Ketaro Alikuwa Anataka Kuchukuliwa Msukule.Walikusanyika Wanakijiji Wengi Sana Kalibia Wote.Walikaa Kikao Cha Siri Siri Nakujadili Nijinsi Gani Watamuangamiza Bibi Yake Na Luyange.Kweli Wanakijiji Walizungumza Na Wakapatana Yakuwa Siku Hiyo Kabla Kiza Hakijaingia Wanapaswa Kumuangamiza Bibi Yake Na Luyange Kwani Wasipo Muangamiza Mapema Kibao Kinaweza kikawageukia Wao wenyewe Tena Kinaweza Kikaanza Hata Usiku Huo.Kwani Bibi Yake Na Luyange Alikuwa Anauwezo Wakuona Wanakijiji Wanachojadili Kwani Miaka Mitatu 3 Iliyopita Wanakijiji Walipangaga Mpango Kama Huo Lakini Badala Yake Waliogopa Kutekeleza Badala Yake Usiku Huo Walikufa Watu 10 Kwa Mpigo Pamoja Na Waganga Wa Tatu 3 Wa Kuu Ambao Ndio Walikuwa Ni Msaada.Waliamuwa kwenda Kwa Mganga Wao Mkongwe Wa Muda Aliyebobea.Waliketi Nae Nakujadili Kwa Yale Waliyojadili.Mganga Aliwashauri Yakuwa Shughuli Hiyo Ya Kumwangamiza Mchawi Huyo Mkongwe Na Hodari Anae Sumbuwa Inabidi Ifanyike Jioni Hiyo Hiyo Kabla Hapaja Kucha Kwani Kama Wasipofanya hivyo Usiku Huo Wanaweza Wakashambuliwa Nae.Lakini Pili Mganga Alihitaji Msaada Pia Kutoka Kwa Waganga Wenzake Wengine Kwani Alitambuwa Inaweza Ikatokea Akazidiwa Na Wakashambuliwa Lakini Wanapokuwepo Wengi Kidogo Nguvu Itakuwa Kubwa.Kweli Walifanya Harakati Katika Kijiji Chao Hicho Waliongeza Waganga Wawili 2 Na Mmoja Aliyekuwa Hodari Kutoka Katika Kijiji Cha Jirani.Waliungana Waganga Hao Wakatimia Wanne 4 Kila Mmoja Akiwa Na Aina Ya Nguvu Zake.Wanakijiji Walienda Wakiongozwa Na Mjukuu Wake Luyange.Chakushangaza Walipofika Nyumbani Hapo Hawakuona Nyumba Walikuta Ni Eneo La Wazi Lisilokuwa Na Hata Dalili Ya Kuwako Na Nyumba Hata Kipindi Cha Zamani.Waganga Hao Waligundua Yakuwa Hilo Nichanga La Macho Walishirikiana Kuvumbua Na Kujua Nyumba Iko Wapi.Walifanya Mambo Yao Wakiimba Nyimbo Na Kuchikicha Manyanga Na Hata Kumwaga Mwaga Madawa Mahali Hapo Huku Wanakijiji Wakibaki Wanashangaa Wakiwa Na Silaha Zao Mikononi.Waganga Waliendelea Kufanya Mambo Yao Na Kupandisha Mizimu Yao.Kama Baada Ya Dakika Kama Kumi 10 Ghafla Nyumba Ilipata Kuonekana Kama Jinsi Ilivyo Kama Awali.Wanakijiji Walipotaka Kwenda Kwenye Nyumba Hiyo Ili Wakamtoe Wakiwa Na Hasira Waganga Hao Waliwaeleza Yakuwa Asithubutu Hata Mmoja Kusogea Katika Nyumba Hiyo Kwani Atachukuliwa Kimiujiza Na Kwenda Kutolewa Kafara.Wanakijiji Baada Ya Kusikia Ivyo Waliogopa Sana Iliwabidi Watulie Kwanza Washuhudie Vita Vikali Hivyo.Waganga Hao Waliendelea Kufanya Mambo Yao Huku Wakisogea Kwenye Nyumba Hiyo Taratibu Iliyojengwa Kwa Nyasi.Muda Huo Mida Ilikuwa Inazidi Kusogea Na Jua Lilikuwa Linaendelea Kupotea.Waganga Walisogea Hadi Kwenye Nyumba Wakiendelea Kutupa Tupa Madawa Yao.Wakiwa Katika Shughuli Yao Hiyo Mmoja Wa Waganga Kwa Bahati Mbaya Aligusa Nyumba Hiyo Na Kupigwa Shoti Ya Ajabu Na Kudondoka Papo Hapo.Waganga Wengine Waliendelea Kufanya Dawa Zao Huku Wanachi Wakishangazwa Na Tukio Lile Na Baadhi Yao Wakilie Kwa Walio Kuwa Wakimfahamu Mganga Huyo.Walibakia Waganga Watatu 3 Mganga Mkongwe Wa Kijijini Hapo.Mganga Mwingine Wa Kijijini Hapo Pamoja Na Mganga Mmoja Kutoka Katika Kijiji Cha Jirani.Waliendelea Kufanya Madawa Yao Ghafla Alitokea Mtu Aliyejifunika Shuka Jeupe Akionekana Sura Tu Alitokea Mbele Ya Nyumba Yaani Mbele Ya Waganga Hao.Baadhi Ya Wanakijiji Waoga Walitimua Mbio Ila baadhi Ya Wanakijiji Walio Katika Roho,Wenye Uchungu Na Waganga Walibaki...
ITAENDELEA....
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.
MTUNZI:LAMECK PETER.
NAMBA:0652547570
WHATSAP:0652547570
SEHEMU YA 7.
...Tulipoishia...Waganga Wale Watatu 3 Pamoja Na Baadhi Ya Wanakijiji Waliokuwa Wanajiamini Na Wenye Kujiamini Walibaki Ilikupambana Na Huyo Bibi.Mtu Yule Aliyekuwa Amejifunika Shuka Jeupe Akibakisha Sura Tu Ikionekana Kumbe Alikuwa Bibi Yake Na Luyange.Waganga Hao Hodari Waliendelea Kumtupia Dawa Na Kumshambulia Bibi Huyo.Kwa Kweli Bibi Huyo Alikuwa Ananguvu Zisizo Za Kawaida Alikuwa Ananguvu Nyingi Sana Za Kiushirikina.Mchawi Huyo,Bibi Aliyebobea Kwenye Ushirikina Aliwasogelea Waganga Hao.Kwa Kweli Lilikuwa Ni Pambano Kubwa Sana Lililokuwa Linahitaji Kufa Au Kupona.Waganga Hao Pia Walikusanya Nguvu Zao Kumshambulia Bibi Huyo.Nguvu Za Waganga Hao Zilikuwa Zikimdhuru Bibi Huyo Kwa Kiasi Kidogo Sana Kwani Ilionekana Dhahiri Bibi Huyo Alikuwa Ananguvu Sana.Kwa Kweli Katika Shambulizi Hilo Kama Ni Mwoga Unaweza Ukatokwa Na Haja Ndogo Iliyoambatana Na Haja Kubwa.Mapambano Yaliendelea Huku Wananchi Wakishuhudia Mapambano Hayo.Baadhi Ya Wananchi Walidondoka Na Kuzirai Kutokana Na Kustajabishwa.Lakini Mbaya Zaidi Bibi Huyo Hakuonyesha Hata Dalili Za Kuishiwa Nguvu Au Kuzidiwa Badala Yake Alicheka Sana Tena Sana "Hahahaha Mnachekesha Nyinyi Et Ndio Mmejikusanya Kunishambulia Mnazani Mtaniua Mimi Hapa Mmegonga Mwamba Mimi Ndiye Bibi Luyange" Hayo Ni Maneno Aliyoyasema Bibi Yake Na Luyange.Waganga Waliendelea Kumshambulia Bibi Huyo Huku Mmoja Wao Akionyesha Dalili Za Kushindwa.Bibi Huyo Alisogea Karibu Na Kumtazama Mganga Huyo Alimtazama Kwa Macho Yake Makali Yaliyo Waka Kama Taa.Alipomtazama Kama Sekunde 40 Mganga Yule Alipotea Kimiujiza Huku Yeye Akibakia.Wananchi Wote Walio Bakia Walitimua Mbio Akiwemo Ketaro,Luyange Na Bibi Yake Na Ketaro Na Kuwaacha Waganga Wawili Na Baadhi Ya Wananchi Wasio Zidi Kumi.Mashambulizi Yaliendelea Huku Nguvu Ya Waganga Hao Ikionekana Kuwa Ndogo.Lakini Mbaya Zaidi Bibi Yake Na Luyange ,Bib Mchawi Aliyebobea Alizidi Kucheka Na Kusema "Leo Ninataka Kuwapa Fundisho Naona Mnacheza Na Kifo" Kweli Punde Si Punde Waganga Hao Waliobakia Pamoja Na Wananchi Waliobakia Waliweza Kupotea Wote Kimiujiza Pamoja Na Bibi Yake Na Luyange.Kwa Kweli Lilikuwa Ni Pigo Kubwa Sana Hapo Kijijini Wananchi Wengi Walikimbia Kijijini Hapo Ili Kuokoa Maisha Yao.Ketaro,Luyange Pamoja Na Bibi Yake Na Ketaro Maisha Yao Yalikuwa Hatarini Sasa.Hata Luyange Hakutaka Kurejea Tena Kwao Aliamua Kukaa Kwa Kina Ketaro Huku Akiomba Ketaro Amuelewe Ombi Lake Na Amkubalie Waishi Wote.Kwa Kweli Maisha Ya Wananchi Kijijini Hapo Yalikuwa Ni Ya Hatari Sana Yalikuwa Yapo Hatarini Kila Siku Matukio Yalikuwa Yakitokea Mara Kupotea Kwa Watu,Mara Kufa Kwa Watu Nakadhalika.Wanakijiji Walitambuwa Yakuwa Hayo Ni Mashambulizi Kutoka Kwa Bibi Yake Na Luyange.Wanakijiji Walikuwa Wakitaka Kufanya Jambo Wanafanya Kwa Kikundi Kama Kuchota Maji Mtoni Ilikuepukana Na Hatari au Kupambana.Baadhi Ya Wananchi Walianza Kumchukia Luyange Kutokana Na Bibi Yake Kuwaletea Mabalaa Kijijini.Walimchukia Kama Vile Shetani.Siku Moja Usiku Ketaro Akiwa Amelala Usiku Wa Manane Alishangaa Kusikia Mlango Ukibishwa Hodi.Ketaro Aliogopa Sana Alihisi Hadi Mkojo Umembana Kwani Alitafakari Ni Nani Tena Usiku Huu Anabisha Hodi.Alitamani Hata Kupiga Kelele Lakini Aliona Haitosaidia Kitu Aliamuwa Kuuliza.
