Amon Mtekateka
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 1,225
- 333
Ten percent mkuu ndiyo tatizo la wabongoSijui walimpendea nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jikubalMimi ni yanga daima but leo tuko out
Manufaa binafsi ambayo yanatukosesha raha lundo la mashabiki tulio nyuma ya timu.Ten percent mkuu ndiyo tatizo la wabongo
Itakuwa anatumia lugha ya peke yake mana sio kwa kuharibu timu kiasi kile.Yanga gani hiyo unayozungumzia, hii ya kufanya substitution za ajabu ajabu? Kocha hajui kusoma mchezo, na hata hicho anachosoma vibaya, wachezaji hawamuelewi
Channel gani ya Hapa nyumbani itarusha?Saa kumi kamili jioni
Sijajua kwani kwenye gazeti wameandika muda pekeeChannel gani ya Hapa nyumbani itarusha?
OkeySijajua kwani kwenye gazeti wameandika muda pekee
Hizi timu kubwa emmyta watu wanaziendesha kwa manufaa yao bila kuangalia munufaa ya timu na athali kwa wapenzi na mashabikiManufaa binafsi ambayo yanatukosesha raha lundo la mashabiki tulio nyuma ya timu.
Sio mbaya ukiota na wenzakoNdoto za mchana hizo
Ndio hivyo kesho na keshokutwa wanaleta garasa lingineHizi timu kubwa emmyta watu wanaziendesha kwa manufaa yao bila kuangalia munufaa ya timu na athali kwa wapenzi na mashabiki
Pole mdogo wangu jifunze ku reply basi wacha kuzubaaSawa emmyta
Hahahaa! Inzi wanaingia mdomoni basiWe Zanaco unafikiri ni Ngaya Fc au? Leo ******* 3-0
Ndiyo, njaa mbaya ilimfanya Daudi Bashite ajiite Paul Christian MakondaNdio hivyo kesho na keshokutwa wanaleta garasa lingine