Simulizi ya kweli ya maisha yangu

Utamaliza
Nakutahadhalisha hiyo cmlizi inaitwa NINGE mwenye kuimiliki bado yupo hai , kuna mwenzio alilipishwa laki 5 nona ww pia unataka kuwanufaisha ,endelea.
 
Nakutahadhalisha hiyo cmlizi inaitwa NINGE mwenye kuimiliki bado yupo hai , kuna mwenzio alilipishwa laki 5 nona ww pia unataka kuwanufaisha ,endelea.
Sawa ngoja niishie hapo
 
Sijasoma hata, ila hii stori kama sio ndotoni... basi nishawahi kuisoma sehemu!
 
hii hadithi km ninewahi kuisoma mahali fulani

baba atamuuwa mkewe kwa kisu mtoto atakimbia
 
Huyo mtu ni rafiki yangu believe that
Sio kweli mkuu hichi kisa nishakisoma choteeee...huyo dogo atajikuta ameangukia kwa wachuna ngozi huko mpakani mwa Malawi..blaa blaa nyingi anakutana na kibibi kimoja kishujaaa ambacho hicho kibibi kina bint yake pisi Kali kimtindo ili nae jasiri...pia Kuna Askari mmoja atakatwa mguu...

Kiufupi hichi kisa nikirefu na nishawahi kukisoma choote na kimetungwa na George ayani musenya
 
Duh hii fast forward ya kufa mtu, akifika episode ya gerezani naomba unitag please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…