Sina chuki nao, ila mishahara ya wabunge ni 'too much'

Ukitaka kuijua CCM-A na CCM-B,paguse hapo kwenye mshahara.
Hawakuachi salama.

Hebu ona mdee na kundi lake pamoja na kuitwa Kamanda miaka nenda Rudi,wametia mpira kwapani na pamba masikioni.

Mcheki Mbowe uchaguzi serikali za mitaa alivyoupotezea ila uchaguzi mkuu wa ubunge kajisahulisha.No kususa
 
Issue hapo siyo hela wanayopewa . The issue ni kwa nini?? wapewe hizo hela ili hali nchi yetu bado nifukara hata malipo ya mishahara za watumishi wa umma. tunakopeshwa,na hela za miradi za mikakati tunapewa na waisani.

So ni kwa nini baadhi ya watumishi wakwapue pesa nyingi kiasi hiki.

Katiba yetu inatakiwa mabadiliko makubwa
 
Fact.
 
Ni kweli. Ila wewe unatetea upande wa askari tu au?Hujui kuna watumishi hata posho hawazijui?
 
Hii inauma sana.Ila Yesu wetu atawalipa sawasawa.
 
Uko sawa, ni kweli jamaa wamnalipwa mshahara mkubwa wa bure kabisa, hakuna wanachofanya zaidi ya kupiga piga meza, lakini mimi napingana na wewe kuhusu kuwaonea hururma polisi, polisi hao ndio huwa wanawachunga wabunge wanapoiba kura kwenye chaguzi, acha wakomeshwe na mishahara hiyo midogo ndio inawafaa mpaka siku akili zitakapowakaa sawa, wale wenzao wa usalama barabarani wao hawahitaji mshahara kwani wanazokusanya barabarani zinawatosha, hao mapolisi waliompiga risasi Lissu waache wakomeshwe
 
Wabunge wanachostahili kulipwa ni posho ya kuhudhuria vikao, na hizo posho wanatakiwa wachangiwe na wananchi wanaowawakilisha kule jimboni. Sasa serikali kulipa posho na mishahara ya wabunge ni rushwa iliyojificha ndo maana kila jambo linaloletwa na serikali utasikia meza zikigongwa pwa pwa pwa, naunga hoja mia kwa mia ndugu bwana chupika......
 
Hiyo ni roho mbaya, kutaka wenye kingi kipunguzwe si sawa, wewe komaa upate kama wao
Mwendazake mbona alipunguzaga mishahara ya Wakurugenzi wa mashirika ya umma? Umesahau??? Alisema mwisho ni Tsh 15M au hili kwako ni sawa but sio kwa wana siasa?
Mi najiuliza tu, hivi kwamfano tusipokua na bunge nchi itapata hasara gani? Lakini nchi haiwezi kwenda tusipokua na MD wa Tanesco, TANAPA, NSSF, PPF etc. So naunga mkono hoja ya mleta HOJA, wabunge wapunguziwe either posho, mishahara. Fikiria eti mtu anapewa lita 1000 za mafuta kwa mwezi, huyu anaendaga wapi wakati baada ya bunge wote wanahamia Dar???
 
Kinachoumiza binge ndio linachelewesha sana maendeleo. Mbunge anayeongea matani mengi ndiyo maarufu na anafatiliwa zaid!! Basis tujaze mule kina joti,mkudesimba nk.
 
Your browser is not able to display this video.

Inasikitisha hata kama ni roho ya chuki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…