waungwanaTz
Member
- Aug 6, 2024
- 11
- 9
Nukta.
Licha ya kuonywa mara kadhaa,
Chuwa hakuwa msikivu.
Aliendelea na tabia zake, japo alifahamu kuwa tabia hizo zinamuumiza sana mkewe.
Siku moja,Chuwa alifanya yake tena.
Aliporudi nyumbani,mkewe hakumsemesha.
Alimuandalia chakula kisha akaondoka zake.
Wakati mkewe anaondoka,macho ya Chuwa yakavutwa na maneno yaliyoandikwa kwenye kanga ya mkewe.Maneno hayo yalisomeka hivii
“ Kheri ya ujane mwema kuliko ndoa mbaya”
Maneno hayo yalimfanya chuwa akose amani,hakuweza tena kula wala kulala.
Alikesha akiwaza nia ya mkewe.
Kadri alivyozidi kuwaza ndivyo alizidi.......
Tuendelee.....
Licha ya kuonywa mara kadhaa,
Chuwa hakuwa msikivu.
Aliendelea na tabia zake, japo alifahamu kuwa tabia hizo zinamuumiza sana mkewe.
Siku moja,Chuwa alifanya yake tena.
Aliporudi nyumbani,mkewe hakumsemesha.
Alimuandalia chakula kisha akaondoka zake.
Wakati mkewe anaondoka,macho ya Chuwa yakavutwa na maneno yaliyoandikwa kwenye kanga ya mkewe.Maneno hayo yalisomeka hivii
“ Kheri ya ujane mwema kuliko ndoa mbaya”
Maneno hayo yalimfanya chuwa akose amani,hakuweza tena kula wala kulala.
Alikesha akiwaza nia ya mkewe.
Kadri alivyozidi kuwaza ndivyo alizidi.......
Tuendelee.....