KETARO:Wewe Nani Unaebisha Hodi Mda Huu?.Mtu Huyo Hakujibu Alikaa Kimya.Ketaro Alizidi Kujawa Na Uwoga.
KETARO:Jamani Kwani Wewe Nani Siunijibu Tu.Mtu Huyo Alijibu"Mimi Luyange"
KETARO:Luyange.Kisha Akajibu "Ndio"
LUYANGE:Ketaro Samahani Sana Kubisha Hodi Mda Huu Ila Mimi Ni Luyange Tafadhali Naomba Ufungue Mlango.Kwa Kweli Ketaro Aliogopa Sana Kwani Ilihisi Yaweza Kuwa Bibi Yake Na Luyange Hata Ndio Yeye.
KETARO:Hapana Mimi Naogopa Mimi Siamini Kama Ni Luyange,Luyange Hawezi Kuja Kunigongea Mimi Mlango Mda Huu.
LUYANGE:Tafadhali Nakuomba Uje Ufungue Mlango.Kweli Ketaro Akaamuwa Potelea Mbali Alikwenda Nakufungua Mlango Taratibu Kwa Kuchungulia.Alipotazama Alishangaa Kumuona Luyange Akiwa Na Kanga Tu.Ketaro Aliogopa Sana Kwani Alikuwa Akiwa Njia Panda Kwani Alihisi Anaweza Akawa Sio Luyange.Kisha Akasema Naomba Kuingia Ndani Ketaro.Ketaro Alimkatalia Katu Nakuufunga Mlango Kwa Nguvu Kisha Akaenda Kusali Nakulala Tena Kwa Kujifunika Shuka Kwa Uwoga.Mungu Alisaidia Na Asubuhi Ikatimu Akiwa Anakumbuka Kila Kitu Cha Jana Kwani Hakuamini Kabisa Kama Alikuwa Ni Luyange Na Hakutaka Kumuuliza.Alipoamka Kwa Kweli Nyumbani Hakukuwa Na Maji Hata Tone Ilimbidi Aende Mtoni Akachote Maji Ili Watumie Kwani Hata Wanakijiji Wengi Kijijini Hapo Waliwatenga Kwahiyo Ilikuwa Nivigumu Kupata Msaada.Ni Kweli Ilikuwa Nivigumu Ketaro Kwenda Kuchota Maji Peke Yake Lakini Ilimbidi Aende.Ketaro Alienda Mtoni Akiwa Na Madumu Mawili 2 Ya Maji Alikuwa Akitetemeka Sana Alimwomba Mungu Amsaidie Arejee Salama Kwani Hata Mtoni Hapo Palikuwa Ni Ndani Ya Msitu.Ketaro Akiwa Anachota Maji Alishtushwa na Mguso Alioguswa Kwenye Bega Lake La Kushoto Akiwa Anachota Maji...
ITAENDELEA........
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.
MTUNZI:LAMECK PETER.
NAMBA:0652547570.
WHATSAP:0652547570.
...Tulipoishia...Ketaro Alishtushwa Na Mguso Alioguswa Katika Bega Lake La Kushoto.Ketaro Alishtuka Sana Hadi Ikapelekea Kudondokea Kwenye Maji .Ketaro Aliogopa Sana Tena Sana "Mungu Wangu"Ni Kauli Aliyoitoa Ketaro.Lakini Cha Ajabu Ketaro Alipogeuka Alishangazwa Kukutana Na Mwanadada Mmoja Mzuri Sana.Mwanadada Aliyekuwa Na Asili Ya Kihindi,Mwenye Nywele Laini Ndefu Za Kihindi,Mwenye Umbo Zuri Mwembamba Wa Kiasi,Macho Mazuri Yaliyo Ambatana Na Madimpozi Mazuri Madogo Yaliyo Kuwa Mashavuni Kwake.Kwa Kweli Binti Huyo Alikuwa Ni Mzuri Sana Mithili Ya Malaika Wa Paradiso.Ketaro Alipomtazama Vizuri Alimfananisha Na Binti Yule Aliyemsaidie Kule Msituni..
KETARO:Wewe Ni Nani?
MWANADADA:Aaah Ketaro Mbona Unakuwa Mkali Kiasi Hicho Jamani.
KETARO:Hahahaha Wewe Wewe Umenijuwaje Kama Mimi Naitwa Ketaro.Yaani Wewe Bibi Yake Na Luyange Bado Tu Unanifuata Hadi Huku Jamani Unataka Kunitoa Roho Yangu Au.
MWANADADA:Hapana Jamani Mimi Ni Najma Uliyenisaidia Kule Kwenye Msitu Na Mimi Nikakusaidia Kule Kwenye Msitu.
KETARO:Aah Najma Kumbe "Ilimbidi Ashushe Pumzi Kidogo"Lakini Najma Umejuwaje Kuwa Mimi Niko Hapa Na Umefikaje Fikaje Hapa Jamani.
NAJMA:Hahaha Usinichekeshe Ketaro Eti Umefikaje Hapa Mimi Ni Sawa Sawa Na Upepo Tu Kila Uendako Nipo.
KETARO:Kama Upepo Unamaanisha Nini Jamani.
NAJMA:Utakuja Kunielewa Tu Usijali.
KETARO:Alafu Sijakuelewa Pia Umesema Kuwa Nilikusaidia Nilikusaidia Saidia Vipi Najma.
NAJMA:Ketaro Ni Stori Ndefu Sana.Ila Kwa Ufupi Ni Kwamba Mimi Nilikamatwaga Na Kufungiwa Mle Kwenye Chupa Uliyokuwa Umeifungua.Kwahiyo Wewe Ndio Uliyekuja Kuniweka Huru Baada Ya Kukaa Kwa Muda Wa Miaka 300 Kwenye Chupa Ile Ketaro.
KETARO:Mbona Sikuelewi Unachokisema Najma Jamani Binadamu Unawezaje Kuingia Kwenye Chupa Kama Ile Mbona Sikuelewi.
NAJMA:Hahahaha Utanielewa Tu Najuwa Sasa Hivi Hautonielewa Ila Baadae Utanielewa Tu Ketaro Ila Kikubwa Ni Kwamba Kesho Asubuhi Nilitaka Kuonana Na Wewe Kwani Nilitaka Kukupa Asante Yangu.
KETARO:Itakuwa Ni Vigumu Sana Najma Kuja Kwani Kijijini Kwetu Kuna Matatizo Makubwa Sana Na Roho Yangu Ipo Mawindoni Najma.
NAJMA:Hahaha Ketaro Hayo Yote Mimi Nayajuwa Usiogope Hakuna Tatizo Litakalo Kupata Madamu Mimi Nipo Usijali.
KETARO:Mmmhh Hapana Najma Naweza Nikadhulika Na Hata Nikafa.
NAJMA:Usiseme Ivyo Ketaro Hauwezikufa Mimi Ningali Hai.Na Endapo Utashindwa Kuja Kesho Utakuwa Umeniumiza Sana Tafakari Nilivyokusaidia Tena Kimiujiza Niamini Kuwa Hautodhulika.
