Simulizi yangu ya kwenda kwa waganga wa kienyeji sehemu mbalimbali nchini na nje ya nchi

1;> weka/chomeka flash yako kwenye kifaa unachotumia eidha kompyuta,laptop
2;> Fungua hiyo story yako
3;> Highlight story yako yote au kipande unachotaka kutuma.
4;> Fungua empty page kwenye window yako na upaste icho kipande cha story
5;> Hifadhi/save icho kipande kwa jina utalokumbuka.
6;> Chukua USB cable ile waya ya kuchajia simu chomeka kwenye simu yako.
7;> Hamisha kipande cha story yako uliyoipa jina hapo 5 kisha kitume kwenye simu yako kama unavotuma nyimbo au video.
8;> Fungua jf kwenye simu yako tafuta icho kipande ukipaste hapa.

Kama unatumia komputa kuingia JF ndio rahisi zaidi fuata hatua mpaka ya 4 halafu fungua jf na upaste story yako hapa.

Simpo laiki dhati
 
m
 
Story za vipande vipande hivi nikipita Kama hapa sirudi tena
 
Daraja la miti
Kama upo kweli Mkwawani njoo upande wa jukwaa kuu kulia, tafuta mtu aliyevaa t-shirt ya njano isiyo na maandishi na nimevaa kofia nyeupe, pembeni yangu yupo mwanamsimbazi na jezi yake.

Kama una smartphone nina OTG hapa nitakuwekea story yote kupitia simu yako alafu utapost mwenyewe.
 
Nimekuona
 
Upuuzi
 
Hatua zoote hizo kwan akileta story yake humu mtamlipa?,jf pekee ndo watu hupanga maisha ya watu wengne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…