unajua hata kama ushoga si jambo zuri ila kilicho msukuma huyu jamaa kuandika hiki nimeelewa kwamba huyu jamaa ni miungoni mwa watu wanaoshiriki ushoga sasa yawezekana kati ya hao wawili kunammoja amemtaka akakataliwa ndio analeta majibu kwa swali lisilo ulizwa... shame on him too
Ni Governor wa Mombasa
Inaweza ikawa dawa labda kama unataka ufanikiwe unaambiwa ugawe 'sega'iliwe kwanza ndo utafanikiwa