KETARO:Nimekuelewa Najma Nitajitahidi Kesho Nije.Tulikubaliana Na Kisha Tukaagana Huku Yeye Nikimwacha Mtoni Hapo Msituni.Nikiwa Safarini Kurejea Nyumbani Huku Nikiwa Na Madumu Mawili Ya Maji Nilishangaa Kumuona Bibi Kizee Akiwa Mbele Yangu Akiwa Anavazi Jeupe Tena Akiwa Amenigeuzia Mgongo Akivuja Damu Nzito Kama Ya Binadamu.Niliogopa Sana Uvumilivu Ulinishinda Nilidondosha Madumu Hayo Yenye Maji Na Kutimua Mbio Hadi Nyumbani Huku Nikiwa Kama Vile Mtu Aliye Changanyikiwa.Nilipofika Niliwakuta Luyange Na Bibi Wakiwa Wameketi Pamoja Wakizungumza Waliponiona Waliogopa Sana Ilikuwa Bado Kidogo Na Wao Wakimbie.Ilibidi Waniulize Kulikoni Kuna Nini Kimetokea.Ilibidi Niwaeleze Hali Halisi Ilivyokuwa.Tena Ilibidi Na Waeleze Hata Natukio La Jana Jinsi Lilivyokuwa Lakini Cha Ajabu Na Chakushangaza Nilipomweleza Kuwa Luyange Alikuja Chumbani Kwangu Jana Usiku Alikataa Kata Kata Nakusema Alikuwa Chumbani Kwake.Ili Kuwa Nidhahiri Kuwa Bibi Yake Na Luyange Alikuwa Na Uwezo Mkubwa Sana Wa Kichawi Kwani Hata Yule Binti Aliyekuja Jana Usiku Kwa Taswira Ya Luyange Alikuwa Ni Yeye.Hali Hiyo Ilitutia Uwoga Sana Nyumba Nzima Kwani Ingefanya Kuto Aminiana Hata Sisi Kwa Sisi.Tuliogopa Sana Sana Hofu Ilitanda Kwetu Sote.Muda Ulienda Na Jioni Ikatimu Tukiwa Tunakula Tukiwa Tumejikusanya Kama Duara Tukizunguka Kibatari Tukiwa Tunakula Ghafla Zilipiga Radi Kama Tatu 3 Wakati Mvua Amna.Hali Hiyo Ilitutisha Sana Kila Mmoja Alikimbia Na Kwenda Kujifungia Chumbani Kwake Kwa Uwoga Kwa Kweli Maisha Yetu Sasa Hivi Yalikuwa Hatarini Muda Wote.Kila Moja Alienda Kulala Zake Kweli Mungu Sio Athumani Mungu Alitulinda Salama Na Paka Kucha Salama.Palivyokucha Niliweza Kusaidia Majukumu Ya Nyumbani Na Baada Ya Muda Nilichukuwa Madumu Tena Kwa Mara Nyingine Ili Nikaonane Na Najma Pia Nikateke Maji.Nilikwenda Nikiwa Ninahofu Sana Lakini Mungu Alisaidia Nikafika Hadi Mtoni Salama.Nilipofika Tu Baada Ya Kama Dakika Moja 1 Nilishtushwa Na Muito Wa Jina Langu Wa Sauti Nyororo Sana "Ketaro" Aliniita Niligeuka Nakumfuata Nakuacha Madumu Chini.Nilimfuata Na Akiniambia Tuketi Katika Gogo Ambalo Kwa Kipindi Cha Zamani Nilishawahi Kuketi Na Luyange.
NAJMA:Ketaro.
KETARO:Naam Najma.
NAJMA:Ketaro Umeyaokoa Maisha Yangu.
KETARO:Mmmhh Maisha Yako Kwahiyo.
NAJMA:Nataka Nikupe Zawadi Ya Milele Ketaro.
KETARO:Zawadi Gani Hiyo.
NAJMA:Nakupenda Ketaro Nataka Uwe Mume Wangu Tujenge Familia.
KETARO:Mungu Wangu#
ITAENDELEA...
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.
MTUNZI:LAMECK PETER.
NAMBA:0652547570.
WHATSAP:0652547570.
SEHEMU YA 9.
...Tulipoishia...Najma Alieleza Hisia Zake Jinsi Zilivyo Kwa Ketaro.
NAJMA:Ketaro Nataka Uwe Mume Wangu Wa Maisha Nakupenda Sana Tena Sana Ketaro.Ketaro Umeyaokoa Maisha Yangu Jamani Nimetokea Kukupenda Sana Isivyo Kawaida.
KETARO:Mmmhh Najma Mbona Unaniweka Katika Hali Ngumu Sana Jamani.
NAJMA:Kwanini Jamani Ketaro.
KETARO:Najma Hebu Tuachane Na Hayo Kwanza Jamani Mana Mimi Hapa Sina Hata Amani Jamani.
NAJMA:Ketaro Mimi Najuwa Kinachokusibu Ondoa Shaka Ketaro .Niwapo Mahali Popote Ninakuona Na Nitakulinda Ketaro,Wewe Ni Wangu Na Mimi Ni Wako.
KETARO:Najma Inamana Wewe Ni Nani Kwani?
NAJMA:Hahahaha Ketaro Usijali Mimi Ni Mtu Kama Wewe Tafadhali Naomba Uzipokee Hisia Zangu.
KETARO:Najma Tafadhali Naomba Unipe Muda Nilitafakari Hili Jamani.
NAJMA:Jamani Aya Bwana Basi Utafakari Vizuri.
KETARO:Sawa.Kisha Ketaro Alienda Na Kuchukuwa Madumu Yale Na Kuchota Maji Na Kurejea Nyumbani.Mungu Wa Ajabu Mara Hii Hakuweza Kupatwa Na Tatizo Lolote Hadi Alifika Nyumbani Salama.Alifika Ilikuwa Ni Mchana Sasa Alifika Na Kumkuta Luyange Akiandaa Chakula Akiwa Na Bibi.Ketaro Alisogea Na Wakakusanyika Wote Ili Kupata Chakula.Wakiwa Wanakula Luyange Alikuwa Akiyasema Haya.
LUYANGE:Bibi.
LIKANDE:Naam Mjukuu Wangu.
LUYANGE:Ketaro.
KETARO:Naam.
LUYANGE:Bibi Mimi Nampenda Ketaro Jamani Nataka Awe Mume Wangu Wa Maisha.
LIKANDE:Ni Kweli Luyange Unaonekana Unamapenzi Ya Dhati Kwa Ketaro.Ketaro.
KETARO:Naam Bibi.
LIKANDE:Mwenzio Anakupenda Anataka Mtengeneze Familia.Toka Zamani Amekuwa Akieleza Hisia Hizo Kwako Wakati Umefika Sasa Wa Kumuelewa Na Wakuanza Maisha Mapya Kama Mke Na Mume Wajukuu Zangu.Wakati Huo Ketaro Alikuwa Amejaa Na Dimbwi Kubwa La Mawazo Kwani Alikuwa Akikumbuka Maneno Aliyokuwa Akizungumza Najma.
KETARO:Bibi Nimekuelewa Na Luyange Nimekuelewa Ila Nawaomba Mnipe Muda Nitafakari Hili Jamani Kwani Nimapema Sana.
LIKANDE:Usiseme Ivyo Ketaro Eti Mapema Hakuna Cha Umapema Wowote Kwani Wakati Ndio Sasa Umekwisha Kuwa Wewe.
KETARO:Sawa Bibi Ngoja Nilitafakari Hili Ila Usijali Nitakupa Jibu Zuri Tu.Basi Haikuwa Mabishano Tena Walimwelewa Nakuweza Kumpa Muda Wa Kutafakari.Muda Ulienda Na Usiku Ukatimu ,Kila Mmoja Alikwenda Kwenye Chumba Chake Kulala.Ketaro Akiwa Chumbani Kwake Akiwa Anatafakari Yale Yaliyokuwa Yakizungumziwa Mchana Na Yale Ya Najma.Alitafakari Kwa Muda Na Kisha Akalala Akiwa Amelala Mida Ya Saa 8 Usiku.Ketaro Alihisi Akipapaswa Papaswa Na Mtu Kwa Kutumia Mikono.Ketaro Alikuwa Akijishawishi Kumtazama Mtu Huyo Kwani Kupapaswa Kule Kulimfanya Kujisikia Raha.Alihitaji Kumtambua Aliyekuwa Akimpapasa Alipofumbua Macho Alishangazwa Kumuona Najma Akiwa Kifuani Kwake Akiwa Anapapasa Nywele Zake Zilizokuwa Zimeanza Kuota Kifuani Kwake.Ketaro Aliogopa Sana Aliisukuma Mikono Ya Najma Pembeni Na Kusogea Pembezeno Mwa Kitanda Chake Kilichotengenezwa Kwa Ngozi...
NAJMA:Ketaro Jamani Usiogope Unaogopa Nini Lakini.
