Sina hamu na wadada wa kizungu

Ulikula mzigo au ulipumbazika na love story and loveplay? Mkuu vaa tu hizo nguo si ndio huwa tunazichagua hapo mchikichini kwa chinga?
Mzigo nimekula vya kutosha
 
sijui unataka mungu akupe nini tena alafu wee jamaa ww 😂😂😂😂😂
 
Pole sana mkuu. Ila mwana kinachoniboa madem wa kizungu ni nywele aisee. Yani mkikaa geto nywele kwenye sinki, kapeti, mdomoni , kitandani dah. Umenikumbusha mbali sana chief.
Umenkumbusha counterpart mmja hv yani mpaka akawa anajiita(...) Hair everywhere[emoji1] , ukizubaa unazikuta kwenye msosi
 

Wanaume wa ni shidaaaaaaah
 
Sasa mbona sioni sehemu ambayo unaonesha huna hamu nae inaonesha una hamu nae tena sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…