Safari moja huanzisha nyingine....hizi si ndo opochunite za maisha jamani? :A S 8:hahahahah!!!!!!!!!
tatizo matongozo mwali mma!!...mabwana wengine kufanya kutaka kuonana lakin ajenda zao bwanawewe mmh kunyata.......
.......!!
..wanaomba mkutane bt afta kumit kitongozo iki..for real i dnt wan t
km kumit tumit tu lakin habar nyingine zile mmh mmh aapana!!
byeee
hahaha Lugha gongana hapa :becky:hahahahah!!!!!!!!!
tatizo matongozo mwali mma!!...mabwana wengine kufanya kutaka kuonana lakin ajenda zao bwanawewe mmh kunyata.......
.......!!
..wanaomba mkutane bt afta kumit kitongozo iki..for real i dnt wan t
km kumit tumit tu lakin habar nyingine zile mmh mmh aapana!!
byeee
:becky::becky:hahahahah!!!!!!!!!
tatizo matongozo mwali mma!!...mabwana wengine kufanya kutaka kuonana lakin ajenda zao bwanawewe mmh kunyata.......
.......!!
..wanaomba mkutane bt afta kumit kitongozo iki..for real i dnt wan t
km kumit tumit tu lakin habar nyingine zile mmh mmh aapana!!
byeee
:becky::becky::becky:Safari moja huanzisha nyingine....hizi si ndo opochunite za maisha jamani? :A S 8:
:becky::becky::becky::becky:hahaha Lugha gongana hapa :becky:
Unajua hapa kunakuwa na watu wanakuwa na maneno matamu kwenye chat zao kiasi cha kutamani kama ningepata wasaa nae...!
Lakini sasa sitamani tena
Juzi nilienda kwenye ofisi ya secretary mmoja kununua vocha (siku hizi imekuwa dili masecretary kuuza vocha). Nilipokaribia mlango wa ofisi nilipokea msg, ikanilazimu nistop kidogo kuisoma. Wakati naisoma kule ndani ya ofisi nikasikia yule secretary akipiga soga na 'shogaake' na nikasikia kamwambia 'ile ishu ya juzi nimeipost kwenye jukwaa la wakubwa mda si mrefu, fungua ucheki watu wanachosema'.. Mh, mwanzoni sikupata picha lakini nilipofungua mlango kwa mbali nikaona yule secretary akiperuzi kurasa za JF, ndipo nikajua kumbe alikuwa anamaanisha jukwaa la kwenye JF!
Nilirudi ofosini kwangu na baada ya mda nikiwa naperuz kwenye Jukwaa la wakubwa nikakumbuka kisha nikacheki topic zilizotumwa ule wakati. Aisee nilishtuka maana watu wote waliokuwa wametuma topic sikuwahi kuwawazia kuwa wanaweza kuwa age ya yule mama secretary. yaani yule mama kuna wakati nilikuwa navizia mtoto wake wa tatu sijui... Nikashtuka kumbe huku inawezekana tunataniana na wakwe zetu!!
Du, eee bwana eee. Unakuta mtu na binti yake wanachati mambo ya aibu bila kujua. Kwa kweli siku majina na picha za watu zitakapowekwa peupe hapa mjini watu wengine watahama kwa lazima
Bila Sadaka inaruhusiwa?Ha ha haaa....
Njooni wote kanisani kwangu. Mtafahamiana tu
Bila Sadaka inaruhusiwa?
Ha ha haaa....
Njooni wote kanisani kwangu. Mtafahamiana tu
Tehe tehe tehe!nimefanya kucheka mie jinsi ulivyoniondelea stress za kazi asubuhi hii!hahahahah!!!!!!!!!
tatizo matongozo mwali mma!!...mabwana wengine kufanya kutaka kuonana lakin ajenda zao bwanawewe mmh kunyata.......
.......!!
..wanaomba mkutane bt afta kumit kitongozo iki..for real i dnt wan t
km kumit tumit tu lakin habar nyingine zile mmh mmh aapana!!
byeee
Safari moja huanzisha nyingine....hizi si ndo opochunite za maisha jamani? :A S 8:
1.hapa pana mambo,............... waweza kukuta umdhaniae ni mzee kumbe ni mtoto kabisa
2.umdhaniae mwanamke kumbe ni dume na masharubu yake.
