Sina hamu ya mapenzi na uume wangu hausimami asubuhi

Hapo kwa kutokuwa na ham ya kukutana na kabint huo si ugonjwa, ila jogoo kutokuwika asubuhi waone wataalam may be there is something behind.
 
Kwanza nakupa pole maana jogoo hawiki.Nina dawa ya mitishamba,ni dawa nzurisana inaongeza nguvu za kiume na kutibu matatzo yote ya nguvu za kiume,dozi yake ni mda wa wiki 4 ukianza kuitumia dawa hii utaona mabadiliko ya ajabu kitukitakuwa kinasimama misili ya msumali ni dawa nzurisana.kama utaitaji nitafute 0759217720
 
Kwani hausimami hta wht mwengine?mm i dnt see the prob kma wkt mwengine hua inaenda hewani
 
Inaonekana ni tatizo la watu wengi na linawaathili vijana, wazee na hata wadada pia. Ni tatizo la kijamii katika nchi zetu na kwa bahati mbaya tafiti zimekoseka sana kuonyesha hilo na suluhisho lake. Ukweli ni kwamba tatizo hili linachangiwa na mengi ikiwepo hali ya maisha ya sasa na changamoto zake zinazopelekea msongo wa mawazo (stress), lishe duni sana ya watu wengi(nutrition) katika nchi zinazoendelea na kubwa zaidi pengine kuliko yote ni midawa mingi tunayokula, hasa antibiotics ambazo ni sumu sana na watanzania na waafrika tunabugia sana bila kujua side effets zake. na madaktari na wanaojua hawatuambii vizuri. Nenda nchi zilizo endelea kuna udhibiti mkubwa wa madawa haya lakini sisi kila mtu anaweza nunua tu na kuzitumia. Punyeto inaweza kuwa ni tatizo lakini isinge lete tatizo kubwa kiasi hicho,mimi nilisha fanya sana lakini sina tatizo kama hilo. Kijumla kuna matibabu ya kisaikolojia, lishe na life, style change. Ntafute ntakuleza zaidi chakufanya,nasema hivo kwa sababu pengine nitahita kukuhoji vitu vingi vingine vinaguza mambo yako binafsi ambayo siyo rahisi kuyasema hapa kwa mtandao. Unaweza kunipata kwa no +255 756 514 644/715 514 644 or apronius2000@yahoo.co.uk
 

Mkuu ntakutafuta
 
Ok...nadhani ni tatizo la vijana wengi wa kisasa kutokana na mfumo wa maisha ikiwa ni pamoja na vyakula,kutokufanya mazoezi,matumizi ya dawa kali zenye sumu nyingi mwilini na utandawazi!...ondoa sumu mwilin kwa kunywa walau glass moja ya juic ya karoti,piga mazoezi,pendelea vyakula vya asili visivyo na mafuta mengi,pia usiangalie ponography,usipakate laptop au kupiga punyeto,tumia dawa za hospital pale unaposhauriwa na docta tu!
 
Kama ungelikua ni Muislam ungetumia Dhikri hii hapa(utajo wa Mwenyezi Mungu) "La Haula walaa Quwwatan illa Billahi L-aliyyu L-adhiim" maana yake Haku Mola apasae kuabudiwa kwa haki, wala Hakuna Mwenye nguvu isipo kuwa Mwenyezi Mungu Mtukufu. Hii Dhikri utaisoma mara 313 kila siku asubuhi au jioni baada ya Sala ya Laasiri.. Hii ni hazina ya peponi kwa io itumie Insha-Allah mambo yatakaa sawa...ushauri mwengine ni kwamba jaribu kuinamisha macho chini kila unapomuona mwanamke yuko nusu uchi...
 
ulitumia dawa gani!! So now unasimamia kucha!![/QU

Kuna dr. Mmoja yuko dsm pale MNH ni urologist anaitwa Kaali waweza mcheki). Pia kuna dr kapona 0754286125 yeye ni vizur kukutane naye kwenye private hospital zake ndo itakuwa rahisi!! Thank guys
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…