KETARO:Niache Najma Nakwambia Niache "Ketaro Alikuwa Akihema Isivyo Kawaida" .Najma Alizidi kumsogelea Ketaro Kwa Ukaribu.Ketaro Aliruka Na Kukimbilia Kwenye Ndoo Yake Ya Maji Ya Kunywa Iliyokuwa Juu Inakisu.
KETARO:Najma Usinisogelee Wewe Sio Mwanadamu Wakawaida Nitakuuwa.
NAJMA:Ketaro Kufa Kwa Ajili Yako Kwangu Sio Tatizo Kwani Wewe Ndiye Uliyeyaokoa Maisha Yangu Kwahiyo Hata Ukiyatoa Wewe Mwenyewe Amna Shida.Najma Alizidi Kumsogelea Ketaro Bila Kujali Kisu Alichonacho.
KETARO:Najma Usinisogelee Tafadhali Nitakuuwa Nasema.Najma Alizidi Kumsogelea Ketaro Kwa Ukaribu .Ketaro Alikuwa Kama Mwenye Kuchanganyikiwa Alijikuta Akimchoma Kisu Najma Cha Tumboni Tena Na Kukizamisha Hadi Ndani Kisha Na Kukiacha Tumboni Hapo.
KETARO:Mungu Wangu.Najma Alicheka Huku Akiwa Anatokwa Na Machozi Ya Damu "Hahahaha Ketaro Nipo Tayari Kufa Kwa Ajili Yako".Ketaro Aliogopa Sana Tena Sana Alijuwa Leo Ameuwa.
KETARO:Najma Nisamehe Jamani Siamini Kama Nimekuuwa Jamani.Najma Alizidi Kumsogelea Ketaro Bila Kujali Kisu Kilichokuwa Tumboni Kwake Na Kumkumbatia Ketaro Kwa Hisia.Ketaro Alitetemeka Sana Mbaka Haja Ndogo (Mkojo) Ulimtoka.Najma Akiwa Amemkumbatia Ketaro Alipotea Kimiujiza Pamoja Na Kile Kisu.Ketaro Aliogopa Sana Alichomoka Mbio Hadi Nje Huku Akipiga Kelele "Nakufa Nakufa Nakufa Bibi Jamani " .Ghafla Luyange Alitoka Katika Chumba Chake Akifuatiwa Na Bibi Mwenye Likande.Walishangazwa Na Hali Aliyokuwa Nayo Ketaro Kwani Hawakujuwa Nini Kimempata Walipomuuliza Ketaro Alipindisha Maneno Nakusema Kuwa Mzuka Ulimtokea Ukiwa Unataka Kumdhuru.Waliamuwa Kukesha Nje Hapo Hadi Asubuhi.Asubuhi Ilipofika Pilika Pilika Zilianza Kama Kawaida .Siku Hiyo Ketaro Hakuwa Vizuri Kabisa.Luyange Alipojaribu Kumuuliza Ketaro Alikuwa Msiri Mno Nakumwambia Luyange Kuwa Hakuna Tatizo.Muda Ulienda Na Usiku Ukatimu Kama Kawaida Kila Mmoja Alienda Chumbani Kwake Kulala.Usiku Huo Ketaro Hakutaka Kabisa Kulala Ilipofika Saa 6 Usiku Alipitiwa Na Usingizi Mzito.Ilipofika Mida Kama Ya Saa 8 Usiku Tena Alihiri Kwa Mara Nyingine Tena Akipapaswa#
ITAENDELEA ......
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.
MTUNZI:LAMECK PETER.
NAMBA:0652547570.
SEHEMU YA 10.
...Tulipoishia.Ketaro Aliogopa Sana Pale Alipohisi Anapapaswa Taratibu Tena Kwa Hisia.Ketaro Aliogopa Sana Alijisemea Kimoyo Moyo "Yaani Kukaa Kote Macho Amna Kilichonitokea Ila Nilivyolala Tu Daah".Ketaro Alihitaji Kuamka Ili Kumuona Aliyekuwa Akimpapasa,Alipofumbua Macho Yake Hakuamini Kabisa Alichokiona Alimkuta Najma Akiwa Pembeni Yake Akimpapasa Nywele Zake Zilizokuwa Zimeanza Kuota Kifuani.Ketaro Hakuamini Alichokiona Ilimbidi Aseme Haya.
KETARO:Najma.
NAJMA:Naam Mpenzi.Ketaro Hakuamini Macho Yake"Mungu Wangu" Na Kudondoka Papo Hapo.Nyakati Zilienda Alipokuja Kuzinduka Palikuwa Pamekwisha Kucha Alijikuta Akiwa Hana Nguo Hata Moja .Alikuwa Yupo Uchi Wa Mnyama.Ketaro Aliogopa Sana Tena Sana Alikurupuka Na Kuvaa Nguo Ya Chini Nakutoka Nje Akiwa Kitumbo Wazi.
LUYANGE:Kulikoni Ketaro Kuna Nini Jaman.
LIKANDE:Kuna Nini Mjukuu Wangu.
KETARO:Amna Bibi Ni Ndoto Tu Zimenishtuwa.
LIKANDE:Kwani Umeotaje Mjukuu Wangu Jamani.
KETARO:Amna Bibi Nimeota Kawaida Tu Sema Ndio Uwoga.
LUYANGE:Sawa Nenda Basi Ukaoge Mume Wangu Nimekwisha Kuandalia Maji Bafuni Ukienda Kuoga Utakuwa Sawa.Alafu Ukitoka Kuoga Uje Ule Sawa "Kwa Kuwa Muda Ulikuwa Umeenda".Kweli Ketaro Alifanya Kama Alivyoambiwa Na Kwenda Kuoga Kisha Akamaliza Na Kukuta Wamekwisha Andaa Chakula Wakimngojea Yeye Atoke Kuoga .Ketaro Aliweka Ndo Nakuja Kula.Walianza Kula Na Walipomaliza Walianza Mazungumzo Yakiwa Hivi.
LIKANDE:Mjukuu Wangu Lile Nililo Kwambia Kuhusu Luyange Umejifikiriaje Ninahitaji Jibu?.
LUYANGE:Tafadhali Ketaro Naomba Jibu Lako Lisiwe La Kunirarua Moyo Wangu.Ninaweza Nikachukua Maamuzi Mabaya Hata Ya Kujinyonga Kwani Wewe Ndio Kila Kitu Kwangu Nakupenda Sana.Ketaro Aliwekwa Katika Wakati Mgumu Sana Kwani Kiukweli Ketaro Alikuwa Akimpenda Luyange Pia Lakini Alikuwa Akifikiria Kuhusu Najma.Alijuwa Fikra Mapenzi Yao Hayatodumu Kabisa.
KETARO:Mimi Bibi Na Luyange Nimekubali Kuungana Na Luyange ili Kuanzisha Familia Tuwe Mke Na Mume Ghafla Wakiwa Wanaongea Maneno Hayo Ilianza Kunyesha Mvua Ya Rasha Rasha Ya Ghafla Iliyokolea Kwa Sekunde Nakuwa Mvua Haswa Yenyewe Kamili.Ili Wabidi Wanyanyuke Nakukimbilia Ndani Kila Mmoja Japo Kuwa Hawakuendelea Kuzungumza Ila Ketaro Alitoa Jibu La Ndio Lililompa Furaha Kubwa Sana Luyange Kwani Alikuwa Akimpenda Sana Ketaro.Ketaro Alipata Kuingia Chumbani Kwake Na Kupumzika Kitandani Huku Akiwaza Hatma Yake Itakuwaje.Kwa Upande Wa Luyange Alikuwa Na Furaha Isiyo Ya Kawaida Alijilaza Kitandani Huku Akijipapasa Papasa Mwili Wake Na Kujiminya Minya Baadhi Ya Sehemu Ya Mwili Wake Kama Vile Maziwa Kwani Jibu Lile Lilimpa Kiu Ya Kutamani Kushiriki Tendo La Ndoa Na Ketaro Ingawa Alikuwa Hajawahi Kufanya Kitu Hicho .Luyange Alitamani Sana Awe Mke Wa Ketaro Na Amzalie Watoto Alibaki Kitandani Kwake Akimtafakari Ketaro Tu.Muda Ulienda Na Ukasogea Ulipofika Usiku Kama Wa Saa 2 Usiku Pakiwa Kimya Kila Mmoja Akiwa Kwenye Chumba Chake .Luyange Hakupata Kabisa Usingizi Siku Hiyo Alikuwa Akimwaza Ketaro Tu Huku Akitamani Wale Dodo Hilo Changa Na Ketaro Kwani Hata kwa Upande Wa Ketaro Pia Hakuwahi Kushiriki Tendo Lolote Lile Na Mwanamke Yeyote Yule.Luyange Alishindwa Kuvumilia Badala Yake Alinyanyuka Na Kwenda Chumbani Kwa Ketaro Ikiwa Ni Saa 5 Usiku.Aligonga Mlango Kwa Muda Huo ketaro Alikuwa Bado Hajalala Kwani Alikuwa Yupo Kwenye Dimbwi Kubwa Sana La Mawazo.Luyange Alipiga Hodi.
