Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
- Thread starter
-
- #41
Hata sijawai kumuambia Nina mimba au mtoto.baada ya kupata mimba nilimblock kila mahali.Tobaaa...
Sasa siku mtoto akitaka baba yake utafanyajeHata sijawai kumuambia Nina mimba au mtoto.baada ya kupata mimba nilimblock kila mahali.
Ana shida gani kwani mpaka amtake? Nitamwambia aligongwa na treniSasa siku mtoto akitaka baba yake utafanyaje
Wewe usiseme hivyo kuna mda watoto husumbua kutaka baba au mama wamwone tuu kama yupo utamwonyesha tuu nakuambia tena omba mungu yasikukute huko baadaeAna shida gani kwani mpaka amtake? Nitamwambia aligongwa na treni
MamboHapana
Nakutania bna.sina mtoto hataWewe usiseme hivyo kuna mda watoto husumbua kutaka baba au mama wamwone tuu kama yupo utamwonyesha tuu nakuambia tena omba mungu yasikukute huko baadae
Kweli?Nakutania bna.sina mtoto hata
Tiba yako IPO MKII,, njoo PM ,,Mimi ndy DOCTOR TX NIPASUWE...Napata hamu siku Niko period tu .ikiisha wala sijiskii hata.japo sina mtu ila hamu iwepo jamani nijione mkamilifu.naombeni tiba isiwe mayai yameisha huko ndani.
Nitakupa dawa ya hilo tatizo usijali.Napata hamu siku Niko period tu .ikiisha wala sijiskii hata.japo sina mtu ila hamu iwepo jamani nijione mkamilifu.naombeni tiba isiwe mayai yameisha huko ndani.
Ukiwa period nicheck faster nije nikupandikize dawa.Au Nina stress eeh? But why nikiwa period nakuwa high?
tupo wataalam wa KatereroNimtafute wapi?