sina confidence katika mahusiano tangu my first lover alipoamua kuoa.na sasa imefika muda muafaka nahitaji kuwa serious ila najihisi hata mahusiano niliyonayo siyo imara
Funga kufuli kabisa nyuchi mchumba akijitokeza usivue mpaka ajitambulishe kisha mwende kanisani
Jamani!!! Always naambiwa kuna wanaume weengiii walotulia na kinacho itajika ni subira tu bt kila nikiingia JF matatizo yaleyale. Does it mean waoaji waamifu hawapo tena. My God.
Tupo wengi tu, pia nasi twajiuliza maswali kama yenu!Jamani!!! Always naambiwa kuna wanaume weengiii walotulia na kinacho itajika ni subira tu bt kila nikiingia JF matatizo yaleyale. Does it mean waoaji waamifu hawapo tena. My God.
pole mrembo lakini sio sababu ya kukufanya usipende tena, sio wote wabaya nawazuri wapo,jaribu tena na usijimalize sana mwanzoni jaribu kumsoma mwenzio na jipe mda wakumuachia mpenzi wako moyo wako au nisema kumsabilia...muombe mungu kwa sana akupe mume mwenye kheir na wewe....
jf wapo waaminifu,mtafute mtu anaitwa ndyoko.
Tupo wengi tu, pia nasi twajiuliza maswali kama yenu!