LUYANGE:Hodi Hodi Hodi.
KETARO:Mmmhh Nani Tena Usiku Huu.
LUYANGE:Ni Mimi Luyange.
KETARO:Luyange.
LUYANGE:Ndio Mume Wangu.
KETARO:Hapana Wewe Sio Luyange Mimi Nitaamini Vipi Kama Wewe Ni Luyange.
LUYANGE:Niamini Mume Wangu Najuwa Yote Yaliyokutokea "Luyange Alijaribu Kumwelezea Baadhi Ya Vitu Vilivyo Mtokea Ketaro Na Vitu Alivyofanya Pamoja Na Ketaro Ili Kumwaminisha kuwa Yeye Ndiye"Kweli Ketaro Alirizika Na Majibu Na Kisha Akaenda Kufungua Mlango.
KETARO:Lakini Umefuata Nini Usiku Huu.
LUYANGE:Nimeshindwa Kulala Kabisa Ketaro Mawazo Yangu Yote Yapo Kwako Wewe Nisingeweza Kulala Peke Yangu.
KETARO:Kwahiyo?.
LUYANGE:Nataka Kulala Na Wewe.Luyange Alijaribu Kumsogelea Ketaro Na Kumpapasa Mwili Wake Ili Kumpa Hamasa Ya Kuridhia Kile Anachokisema Japo Kuwa Yeye Pia Alikuwa Ni Mgeni Katika Mambo Hayo.Ketaro Kwa kuwa Hakuwahi Kushiriki Mambo Hayo Alijikuta Akipatwa Na Hisia Kali Sana Isivyo Kawaida Alijikuta Akishindwa Kuongea Nakuanza Kutoa Ushirikiano Na Yeye Katika Hilo.Kupapasana Kwao Kuliwapelekea Hadi Kuvuana Nguo Nakuanza Mapambano.Mapambano Yalikuwa Makali Sana Kwani Kwa Upande Wa Mwanamke Alijikuta Akitokwa Na Damu Na Kuhisi Maumivu Makali Sana Ila Kwa kuwa alipenda Na Alikuwa Akisikia Raha Alivumilia Na Baada Ya Kama Masaa 2 Waliweza Kumaliza Mechi Yao Hiyo Nakufutana Na Kuagana Ikiwa Ni Saa 5:30.Ketaro Alijidondosha Kitandani Kwake Kitanda Cha Aina Ya Ngozi Na Kulala.Ilipofika Saa 8 Usiku Ketaro Alijiuta Akiapapaswa Tena Alipoamka Alimkuta Najma Akiwa Kifuani Kwake.Najma Alimuamulu Ketaro Asiogope Na Amkumbatie Anataka Kumfanyia Suprise
ITAENDELEA
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.
MTUNZI:LAMECK PETER.
NAMBA:0652547570.

SEHEMU YA 11.
...Tulipoishia...Najma Alimsihi Ketaro Amkumbatie Lakini Ketaro Aliogopa Sana Sana.
KETARO:Mimi Naogopa Najma.
NAJMA:Usiogope Ketaro Mume Wangu.
KETARO:Najma Mara Hii Nimeshakuwa Mumeo.
NAJMA:Ndio Wewe Ni Mume Wangu.
KETARO:Hapana Najma Mimi...Kabla Ketaro Hajamaliza Kuonge Najma Akawa Amekwisha Dakia.
NAJMA:Unataka Kusema Unamtu Unayempenda Au.
KETARO:Ndio Najma Na Si Mwingine Ni Luyange.
NAJMA:Ketaro Lakini Kumbuka Mimi Ndiye Niliyekuokoa Maisha Yangu Na Sio Luyange.Pasipo Mimi Usingekuwa Hai Leo Na Hata Huyo Luyange Ungempata Vipi.Mimi Najuwa Unaweza Ukanitenga Kwa Utofauti Nilionao Kwakuwa Sifanani Na Wewe Asilimia 100 Lakini Na Mimi Napenda.
KETARO:Najma Unaniweka Katika Wakati Mgumu Sana Jaman.
NAJMA:Ketaro Utautesa Moyo Wangu Sana Na Utafanya Nijutie Kukusaidia Kwangu Kwa Kipindi Kile Ulipokuwa Nashida.Mara Nyingi Nimekuwa Nikilia Kwa Ajili Yako Hata Jana Mchana Nililia Kwa Ajili Yako Kilio Changu Kwenu Ninyi Ni Mvua Lakini Kwa Sehemu Ntakayo Kuwepo.
KETARO:Inamana Najma Jana Nilipomkubalia Luyange Na Kumwambia Kuwa Na Mpenda Na Ntakuwa Mume Wake Pamoja Na Usiku Wajana Tulipofanya Mapenzi Mara Zote Hizo Mvua Zilikuwa Zikinyesha Kwa Ghafla Inamana Ulikuwa Unalia Jaman Au.
NAJMA:Ndio Ketaro Nakupenda Sana.Daah Kiukweli Ketaro Aliwekwa Katika Wakati Mgumu Sana Tena Sana Mazungumzo Hayo Yaliwafanya Na Yakamfanya Najma Kusahau Kabisa Suprise Ya Kumbatio Aliyokuwa Akihitaji Kumfanyia Ketaro.Najma Alikuwa Akilia Machozi Ya Damu Huku Macho Yake Yakiwaka Waka Kwakuwa Ilikuwa Ni Usiku Damu Zile Ketaro Hakuweza Kuziona Badala Yake Aliona Ni Kama Machozi Tu.Najma Alimwambia Ketaro...
NAJMA:Ketaro Mume Wangu Ninakupa Masaa 20 Ya Kujifikiria Kesho Saa 6 Na Nusu Usiku Mzito Nitakuja Kufuata Jibu Na Kukuchukuwa...
KETARO:Kunichukuwa...Baada Ya Kutamka Hayo Ketaro .Najma Akawa Amekwisha Yayuka Kimiujiza Na Kupotea.Ketaro Aliogopa Sana Na Kujiuliza Maswali Mengi Sana.Muda Ulienda Na Asubuhi Paka Kucha.Ketaro Aliamka Mapema Tu Lakini Luyange Alichelewa Sana Kuamka Kutokana Na Shughuli Ya Jana Usiku Na Kwa Vile Ilikuwa Ndiyo Mara Yake Ya Kwanza Pia Ilichangia Sana.Bibi Hakujua Kinachoendelea Alijuwa Luyange Atakuwa Na Uchovu Wa Kawaida Tu.Waliendelea Na Majukumu Ya Nyumbani Hadi Kufikia Mchana Wa Saa 8 Luyange Alikuwa Amelala Tu.Ketaro Aliandaa Maji Ya Kuoga Watu Wawili.Alimfuata Luyange Na Kisha Akamsaidia Kumpeleka Bafuni Huku Akimweleza Yakuwa Leo Tutaoga Wote Mke Wangu.Luyange Alifurahi Sana Tena Sana.Wakati Huo Wakiwa Wanaenda Bafuni Bibi Aliwaona...
LIKANDE:Kulikoni Mjukuu Wangu Luyange Mbona Unatembea Ivyo Na Unakokotwa Tatizo Nini.
LUYANGE:Hapana Bibi Ni Uchovu Tu Uliombatana Na Mahaba Kutoka Kwa Mume Wangu Ketaro.
LIKANDE:Aya Bwana Leo Mnaenda Kuoga Wote.
KETARO:Ndio Bibi Siunajuwa Tena.
LIKANDE:Nyie Wajukuu Bwana Aya .Ketaro Na Luyange Walienda Kuoga.Ketaro Alifanya Vile Maksudi Kwa Ajili Ya Kumuogesha Mkewe Na Kumsafisha Jeraha Lile Lililopatikana Kwenye Shambulio Kali.Kwa Kweli Siku Hiyo Kwao Ilikuwa Ni Ya Mahaba Niuwe .Walitoka Kuoga Na Kwenda Kuvaa Nguo Pamoja Na Wakaja Kula Pamoja Na Bibi Tena Wakilishana Na Mabusu Juu.Siku Hiyo Penzi Lao Lilikuwa Tamu Hakuna Mfano.Muda Ulienda Na Ukaenda Hatimaye Usiku Ukatimu Kila Mmoja Akiwa Ameenda Kulala Chumbani Kwake.Muda Ulizidi Kusogea Lakini Kwa Upande Wa Luyange Usingizi Ulikuwa Haupandi Kabisa Alikuwa Akihitaji Kulala Pamoja Na Mume Wake Ketaro Hadi Asubuhi.Alijaribu Kuvumilia Kulala Peke Yake Kama Ataweza Ikishindikana Aende Kulala Na Mume Wake.Muda Ulienda Hatimaye Saa 6 Usiku Ikatimu Muda Huo Luyange Alikuwa Macho Na Ketaro Alikuwa Macho Akisubili Aone Kitakacho Jiri.Baada Ya Dakika Kadhaa Mara Najma Alitokea Kwenye Pembe Ya Nyumba.Ketaro Alimwona Mara Hii Alikuwa Anahofu Kidogo Sio Kama Mara Ya Kwanza...
