Sina hamu tena kuonana uso kwa uso na mwanaJF

Safari moja huanzisha nyingine....hizi si ndo opochunite za maisha jamani? :A S 8:
 
hahaha Lugha gongana hapa :becky:
 
:becky::becky:
Safari moja huanzisha nyingine....hizi si ndo opochunite za maisha jamani? :A S 8:
:becky::becky::becky:
hahaha Lugha gongana hapa :becky:
:becky::becky::becky::becky:
 

Unashanga(a)??! Mjini hapa!!
 
Du, eee bwana eee. Unakuta mtu na binti yake wanachati mambo ya aibu bila kujua. Kwa kweli siku majina na picha za watu zitakapowekwa peupe hapa mjini watu wengine watahama kwa lazima

Si mchezo
 
Ha ha haaa....

Njooni wote kanisani kwangu. Mtafahamiana tu
 
Tehe tehe tehe!nimefanya kucheka mie jinsi ulivyoniondelea stress za kazi asubuhi hii!
nawaza jinsi utavyokankuta na atakavyo anza kukutongoza.......kufanya kunoga bana weweeee!
 
honestly hata mie nilikuwa naogopa kukutana na wana jf lkn nimeshakutana na wana jf wawili ambao ni marafiki na sijajutia ni watu wazuri na wenye kujiheshimu na kikubwa nilichofaidika ni jinsi tunavyosaidiana ktk issue mbalimbali hadi leo hii na hawajanitongoza wala nini,yaani nimejipatia makaka wa ukweli kabisa.God bless JF.
 


tall umeniwacha hoi na hiyo namba tano..............mitaa yote hiyo ukataja manzese kwa mfuga mbwa! hahaha
 
you are all supposed to be anonymous....mwatafutiana nini????
 
yer........you have to watch your steps......you can date your own mum or dad.....! sijui hapo nani atakuwa hana adabu! be religious you can enjoy the fruits of the earth and heaven!
waoooo!! how good is this comment, big up
 
ah ah ah utandawazi unamambo lol!
 

Huo ndio uhondo wa ICTs - online social networking bila ICTs ungepata wapi uzoefu wa huyo mama!!! Uoni kama hii fursa inatufanya tuwe wote peers!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…