Sina Imani na Akili ya Rais wa Yanga SC

Daah sisi watz ni wanafki sana pale mtu akiondoka kwenye timu unayoishabikia.
Alafu wazawa hatupedan kabisa ,kwenye swala la fei nilitegemea mashabik wangesimama na fei Ili kushinikiza viongoz wamuongeze dogo awe anakula hata 10m na nina Iman angekubal.
Fei kilichomtoa yanga ni dharau za rais wenu juu yake.
Tuweke unafki pemben Leo hii wakupe Aziz k na fei utaondoka na Nan ?
Au Morrison na fei Nan ana faida Kwa timu?
Yaan Aziz k alambe 27 na Morrison 23 alaf fei et 4 upumbavu kabisa huu .
Ifike hatua tupendane sisi watz tuache ma wivu .
Ukimsikiliza fei Kwa undan unaona kabisa dogo alikua ameridhika na hiyo 4m ila kilichomtia ndimu ni dharau za wazwaz kwake na wakijua hajitambui
 
Tumuombe Mungu fei apeform vizuri akawe inspiration kwa wazawa wanaofanya kaz kubwa na wanalipwa kidogo
 
Hujui mpira, mpira ni biashara boss mchezaji asipo jipromote mwenyewe atabaki hapo hapo alipo, Yanga walitumia akili kubwa kudeal na akili yake, walijua hata kama wangempromote vipi haikuwa guarantee yeye kubaki Young Africans hiyo ni akili ndugu, ujinga alioufanya umedhihirisha hilo ,shida ya vijana wetu ni kukosa akili na mbaya zaidi hawana mameneger wenye brain wamebakia ushabiki.
 
Mi nlichowaza tu pepo ngumu sana wote wamekwenda hijja hao lkn mwingine anakwambia kapewa 100m kwa mara moja mwingine kwa installment nne , kasanishwa miaka mitatu badala ya miwili mwingine anamkataba wa miaka minne...

Sasa apo uswahina na kwenda kuhiji kote uko lkn kuna mmoja muongo apo
 
Wewe unalipwa shi ngapi?
 

Hii ndio hoja ya msingi; read between lines utaelewa

Lack of exposure na utoto wao hasa kwa wachezaji wazawa isiwe ni sehemu ya nyie ku take advantage. Lazima kuwa Na uwiano sahihi wa maslahi bila ya kujali yeye anatamani nini . Kufanya hivo ni ku prompte wachezaji wa ndan Na kuwapa hari

Tatizo Lenu watizedi akili ndogo hamuelewi
 
Kipindi fei anapewa ule mkataba na hile pesa kiwango chake akikua hiki Cha Leo alistahili na kipindi azizi ki anakunja ule mkataba na hile pesa alistahili kiwango chake akikua hiki Cha Leo kwahyo yote sawa tu eng rais yupo sahii 100%

Hayupo sahihi Na sio mzalendo

Kama Rais , anatakiwa kufanya review Na amendement kwa wachezaji wanaoonesha uwezo
Kama asipofanya hivi basi ajue wachezaji wa Yanga wote watabomolewa maana itakuwa ni rahisi sana kushawishika. Mchezaji analipwa mil 4 , Na anakiwango...,, watu wa nje wanamwambia tunakupa 12M , utakuwa ni kichaa ukikataa

So lazima ajifunze ku balance mishahara based na kiwango
 

Hijja ni aina nyingine ya Utalii kama tourism nyingine za Mbuga za wanyama

Haihusiani na pepo.

Huitaji kwenda hija ili uingie peponi
 

Mjomba soma vyema Na elewa
 

Umenena haki tupu na hii ndio hoja ya msingi

Wenyewe wanasema Fei alisaini mwenyewe ...... ni ujinga kuwa na Rais Kama Huyu :

ni Lazima kuwa Na Rais anayepromote wachezaji wa ndani . Tunajua wachezaji wa ndani ni washamba Na sio wajanja....... hiyo sio sababu ya sisi kutowapa stahiki yao.