KETARO:Najma.
NAJMA:Naam Mume Wangu .Nimekuja Ketaro Mume Wangu.
KETARO:Mmmhh Sawa.
NAJMA:Ketaro Mume Wangu Lile Jibu Langu Umelifikiriaje?
KETARO:Mmmhh Najma Mimi Nime...Kabla Hajamaliza Najma Alimshika Mkono Ketaro Na Kumvuta Kwake.Lakini Kumbe Kwa Wakati Huo Luyange Alikuwa Yupo Mlango Akisikiliza Majibizano Hayo Kwani Luyange Alivumilia Akashindwa Alitaka Kuja Kulala Na Mumewe.Aliposikiliza Mazungumzo Hayo Kwa Muda Alishindwa Kuelewa Badala Yake Alisukuma Mlango Kwa Nguvu Ili Aingie Amfumanie Ketaro.Na Kweli Siku Hiyo Ketaro Hakufunga Mlango Ipasavyo Bali aliegesha Tu.Alipoingia Chakushangaza Kwa Upande Wa Luyange Alimuona Ketaro Tu Ila Ketaro Aliweza Kumwona Najma Na Hata Kumshika Na Hata Kumsikia Asemayo Ila Luyange Hakusikia Huo Ni Muujiza Alioufanya Najma..
LUYANGE:Huku Kuna Nini Ketaro..Najma Alimwambia Ketaro...
NAJMA:Ketaro Huyo Mimi Hanioni Wala Kunisikia Kwa Muda Huu Wewe Mwambie Yakuwa Ulikuwa Ndotoni.
KETARO:Nilikuwa Ndotoni Mke Wangu.
LUYANGE:Mana Niliogopa Sana.Kisha Luyange Alirejea Chumbani Kwake.Lakini Cha Ajabu Ketaro Alivyo Mkumbatia Tu Najma Wote Waliyayuka Papo Hapo...
ITAENDELEA.
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.
MTUNZI:LAMECK PETER.
NAMBA:0652547570.

SEHEMU YA 12.
...Tulipoishia...Najma Aliyeyuka Na Ketaro Kimiujiza.Ketaro Alipokuja Kuzinduka Alijikuta Yupo Katika Jumba Zuri La Kifahari Hakuna Mfano.Ketaro Aliogopa Sana Alibaki Akijiuliza Hapa Ni Wapi Na Nimekujaje Kujaje Muda Mchache Tu Najma Alitokea Mbele Yake Akiwa Katika Mavazi Mazuri Ya Kuvutia Yenye Asili Kama Ya Kihindi Na Huku Akiwa Ananukia Manukato Mazuri.
NAJMA:Ketaro Mume Wangu.Ketaro Alikaa Kimya Akiwa Haelewi Elewi.
NAJMA:Ketaro Ketaro Ketaro Mume Wangu.Najma Alimwita Tena Kwa Kurudia Rudia.
KETARO:Naam Najma.
NAJMA:Kalibu Mume Wangu Kwenye Maisha Ya Kifalme.
KETARO:Huku Ni Wapi Najma Na Umenileta Kufanya Nini Jaman.
NAJMA:Ketaro Mume Wangu Huku Ni Mahali Ninapoishi Mimi Na Familia Yangu.Familia Yangu Ilikuwa Ikitaka Kukuona Tena Ilitaka Unioe Japo Kuwa Wewe Ni Binadamu Na Mimi Ni Jini Kwani Umeokoa Maisha Yangu Na Pia Wamesema Watanisaidia Kurejea Katika Ubinadamu.
KETARO:Najma Jaman Kwanini Haukunishirikisha Hili Na Mimi Nijifikirie Kwani Kuna Mke Wangu Nimemwacha Kule Tena Wanahatari Kwani Yule Bibi Atawasumbua Wataishi Vipi.
NAJMA:Usijali Ketaro Nimekwisha Weka Ulinzi Kwao Hakuna Baya Litakalo Watokea Mume Wangu.
KETARO: Daaah Najma .Ketaro Alikuwa Akiwaza Sana Moyoni Mwake Juu Ya Maisha Yake.
NAJMA:Njoo Basi Nikutoe Nje Mme Wangu.Najma Alimshika Mkono Na Wakatoka Nje.Muda Wote Huo Ketaro Alikuwa Akishangaa Mazingira Aliyokuwepo Kwa Muda Huo Kwani Yalimstajabisha Sana Kwani Walipotoka Nje Kumbe Walikuwa Ndani Ya Maji Tena Kwenye Bahari.
KETARO:Najma Hii Si Bahari Hii Jaman.
NAJMA:Ndio Mume Wangu Usijali Wewe Twende.
KETARO:Najma Mbona Unanitisha Kwani Inawezekanaje Tukapumua Ndani Ya Maji Kwani Sisi Ni Samaki.
NAJMA:Hahahaha Ketaro Bwana Mbona Kawaida Wala Hata Usiwe Na Hofu Hebu Twende.Najma Alimshika Mkono Na Wakaanza Kutembea Ndani Ya Maji Huku Wakikunja Kona Kuelekea Walipo Wazazi Wa Najma.Wakati Huo Huku Kijijini Ilikuwa Ni Patashika Patashika Kwani Ilikuwa Ni Maajabu Kwani Walipoamka Hakukuwa Na Ketaro.Walidhania Ya Kwamba Atakuwa Alivamiwa,Ametoroka Na Hata Kusombwa Na Bibi Kizee Yule.Luyange Alilia Sana Tena Sana Alilia Kama Vile Mtoto Aliahidi Atafanya Chochote Ili Kumpata Mume Wake Ketaro Kwani Aliamini Kwamba Ketaro Hatokuwa Amepata Ametekwa Au Kupotea Bali Atakuwa Amechukuliwa Kimiujiza.Luyange Aliapa Atafanya Njia Yeyote Ile Walishindwa Kufanya Mazishi Kwani Hawakuwa Na Uhakika Wasije Wakafanya Kama Mara Iliyopita.Kwa Upande Wa Ketaro,Ketaro Walienda Na Najma Hadi Kwa Wazazi Wake .Walikuwa Wamekaa Kwenye Viti Vya Kifalme Huku Wakilindwa Na Walinzi Pande Zote.Walipofika Najma Aliweza KuSujudu Kwenye Miguu Ya Wazazi Wake Na Ketaro Nae Akafuatisha Kama Najma.Wazazi Wa Najma Walipomwona Ketaro Walifurahi Sana Tena Hata Wakampongeza.Muda Sio Mrefu Alikuja Mdogo Wake Na Najma Kumbe Najma Walikuwa Wamezaliwa Wa Wili Tu.Yeye Na Mdogo Wake Aliyeitwa Maimuna.Kwa Kweli Maimuna Alikuwa Ni Mzuri Mno Kuliko Hata Najma .Maimuna Alikuwa Ana Dimpozi Zilizomfanya Uzuri Wake Kuonekana Ipasavyo.Najma Alikuwa Hajaolewa Wala Hana Mpenzi.Alipofika Na Yeye Alifurahi Kumwona Mwanaume Aliyemwokoa Dada Yake.
MAIMUNA:Mambo.
KETARO: Poa .
MAIMUNA:Bila Shaka Wewe Ndiye Ketaro Eenh. KETARO:Ndio Mimi.
MAIMUNA:Asante Sana Nimefurahi Kukuona Na Kukufahamu Mimi Ni Mdogo Wake Na Mke Wako Najma Kumbe Dada Najma Ketaro Ndio Mzuri Hivi Yaani Ni Handsome Boy Wakutosha.
NAJMA:Eeh Mdogo Wangu Huyu Ndio Mume Wangu Ninae Tarajia Aje Kunioa.Wazazi Walimwambia Ketaro Kuwa Itakapofika Kesho Atafanyiwa Tafrija.Najma Alimwinua Ketaro Nakumshika Kiuno Kisha Akawaaga Wazazi Wake Nakumrudisha Ndani.
NAJMA:Mume Wangu Ketaro Sema Ndio Uwe Makini Mana Huku Kuna Wanawake Wanatamaa.Ketaro Alikuwa Anamawazo Hayapimiki Kwenye Mzani Kwani Alikuwa Akiwaza Kuhusu Hatma Ya Maisha Yake.Muda Ulizidi Kusogea Lakini Jingine Kubwa Zaidi Lililo Mshangaza Ketaro Alishangaa Kuona Muda Mahali Hapo Hausogei Kwani Muda Wote Ni Mchana Tu.Ketaro Alijuwa Maisha Yake Yamefikia Mwisho Kwani Alijuwa Kutoka Humo Ni Vigumu Sana.Baada Ya Muda Kadhaa Ketaro Alisikia Mlango Ukibishwa Hodi.Hodi Hodi Hodi.
