Sina hamu na hii nchi...Hebu muone wenyewe!

Dark City

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2008
Posts
16,253
Reaction score
11,626
Nimeipata hii picha toka kwa jamaa yangu mmoja. Naamini inajieleza yenyewe.
 

Attachments

  • Tz in the 21st century.jpg
    69.6 KB · Views: 1,263

Vipi tena Mkuu?

Ni mwendo mdundo tu...Baada ya lunch, naamini mzee watawatuma hao dogo wakabebe mahindi kwenda sokoni au wakalete mzigo wa kuni.

This time naona punda atakufa kabla ya mzigo wa bwana kufika!
 
unaweza kuta madogo wamefanya kakosa kadogo tu, njemba ikaamua kuwakomesha kikatili nnamna hii! Hapo utakuta mboko zinawasubili.
 
sasa matendo ya mtu yatakufanya uchukie nchi yako?
 
watoto ni taifa la kesho na wasubiri hiyo kesho.
 
Jamaa ni mbinafsi sana. Na hii inaonyesha jinsi watu walivyo wabinafsi. Just imagine jamaa akipata nafasi ya kuwa kiongozi atakuwa fisadi na kumaliza rasilimali zote za nchi.
 
hivyo viatu tu kwanza lazima umwogope!
Akina dogo wanaonyesha wamezowea hilo gemu ...duuu!
 
Pengine anawaadhibu walikua wanamuacha nyuma kwenye kunyanyua msosi ndio akaona azuie mikono kwa buti za kichina ? loh kazi kweli kweli.
 
sasa matendo ya mtu yatakufanya uchukie nchi yako?

Please think beyond the small box you are enclosed in!

Jaribu kuwaingiza watu kama RA, JK na EL kwenye hii picha halafu utuona maana yake!

DC
 
Hii Kali hili jamaa halina huruma kabisa :angry:
 

Huyo jamaa ndio wenye nchi halafu hao madogo wawili ni mimi na wewe! Anakula national cake peke yake halafu sisi tunadanganyiwa kwa kualikwa tule lakini mikono yetu ameikanyaga japo tupo wote mezani lakini mwenye kula national cake ni mmoja.
 
huu ni mfano wa chadema na wafuasi wao

Mbowe anatafuna wakati wenzake kawaekea mikono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…