Ila angalau 99100% haiwezi fika [emoji23]
Nipo baby sema kihoma ndo kilileta mshikeli nimejikuta nakua mpole ghaflasitaki kuamini lee na uongeaji wake wote yupo kimyaaa kama hayupo
Mm hunifahamu acha kudanganya aiseeBahati mbaya au nzuri mle ndani wote nawajua na mpo saved kabisa kwenye simu yangu,
Nawachora tu mnavoulizana majina[emoji23]
PoleKwahyo unaona raha ninavo nyang'anywa?
Hahaha ww acha tu maana c kwa kujificha huko[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uwiiiiiii nimechekaaaaaa
Isijekuwa maana walisema wataweka na picha zao full isijekuwa ile namba aliisajili kwa jina halisi alilotumia chuo...lol
apa 30 kwa 100 [emoji23]Ila angalau 99
Pole sanaNipo baby sema kihoma ndo kilileta mshikeli nimejikuta nakua mpole ghafla
Yes ww sikufahamu bali NAKUJUAMm hunifahamu acha kudanganya aisee
Apo jirani kwa clkey ana 0.001apa 30 kwa 100 [emoji23]
hahahhh una utani na jirani yakoApo jirani kwa clkey ana 0.001
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]hahahhh una utani na jirani yako
Hahahaha hapa nina % za jaji lubuva mkuu zimejaa na kupitilizaApo jirani kwa clkey ana 0.001
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha hapa nina % za jaji lubuva mkuu zimejaa na kupitiliza
Hhahaa! Sasa nimejuaje umepost hizi emoji [emoji85][emoji85][emoji85]Anajificha sasa hivi.
Possibly alileft kwa namba ile kaja kivingine.
WanaJF wamezoea kujifichaficha kupita maelezo [emoji13]
5000 tuu mkuu! Unapata the untold stories..!Hiyo fee ya whatsapp ni kiasi gani wakuu
Hahahaaa! Ispokuwa mme wake tuu!mababy zako wote wapo kule
Pole jooh! Ila ila dawa yako bado inachemka and i have no choice...Hata mimi naumwa [emoji85]
Hahahaaa! Kama nakuona ukiitamka hiyo "nyoooooo"Nyoooo unapenda pole
Wewe shunie weweee!atakuja kunijib