Sina imani na Clouds Fm sport extra

juan de otaru

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2013
Posts
211
Reaction score
113
Leo nilikuwa nasikiliza kipindi cha michezo hapo clouds,fatma likwata ameandaa makala ya kumponda manji na kuwadharau wanachama wa yanga,hv anajua gharama za kuendesha timu?au wanaropokaropoka Tu?si waanzishe timu Yao kama wanaona rahisi .mi nahisi crew nzima ya clouds fm Ni mashabiki WA mikia
 
Mbona mbwiga ni yanga, hata hao simba sc wanawasemaga sema hawajasema alternatives( means) ya kuendesha klabu zaidi ya hiyo
 
Tehteh..Mnazi kasemaje?..
 
 
faida ya mfumo wa uanachama kwa klabu ya soka ni ushindi tuu hakuna kitu kingine sasa inatokea timu ina inaishinda Ndanda na Simba miaka nenda miaka rudi timu kimataifa haitambi wanachama hatuna furaha bora kubadilisha mfumo kabisa ili timu ijaribu hatua nyingine
 
Tena kuna mtangazaji mmoja ni mnazi wa simba waziwazi hivyo usitarajie yazungumzwe mazuri upande wa pili
 
Kwahiyo kubadili mfumo ni kukodisha team bure?[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Tena kuna mtangazaji mmoja ni mnazi wa simba waziwazi hivyo usitarajie yazungumzwe mazuri upande wa pili
Nani? acha uoga...Ngumu kumeza[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Ukweli lazima usemwe,kwa kitendo kile cha kukodisha bure timu mpaka 2026 sio mchezo jamaa amejipanga kurudisha m100 zake alizotoa mara mbili tatu,akili zao zimelala wanachama wa ndala.
 
mimi huwa nafatilia sana ngumu kumeza bora nikose vipindi vyote vya mawingu lakini jumatatu na ijumaa lazima niisikilize, jana Fatma alirusha jiwe gizani nikajua hapa lazima watoke tu maana hamna namna sasa na hivi watz hatuupendi ukweli.
 
Makala za yule dada hazina maana na azina uchambuzi makini! Kikija kiopengele chake naweza badilisha steshen ya redio au niendelee na mishe zingine, kama hawawezi uchambuzi watoe tu kipendele chake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…