denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Kulingana na hali inavyolekea Messi kukaribia kutua PSG, na kutokana na uwepo wa mastaa kibao pale PSG, napata mashaka na Mauricio Pochettino kama ataweza kuwa manage wale mastaa na hatimaye PSG kubeba taji la ligi ya mabingwa.
Namuona mtu kama Zidane akiwafaa zaidi PSG kuwaunganisha wale mastaa na kuwapa mafanikio waliyoyatafuta kwa muda mrefu hasa kwenye ligi ya mabingwa ulaya, kama PSG itaharibu mechi chache za ligi kuu Ufaransa inayotarajiwa kuanza hivi karibuni, basi naamini Zidane akae mkao wa kula hasa wakati huu asio na timu ya kufundisha.
Namuona mtu kama Zidane akiwafaa zaidi PSG kuwaunganisha wale mastaa na kuwapa mafanikio waliyoyatafuta kwa muda mrefu hasa kwenye ligi ya mabingwa ulaya, kama PSG itaharibu mechi chache za ligi kuu Ufaransa inayotarajiwa kuanza hivi karibuni, basi naamini Zidane akae mkao wa kula hasa wakati huu asio na timu ya kufundisha.