Simulizi ya kusisimua nyuma ya pazia inayohusisha muuaji wa Salenda

Simulizi ya kusisimua nyuma ya pazia inayohusisha muuaji wa Salenda

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2018
Posts
2,490
Reaction score
3,584
Habari wadau..!

Katika hiki kisa cha muuaji wa salenda kuna kisa kingine kilichojificha kuna jamaa anaadithia .

Moja kati ya watu waliofariki kwenye lile shambulizi yupo jamaa mmoja ambaye ni mlinzi ninavyosikia kwa story za mtaani.

Jamaa alitoka kufiwa mwaka huu misiba miwili mmoja wa baba yake mzazi na mwingine wa mke wake.

Jamaa baada ya kumaliza msiba wa mwisho wa mke wake hana hata wiki baada ya kurudi kazini kimemkuta kisa kingine cha kupigwa risasi na hatimaye amepoteza maisha hivyo kufanya familia yake kupoteza ndugu watatu ndani ya mwaka mmoja.

Inasikitisha sana kwa mlinzi huyu,pole nyingi ziiendee familia yake.🙏🙏🙏
 
Habari wadau..!
Katika hiki kisa cha muuaji wa salenda kuna kisa kingine kilichojificha kuna jamaa anaadithia .

Moja kati ya watu waliofariki kwenye lile shambulizi yupo jamaa mmoja ambaye ni mlinzi ninavyosikia kwa story za mtaani.

Jamaa alitoka kufiwa mwaka huu misiba miwili mmoja wa baba yake mzazi na mwingine wa mke wake.

Jamaa baada ya kumaliza msiba wa mwisho wa mke wake hana hata wiki baada ya kurudi kazini kimemkuta kisa kingine cha kupigwa risasi na atimaye amepiteza maisha hivyo kufanya familia yake kupoteza ndugu watatu ndani ya mwaka mmoja.

Inasikitisha sana kwa mlinzi huyu,pole nyingi ziiendee familia yake.🙏🙏🙏
Napiga picha jinsi wapendwa wake wanavopia wakati mgumu sasa hivi. Nakumbuka nilivyopoteza maza na mshua na tlibaki yatima. Ukiwa kwenye haya mazingira hapo ndipo faraja ya mbinguni na duniani inahitajika kwa sanaa.
 
Habari wadau..!
Katika hiki kisa cha muuaji wa salenda kuna kisa kingine kilichojificha kuna jamaa anaadithia .

Moja kati ya watu waliofariki kwenye lile shambulizi yupo jamaa mmoja ambaye ni mlinzi ninavyosikia kwa story za mtaani.

Jamaa alitoka kufiwa mwaka huu misiba miwili mmoja wa baba yake mzazi na mwingine wa mke wake.

Jamaa baada ya kumaliza msiba wa mwisho wa mke wake hana hata wiki baada ya kurudi kazini kimemkuta kisa kingine cha kupigwa risasi na hatimaye amepiteza maisha hivyo kufanya familia yake kupoteza ndugu watatu ndani ya mwaka mmoja.

Inasikitisha sana kwa mlinzi huyu,pole nyingi ziiendee familia yake.🙏🙏🙏
Mkuu nikushindwa kuelewa maana ya maneno ya Kiswahili au tatizo ni nini? Kilichokusisimua Katika hili andiko lako no kipi haswa?
Huelewi tofauti ya msisimko na huzuni? Huelewi tofauti ya kusisimka na kuhuzunika?
 
Habari wadau..!
Katika hiki kisa cha muuaji wa salenda kuna kisa kingine kilichojificha kuna jamaa anaadithia .

Moja kati ya watu waliofariki kwenye lile shambulizi yupo jamaa mmoja ambaye ni mlinzi ninavyosikia kwa story za mtaani.

Jamaa alitoka kufiwa mwaka huu misiba miwili mmoja wa baba yake mzazi na mwingine wa mke wake.

Jamaa baada ya kumaliza msiba wa mwisho wa mke wake hana hata wiki baada ya kurudi kazini kimemkuta kisa kingine cha kupigwa risasi na hatimaye amepiteza maisha hivyo kufanya familia yake kupoteza ndugu watatu ndani ya mwaka mmoja.

Inasikitisha sana kwa mlinzi huyu,pole nyingi ziiendee familia yake.[emoji120][emoji120][emoji120]

Chanzo cha Habari Tafadhali
 
Back
Top Bottom