Sina bahati

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Timu moja tu imezingua
 
Njoja waje mi hayo makitu hata sielewagi huko kitu
 
Alafu odds zilikuwa pana aisee
Pole sana Chief
Mkuu hizo odds ni kwamba,matokeo yawe namba shufwa au witiri(odd/even).
Kwenye mechi nzima unatabiri itaishi kwa namba witiri(odd) kama 1,3,5,7..
Na kwa namba shufwa (even),0,2,4,6,8..

Iwe matokeo ya timu zote mbili au moja ukijumlisha ziwe witiri kama ulibet witiri,ziwe even numbers kama ulibet even iwe ukijumlisha magoli ya pande zote mbili au upande mmoja kama mwingine haujafunga goli
 

Inaonekana ina unafuu kiasi maana hapo ulikuwa umemkimbiza aiseee
Japo tunasema hamna option rahisi kwenye betting
 
Inaonekana ina unafuu kiasi maana hapo ulikuwa umemkimbiza aiseee
Japo tunasema hamna option rahisi kwenye betting
Mkuu mi huwa na guess kwamba hamna anayetaka atoke draw,hata kama hawajafungana dk zinaisha we unawaza goli moja matokeo yawe odd
 
Kwa maana hiyo mkuu mkeka unachanika wakitoka zero zero ama?? Viol
Yeah zero zero wanachukulia ni even number mkeka unakuwa umechanika.
Umeona huo nilioweka sasa hivi 1000 nimepata 14,000 kwa timu 4.
 
Yeah zero zero wanachukulia ni even number mkeka unakuwa umechanika.
Umeona huo nilioweka sasa hivi 1000 nimepata 14,000 kwa timu 4.
Ile ya mwanzo ilikua na odds ngapi jumla?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…