Kama mchezaji wa ndani ametolewa Singida Kwenda Yanga kwa mshahara wa mil 2 ; kwa mkataba wa miaka 3 then anafika Yanga ndani ya mwaka anakuwa ni Tishio......... ni upumbavu kusema kwamba alisaini mwenyewe mil 2 :

kama Rais Na ikiwa ni sehemu ya ku prompte vipaji vya ndani ..... ni lazima umuite kijana kwa meza na kufanya review na amendement pamoja na kujenga uwiano wa wale wachezaji wanaokula hela ndefu.

Kutofanya hivi ni ujambazi na kukosa skills za uongozi na ni njia ya kuuwa national talents ambazo zitatumika kwa national team

Fei alianza hoja hizi Zamani sana , Na huyo Rais wa mchongo akawa anapiga danadana. Alikuja kuwa serious dogo alipoondoka ndio akaanza kutake things serious Na kumuita dogo njoo juu ya meza. Wakati huo dogo alishafanya maamuzi Na ameshamuona Rais ni mzushi tu .....
Kwahiyo maamuzi ya Fei ni sahihi kw national interest
 
Hakika ndugu ,alafu ukitaka kuelewa walikua wanafanya makusud Kwa dogo janja ,mbona saiz wamejiwah Kwa bacca na kuextend mkataba wake.
Pia walifanya hivyo Kwa mayele maana waliona jamaa ni tishio ila Kwa fei walichukulia kawaida sn wakijua dogo hajitambui mbaya Zaid unamchukulia easy bwana mdogo .
Nan asiyejua umuhimu wa fei pale yanga ?
Dogo kakomaa kipindi yanga Haina kitu ,lakin yanga yenyew imekua na kitu inakuja kumsaliti bwana mdogo.
Saiz yanga haiwez kuona pengo la fei ila Kuna muda tu litaonekana.
Hata psychology ya kocha Nabi unaona kabisa hakupenda kabisa Fei aondoke kishamba namna hiyo.
Ogopa sana wanaojua kujieleza mbele ya kadamnasi alafu wapole kama Hersi .watu wa namna hii wakiwa kigizan ni mafia wa kutisha ,Fei anayo mengi ya huyo Rais wao ni vile tu kaamua kukausha Ili maisha yaendelee
 
Engineer Hersi mtu smart sana.

Hizo akili unazozungumzia wewe sijui ni akili gani[emoji28]..

Halafu katika football mbona kawaida sana haya mambo ya salary..

Wakati Bukayo Saka akiwa katika peak alikua anachukua robo ya mshahara wa Mesut ozil ambaye ni bench warmer..!

Hoja ya kulipwa vibaya au vizuri ipo katika negotiations ya contract..

Ukiwa mjinga mjinga kama Fei when it comes to negotiation lazima upigwe pa kubwa.

Yaani kama vile Laudit Mavugo alipokua anakunja hela ndefu alafu shiza kichuya akichukua hela ya madafu.
 

Tuma application uwe rais then, maana wewe uwezo wako kama ni zaidi ya Eng, utatupeleka World Cup au ligi ya Bundesliga
 
Ingependeza ungeongezwa kwenye jopo la mawakili wa Fei CAS ukashusha nondo kama hizi kwa hakika angeshinda kongole sana .
Fei keshaondoka, kama mlikuwa na haki kwanini mkamuacha aondoke kirahisi hivyo

Iweje pesa mliyopewa mwanzo mkaikataa, leo mmeichukua kirahisi tu eti kisa mama kasema washamba kweli[emoji1787][emoji1787]
 

Angekuwa smart angeenda kuomba kujenga Uwanja Jangwani. Sidhani kama amezungukwa Na watu sahihi
Kuna proposal la jangwani kabla yake with cost implications ya lile eneo
Huo u smart upo wapi!

Pia elewa Mada Na hoja za negotiations terms za contract
 
Fei keshaondoka, kama mlikuwa na haki kwanini mkamuacha aondoke kirahisi hivyo

Iweje pesa mliyopewa mwanzo mkaikataa, leo mmeichukua kirahisi tu eti kisa mama kasema washamba kweli[emoji1787][emoji1787]

They are not smart
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…