3.umdhaniae mlevi kumbe hajawahi onja toka kuzaliwa.
4.yule unaetaka sana kumuona kumbe ni mumeo/mkeo/mchumba wako.
5.yule unaedhani anaishi London kumbe yupo manzese kwa mfuga mbwa
CHAMSINGI
JAMBO LA MSINGI NI KUWA, HAPA UNAPATA MAWAZO YA NDANI KABISA YA MTU.
KWA KWELI UKIBAHATIKA KUMUONA MWANA JF......UTAKUWA UMEMJUA 100%
waoooo!! how good is this comment, big upyer........you have to watch your steps......you can date your own mum or dad.....! sijui hapo nani atakuwa hana adabu! be religious you can enjoy the fruits of the earth and heaven!
Unajua hapa kunakuwa na watu wanakuwa na maneno matamu kwenye chat zao kiasi cha kutamani kama ningepata wasaa nae...!
Lakini sasa sitamani tena
Juzi nilienda kwenye ofisi ya secretary mmoja kununua vocha (siku hizi imekuwa dili masecretary kuuza vocha). Nilipokaribia mlango wa ofisi nilipokea msg, ikanilazimu nistop kidogo kuisoma. Wakati naisoma kule ndani ya ofisi nikasikia yule secretary akipiga soga na 'shogaake' na nikasikia kamwambia 'ile ishu ya juzi nimeipost kwenye jukwaa la wakubwa mda si mrefu, fungua ucheki watu wanachosema'.. Mh, mwanzoni sikupata picha lakini nilipofungua mlango kwa mbali nikaona yule secretary akiperuzi kurasa za JF, ndipo nikajua kumbe alikuwa anamaanisha jukwaa la kwenye JF!
Nilirudi ofosini kwangu na baada ya mda nikiwa naperuz kwenye Jukwaa la wakubwa nikakumbuka kisha nikacheki topic zilizotumwa ule wakati. Aisee nilishtuka maana watu wote waliokuwa wametuma topic sikuwahi kuwawazia kuwa wanaweza kuwa age ya yule mama secretary. yaani yule mama kuna wakati nilikuwa navizia mtoto wake wa tatu sijui... Nikashtuka kumbe huku inawezekana tunataniana na wakwe zetu!!
you are all supposed to be anonymous....mwatafutiana nini????
Unajua hapa kunakuwa na watu wanakuwa na maneno matamu kwenye chat zao kiasi cha kutamani kama ningepata wasaa nae...!
Lakini sasa sitamani tena
Juzi nilienda kwenye ofisi ya secretary mmoja kununua vocha (siku hizi imekuwa dili masecretary kuuza vocha). Nilipokaribia mlango wa ofisi nilipokea msg, ikanilazimu nistop kidogo kuisoma. Wakati naisoma kule ndani ya ofisi nikasikia yule secretary akipiga soga na 'shogaake' na nikasikia kamwambia 'ile ishu ya juzi nimeipost kwenye jukwaa la wakubwa mda si mrefu, fungua ucheki watu wanachosema'.. Mh, mwanzoni sikupata picha lakini nilipofungua mlango kwa mbali nikaona yule secretary akiperuzi kurasa za JF, ndipo nikajua kumbe alikuwa anamaanisha jukwaa la kwenye JF!
Nilirudi ofosini kwangu na baada ya mda nikiwa naperuz kwenye Jukwaa la wakubwa nikakumbuka kisha nikacheki topic zilizotumwa ule wakati. Aisee nilishtuka maana watu wote waliokuwa wametuma topic sikuwahi kuwawazia kuwa wanaweza kuwa age ya yule mama secretary. yaani yule mama kuna wakati nilikuwa navizia mtoto wake wa tatu sijui... Nikashtuka kumbe huku inawezekana tunataniana na wakwe zetu!!
you are all supposed to be anonymous....mwatafutiana nini????