Sina hamu na wadada wa kizungu

Ukiwa una njaa utaanza kutamani hata mawe yageuke yawe mkate.Mtoa mada katamani litokee jambo kama hilo kwenye maisha yake
 
Ukiwa una njaa utaanza kutamani hata mawe yageuke yawe mkate.Mtoa mada katamani litokee jambo kama hilo kwenye maisha yake
Masikini pole hujui ulisemalo
 
Nipe hivyo vitu vyake vya ndani Kama pichu nifanye vitu vyangu atarudi tu bongo
Ada 500
Vifaa 150000
 
embu achana na hayo mambo ww jamaa [emoji23][emoji23][emoji23]

yani mtu kakuachia hadi na urithi alafu bado sijui unawaza nn
OK shukrani ndugu njoo nkupe kanguo Kake kamoja[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hujawai ona watu wanavutwa kutoka ulaya anakuja hajui amekujaje?
 
OK shukrani ndugu njoo nkupe kanguo Kake kamoja[emoji16][emoji16][emoji16]

nguo tumia kuhonga vidada vya dar utavila kwa urahisi...

bajeti ya shoping inakuwa hakuna

labda toungee biashara ya gari ni model gani maana lady driven tena mzungu hata kama second hand itakuwa imesimama tu
 
nguo tumia kuhonga vidada vya dar utavila kwa urahisi...

bajeti ya shoping inakuwa hakuna

labda toungee biashara ya gari ni model gani maana lady driven tena mzungu hata kama second hand itakuwa imesimama tu
Siuzi gari kuna mtu ntampa
 
Sipati picha utakapopiga hizo min skirt za kizungu[emoji23][emoji23][emoji23] kama dalili za kumuenzi. Ila tu usiwaze, mapenzi hayana umbali, utamfuata huko huko na maisha yataendelea
 
kwani hukujua kuwa ataondoka nchini siku moja? unaweza kumfata pia
Huku kwetu kuna msemo ni heri kulia kwenye range kuliko kwenye baiskeli, jifute machozi washa mkoko ulioachiwa nenda ukabarizi upepo beach bwana.
Katuletea chai huyu
 
Tufanye biashara izo products au ni day dreaming mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…