KETARO:Kalibu.Aliamka Na Kwenda Kufungua.Alipofungua Alikutana Na Maimuna Msichana Aliyeumbika Mithili Ya Malaika.
KETARO:Kalibu Ndani Shemeji.Maimuna Aliingia Hadi Ndani.
MAIMUNA:Asante Shem.Nilikuwa Nimekuja Kukusalimia Kidogo Nakukujuwa Vizuri Mana Pale Hata Sijakuona Vizuri.
KETARO:Aah Asante.Wakati Wanaongea Hayo Ghafla Najma Aliingia Na Kuwa Kuta Wameketi Wakizungumza.
NAJMA:Aaah Maimuna Mdogo Wangu.
MAIMUNA:Naam Dada Najma.
NAJMA:Tafadhali Naomba Unipishe Ninamazungumzo Na Mume Wangu.Najma Aliinuka Na Kumwaga Ketaro.
NAJMA:Mume Wangu Ketaro Kiukweli Sisi Hapa Tunapoishi Kunasheria Zake Zilizokuwepo Toka Enzi Za Mababu Zetu Na Ukizikeuka Unauwawa Haijalishi Ni Mfalme.Na Kuna Sheria Moja Kubwa Na Kali Kwangu Inanikabili Iko Mbele Yangu Mume Wangu Na Wewe Ndio Msaada#
ITAENDELEA...
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.
MTUNZI:LAMECK PETER.

NAMBA:0652547570

SEHEMU YA 13.
...Tulipoishia...Ketaro Alikuwa Akijiuliza Moyoni Ni Sheria Gani Iliyokuwa Ikimkabili Najma.Lakini Hakusita Kumwambia.
KETARO:Najma Ni Sheria Gani Hiyo?
NAJMA:Ketaro Mume Wangu Kwa Jamii Yetu Hapa Ukifikisha Miaka 500 Hujazaa Unauwawa Na Sasa Ninamiaka 498.Na Ndio Mana Hata Nikasema Wewe Ndio Kila Kitu Kwangu Wewe Uliye Yaokoa Maisha Yangu Kutoka Kwenye Chupa Ndio Unafaa Kuwa Baba Wa Watoto Wangu.Ketaro Aliposikia Kauli Hizo Alichoka Kwani Aliona Kama Sasa Anaingizwa Kifungoni.
KETARO:Najma Mimi Au.
NAJMA:Ndio Wewe Mume Wangu.
KETARO:Mmmhh Mbona Unaniweka Katika Wakati Mgumu Sana Jaman.
NAJMA:Hapana Usijali Ketaro Mume Wangu.Najma Alimbembeleza Ketaro Nakumsihi Yakuwa Asijali Aondoe Shaka Kabisa.Ketaro Aliona Sasa Yuko Kifungoni Kwani Hakuyafurahia Kabisa Maisha Ya Kukaa Humo Ndani Ya Maji.Siku Zilianza Kusogea Mdogo Mdogo Waswahili Wanasemaga.Lakini Kikubwa Na Cha Hatari Kwa Upande Wa Luyange Kumbe Walivyo Jamiana Kati Ya Ketaro Na Luyange.Luyange Alishika Ujauzito Kwahiyo Baada Ya Muda Mchache Luyange Alijigundua Anaujauzito Wa Ketaro.Ilimbidi Amwambie Bibi Yote Kama Yalivyo.Luyange Alikuwa Mwenye Huzuni Kuhusu Mume Wake Ketaro Baada Ya Kupotea Kwake Kwani Hakujua Alipoenda Kwahiyo Kujikuta Anaujauzito Wa Mtu Aliempenda Ilikuwa Ni Faraja Kwake Luyange Kwani Alijua Ketaro Hawatokuja Kuonana Tena.Kwa Upande Wa Ketaro Hakujuwa Yakuwa Amekwisha Mpatia Ujauzito Luyange Hata Chembe Ila Alikuwa Akimfikiria Sana Kwani Hata Yeye Alimpenda Sana Luyange.Siku Moja Ketaro Akiwa Yupo Kwenye Jumba Alilokuwa Akiishi Na Mke Wake Najma Alikuja Maimuna Mdogo Wake Na Najma.
MAIMUNA:Hodi..
KETARO:Karibu Pita Mlango Haujafungwa.Maimuna Hata Hakuhitaji Kufungua Mlango Alipenya Kwenye Mlango Na Huku Umefungwa.Ketaro Alishtuka Kwa Mshangao Na Kumtazama Maimuna Lakini Hali Hizi Hazikumtisha Sana Kwa Sasa Kama Kipindi Cha Zamani Kwani Watu Wengi Huku Alipokuwepo Walikuwa Ni Watu Wa Miujiza.
MAIMUNA:Usiogope Ketaro Jaman.
KETARO:Maimuna.
MAIMUNA:Bee Ketaro.
KETARO:Unanitisha Bwana.
MAIMUNA:Najuwa Ketaro Ulikuwa Una Mawazo Sana .Usiwe Na Mawazo Hayo Hapa Upo Salama Usijali.Kiukweli Viumbe Hawa Walikuwa Wanauwezo Wa Hali Ya Juu Kwani Waliweza Kuona Kile Kitu Mtu Anachofikilia Kufanya.
KETARO:Maimuna Hivi Dada Yako..Kabla Hajamaliza Kusema Maimuna Akawa Amekwisha Kujuwa Anachotaka Kusema .Maimuna Alimkatisha Nakusema.
MAIMUNA:Alivyokwambia Dada Yangu Vyote Ni Vya Kweli.Ketaro Hebu Ondoa Mawazo Hayo.Unajuwa Ketaro Wewe Nikijana Mzuri Sana Tena Sana.Ketaro Alikaa Kimya Kidogo.
MAIMUNA:Ketaro Mimi Nakupa Nafasi Sema Chochote Mimi Nitakupa Na Nitakusaidia Kama Shemeji Yako.Kwani Mimi Ni Sawa Sawa Na Mkeo Kwahiyo Kama Una Matatizo Ninapaswa Kukuthamini Na Kukujali.
KETARO:Kweli Shemeji Yangu Maimuna Nikisema Chochote Utanisaidia.Maimuna Aliitikia Kwa Kichwa Kwa Ishara Ya Kuwa Amekubali.
KETARO:Maimuna Mimi Nilipotoka Nimemwacha Mchumba Wangu Ambae Ndiye Mke Wangu Sasa Nilikuwa Ninakuomba Uende Kule Alipo Ninajua Wewe Unauwezo Mkubwa.Maimuna Alikuwa Yupo Kimya Akimtazama Ketaro Kwa Matamanio Tu.Ketaro Ilibidi Amwite ..
KETARO:Shem Maimuna..Maimuna Alishtuka Kama Mtu Aliyekuwa Usingizini.Kiukweli Maimuna Alikuwa Ni Mzuri Hakuna Mfano Hata Alimzidi Dada Yake Najma.Maimuna Na Najma Walipishana Miaka Kama 200.
MAIMUNA:Mmmhh Ketaro Unanipa Wakati Mgumu Lakini Jamani Kwani Sheria Yetu Sisi Inatukataza Sana Kuwa Na Ukaribu Na Wanadamu.Lakini Kwa Kuwa Ni Wewe Kwani Nimekuahidi Kukujali ,Kukutunza Na Kukusaidia Wacha Nikusaidie Ketaro.Lakini Je Nikikusaidia Utanizawadia Nini Ketaro.Kwa Kweli Ketaro Kwa Muda Huo Alikuwa Na Hamu Yakujuwa Familia Yake Inaendeleaje Kwani Hata Alihisi Kuchanganyikiwa Hapo Alipokuwepo Kwani Hapakukuwa Na Usiku Wala Mchana Muda Wote Palikuwa Ni Mchana Kwahiyo Ilimnuwia Vigumu Kujuwa Ametengana Na Familia Yake Kwa Muda Gani Kwahiyo Alikuwa Yuko Tayari Kwa Zawadi Yeyote Ile Ila Atimiziwe Anacho Kihitaji.
KETARO:Maimuna Shemeji Yangu Mimi Nitakuzawadia Kitu Flani Kizuri Wewe Mwenyewe Utakiona Ila Nitimizie Hitaji Langu Hili Kwanza.Kweli Maimuna Hakuwa Mgumu Alimwelewa Ketaro Na Kumwahidi Muda Mfupi Tu Atakuja Kumpa Taarifa.Walipomaliza Maongezi Yao Hayo Maimuna Aliondoka .Alipoondoka Tu Najma Nae Akaingia Alipoingia Alimkuta Ketaro Akilia.
NAJMA:Ketaro Mume Wangu Unalia Nini Jaman.
