Simulizi: Msegemnege

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
Amen πŸ™πŸ₯°
 
Ila ukubwa ni dawa aisee ingekua bandiko wameweka vijana wangekula za uso hadi waseme hawajasema mzee wetu sjui uheshimu tunavokuheshimu mana kuna mda nataka niseme toa bandiko lako ila naona ntakua mtovu wa nidham
 
Ila ukubwa ni dawa aisee ingekua bandiko wameweka vijana wangekula za uso hadi waseme hawajasema mzee wetu sjui uheshimu tunavokuheshimu mana kuna mda nataka niseme toa bandiko lako ila naona ntakua mtovu wa nidham
Ila Litro [emoji23]
 
Mm nawaambia brazee kuna tatizo kubwa,sio kawaida yake,Nourhan una uhakika kuwa JBourne59 ni mzima?..
moneytalk nakupa homework ufatilie dingi last seen yake inasoma tr ngapi hapa jf,haiwezekani post ya mwisho iwe August 17 hadi Leo kimya afu watu tusifatilie😴😴
Akili zangu za usiku hizo,na vile nimenyimwa mbususu na LA MAMA ndo nimechanganyikiwa hadi nikamuwaza dingi na hamida wake kama ni wazima saiv wanachakatana na uzee wao,πŸ˜‚
 
Mzima wa afya πŸ’― yuko busy na wageni ndugu wa Bi Hamida atarudi tuwe na subra.
 
Habari?

Nipo, sijambo na afya ni nzuri, alhamdulillah.

Nimezongwa tu na mambo nakosa muda wa kuandika.

Simulizi itaendelea na tutajifunza mengi.

Nawaomba mfanye subira.

Nawashukuruni nyote kwa kunijulia hali pm na kwa njia nyingine za mawasiliano.

Tupo pamoja.
 
 
hajambo kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…