Awana shida muhimu kabuli la mme wake lionekane kwanza.Hahahahahaha kwani ma single maza wanashida gan
UsidanganyikeHahahahahaha kwani ma single maza wanashida gan
Ni wake za watu hao ukioa jua kuna mume wake wa kwanza na akirudi kwa nguvu huna chako labda awe mstaarabuNao ni watu lakini na wana haki ya kupendwa
Kwaiyo leo mapumziko?Shukrani pia kwa kuwa msomaji wangu. Kesho kwa group langu la WhatsApp kuna stori mpya inaanza huko