KETARO:Najma Mke Wangu Nimechoka Maisha Ya Kuishi Humu Ndani Nahitaji Unipe Uhuru Wangu Mimi Nataka Nikaishi Duniani Ambako Kuna Mchana Na Usiku.Kama Unanipenda Naomba Ufanye Hivi Leo Mke Wangu.Najma Alishtushwa Sana Kwa Maneno Aliyokuwa Akiyazungumza Ketaro Kwani Alikuwa Akizungumza Kwa Hisia Sana Na Istoshe Najma Alikuwa Akimpenda Sana Ketaro Kwahiyo Maneno Yale Yalikuwa Yakimgusa Sana Najma Na Kumchoma Kwani Najma Hakutaka Kumwona Hata Siku Moja Ketaro Anapata Shida...
NAJMA:Nina Kuahidi Mume Wangu Ketaro Kuwa Kesho Tutakuwa Duniani Unapopataka Wewe Mume Wangu..
Itaendelea
 
SIMULIZI:MPENZI JINI.
MTUNZI:LAMECK PETER.

NAMBA:0652547570.

SEHEMU YA 14.
...Tulipoishia...Najma Alimwahidi Ketaro Yakuwa Itakapofika Siku Ya Kesho Watakuwa Duniani Japo Kuwa Kwa Upande Wa Ketaro Alikuwa Amempa Mtihani Kutambuwa Kesho Katika Mazingira Aliyopo Kwa Kina Najma.Kwani Mahali Alipokuwepo Muda Wote Palikuwa Ni Mchana Tu Kwahiyo Pali Mnuwia Vigumu Kujuwa Kesho Kama Imefika.Baada Ya Maongezi Yake Ketaro Alienda Kulala Akidai Kuwa Hayupo Vizuri .Kiukweli Najma Alimpenda Sana Ketaro Kama Vile Pumzi Ya Uhai Wake Kwani Ndiye Aliyemwokoa Maisha Yake.Kwahiyo Alikuwa Akimthamini Na Kumjali Sana Tena Sana.Muda Ulisogea Najma Alikwenda Kuzungumza Na Wazazi Wake Na Kuwaomba Juu Ya Swala Hili Lakini Mwisho Wake Najma Alimfuata Ketaro Na Kumwambia...
NAJMA:Ketaro Mume Wangu.Ketaro Aliamka Na Kumtazama Najma Huku Sura Yake Ikionekana Ya Huzuni Sana.
NAJMA:Mume Wangu Nimekufuata Ili Twende Unapopataka Wewe.Ketaro Alivyosikia Ivyo Alitoa Tabasamu Lisilo Lakawaida.
KETARO:Kweli Mke Wangu.
NAJMA:Kweli Mume Wangu.
KETARO:Kwahiyo Tunaenda Wapi Mke Wangu.
NAJMA:Tunaenda Duniani Huko Ulipotoka Mahali Fulani Panaitwa Dar Es Salaam.Kwa Kweli Najma Baada Ya Kusema Ivyo Ketaro Aliikunja Sura Kidogo Kwani Alidhania Yakuwa Wangelikwenda Mji Wa Kwao Sumba Wanga.
KETARO:Kwani Mke Wangu Haiwezekani Kwenda Kule Sumba Wanga.Kiukweli Kwenda Sumba Wanga Ingewezekana Lakini Najma Alijuwa Fikra Watakapo Kwenda Sumba Wanga Penzi Lake Litaharibiwa Na Luyange Kwahiyo alihitaji Kumpeleka Mbali Na Mpenzi Wake.
NAJMA:Ina Wezekana Lakini Nimeamuwa Kukununulia Nyumba Dar Es Salaam Sehemu Flani Inaitwa Masaki.Ketaro Aliposikia Amenunuliwa Nyumba Alipoa Kidogo Alianza Kufikilia Endapo Atakuwa Amenunuliwa Nyumba Itamrahisishia Na Itamsaidia Kuja Kukaa Na Mke Wake Luyange.Lakini Alisahau Yakuwa Najma Aliweza Kuona Kile Anachokiwaza Na Kufikiria.
KETARO:Basi Sawa Mke Wangu Tunaenda Ngoja Nikachukue Nguo.
NAJMA:Hahaha Usijali Mume Wangu Wewe Twende Nguo Tutazikuta Huko Huko.Najma Alimwomba Ketaro Amkumbatie Iliwapate Kuondoka .Kweli Ketaro Alipomkumbatia Najma Tu Walipotea Kimiujiza Na Wakatokea Katika Jumba Moja Lakifahari Lililopo Dar Es Salaam Masaki Sehemu Iliyokalibu Na Sehemu Flani Inaitwa Namanga.Walio Tokea Katika Nyumba Iliyokuwa Ya Kitajiri Hakuna Mfano.Ilikuwa Ni Nyumba Ya Ghorofa Moja,Vioo,Bati Za Msauzi,Bustani Za Maua,Fensi Ya Umeme,Malu Malu Zilizo Tapakaa Ndani Na Kubwa La Kushangaza Walipoingia Ndani Nyumba Yote Ilikuwa Teyari Ina Vitu Vyote Sio Makochi,Viti,Tv,Vyombo Nakadhalika Kwa Ufupi Ni Kwamba Nyumba Ilikuwa Ni Ya Kifahari Sana Na Iliyokamilika Kila Kitu Wewe Kazi Yako Pale Ni Kupika Kula Kulala Na Kuweka Umeme.Ketaro Alistajabishwa Sana Tena Sana Kwani Hakuwahi Kuja Kufikiria Kuja Kumiliki Nyumba Kama Hiyo Au Kuja Kukaa Kwenye Kichwa Chake Aliwaza.
KETARO:"Daah Hapa Nikimleta Mke Wangu Kipenzi Luyange Mbona Tutanenepa"Hayo Nimawazo Aliyokuwa akiyawaza.
NAJMA:Ketaro Mume Wangu Hii Nyumba Kuanzia Leo Ni Ya Kwako Na Kuanzia Leo Utaishi Humu Kuhusu Mambo Ya Pesa Na Vitu Vingine Vyote Nitakupa Mimi Kwa Kiasi Utakacho Pia Na Mlinzi Atakuja Leo Sio Muda Ila..
KETARO:Ila Nini Mke Wangu.Ketaro Alibaki Akiwaza Anachotaka Kuambiwa.
NAJMA:Kuna Masharti Lazima Uyafuate.
KETARO:Masharti?.
NAJMA:Ndio Masharti.
KETARO:Masharti Gani Hayo?
NAJMA:Yapo Matatu 3 .Kwanza Hautakiwi Kuwa Na Mahusiano Na Mwanamke Yeyote Endapo Nikigundua Una Mahusiano Na Mwanamke Mwingine Utakuwa Halali Yangu.Pili Unatakiwa Kwa Kila Siku Utumie Pesa Zisizo Zidi Million 1 Kwa Kila Siku Kwa Matumizi.Tatu Hautakiwi Kuingia Katika Nyumba Ya Ibada Yeyote Ile Sio Msikitini Wala Kanisani Na Wala Kuwa Na Mahusiano Na Viongozi Wa Dini.
KETARO: Duuh Mungu Wangu Najma Inamana Umenileta Huku Kunitesa Au Inamana Hizi Ndizo Fadhila Zangu Au.
NAJMA:Hapana Ketaro Bali Haya Ni Masharti Ya Kwetu Kutoka Kwa Wazazi Wangu Pamoja Na Koo Zetu.Mimi Naenda.Najma Aliondoka Na Kumwacha Ketaro Akiwa Haelewi Elewi Kwani Alijuwa Kuwa Najma Anataka Kumtenganisha Na Mke Wake Luyange.Ketaro Alikaa Kwa Muda Sebleni Hapo Kisha Akatoka Nje Alipotoka Nje Alimkuta Mlinzi Akiwa Getini.Alijiuliza Sana Mlinzi Huyu Amefika Hapa Sangapi Na Ameletwa Hapa Na Nani.Alitambuwa Yukuwa Mlinzi Huyu Atakuwa Ameletwa Na Najma Kimiujiza Tena Atakuwa Ni Jini Mwenzie.Aliamua Kurudi Sebleni Anafungua Mlango Tu Anakutana Na Maimuna Akiwa Amekaa Kwenye Kochi Akitoa Tabasamu Lisilo La Kawaida Tabasamu Lililoonyesha Dhahiri Dimpozi Zake Pamoja Na Uzuri Wake.
KETARO: Ooh Umenishtuwa Maimuna Jamani.
MAIMUNA:Kawaida Ketaro.
KETARO:Vipi Imekuwaje Huko Jamani.
MAIMUNA:Nilienda Nimewakuta Wote Wapo Salama Salmini Ila Luyange Inaonekana Anaujauzito.
KETARO:Anaujauzito?
MAIMUNA:Ndio Ketaro.
KETARO: Duuh Mungu Nisaidie Basi Asante Sana Tena Sana Maimuna Shemeji Yangu.
MAIMUNA:Ila Ketaro.
KETARO:Ndio.
MAIMUNA:Siuliniahidi Kuwa Nitakapo Kwenda Na Kukuletea Majibu Utanipatia Zawadi Nono Ambayo Sijawahi Kupewa Tangu Nizaliwe.
ITAENDELEA.
 
Back
Top Bottom