Sijui uliwaza nini kwa kweli bora leadermoe hakutuacha na arostoUnaeza kuta brazee JBourne59 saiz yuko zake paradiso anatuchora tu na arosto zetu,anapiga stori na Jibril(a.s) akisema cheki hawa watu badala wafanye ibada ili nao cku ikifika waje huku Firdaus wenyewe wamekomaa na stori ya kutungaπ
leadermoe Mungu alimwacha amalize kabisa stori watu wasiteseke na arosto,ila brazee JBourne59 π€,kama ni hiyo amoeba imemkamata basi itakua chronic kwa kweliπ,na kama ni majukumu basi tutaendelea kuvumilia kwa muda na Mungu amfanyie wepesiSijui uliwaza nini kwa kweli bora leadermoe hakutuacha na arosto
Ila Litro [emoji23]Ila ukubwa ni dawa aisee ingekua bandiko wameweka vijana wangekula za uso hadi waseme hawajasema mzee wetu sjui uheshimu tunavokuheshimu mana kuna mda nataka niseme toa bandiko lako ila naona ntakua mtovu wa nidham
Acha tu mine kuna mdaaaa aaahIla Litro [emoji23]
Uko nje ya Muda [emoji23][emoji23][emoji174]Acha tu mine kuna mdaaaa aaah
Mzima wa afya π― yuko busy na wageni ndugu wa Bi Hamida atarudi tuwe na subra.Mm nawaambia brazee kuna tatizo kubwa,sio kawaida yake,Nourhan una uhakika kuwa JBourne59 ni mzima?..
moneytalk nakupa homework ufatilie dingi last seen yake inasoma tr ngapi hapa jf,haiwezekani post ya mwisho iwe August 17 hadi Leo kimya afu watu tusifatilieπ΄π΄
Akili zangu za usiku hizo,na vile nimenyimwa mbususu na LA MAMA ndo nimechanganyikiwa hadi nikamuwaza dingi na hamida wake kama ni wazima saiv wanachakatana na uzee wao,π
Habari?
Nipo, sijambo na afya ni nzuri, alhamdulillah.
Nimezongwa tu na mambo nakosa muda wa
Sawq mkuu ungesema lini excact na kwa venye umetake time ukirudi uimalize at per ni maombi na ushauri tu sina namna bali kuwa mpole mana umekula chumvi nyingiHabari?
Nipo, sijambo na afya ni nzuri, alhamdulillah.
Nimezongwa tu na mambo nakosa muda wa kuandika.
Simulizi itaendelea na tutajifunza mengi.
Nawaomba mfanye subira.
Nawashukuruni nyote kwa kunijulia hali pm na kwa njia nyingine za mawasiliano.
Tupo pamoja.
hajambo kabisaMm nawaambia brazee kuna tatizo kubwa,sio kawaida yake,Nourhan una uhakika kuwa JBourne59 ni mzima?..
moneytalk nakupa homework ufatilie dingi last seen yake inasoma tr ngapi hapa jf,haiwezekani post ya mwisho iwe August 17 hadi Leo kimya afu watu tusifatilie[emoji42][emoji42]
Akili zangu za usiku hizo,na vile nimenyimwa mbususu na LA MAMA ndo nimechanganyikiwa hadi nikamuwaza dingi na hamida wake kama ni wazima saiv wanachakatana na uzee wao,[emoji23]
Au cyo?,,nichum japo shavu bac bestie...si umeona atleast kaja kutoa Hiπmmash:hatimaye mzee kaamua kukujibu mwenyewe,tuliza wenge sasa chali angu
ππAu cyo?,,nichum japo shavu bac bestie...si umeona atleast kaja kutoa Hiπ
I see??ππ
mume wanguI see??
ππTooπππ