tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,482
sidhani hilo ,mbona shafii ni ssc lakini huwa anaongea ukweli unaogusa pande zoteTena kuna mtangazaji mmoja ni mnazi wa simba waziwazi hivyo usitarajie yazungumzwe mazuri upande wa pili
ukweli upi?manji allisema thamani ya yanga Ni kubwa kuliko hizo bil 20 mnazojidaia,yaani timu yenu Ina thamani ya bili 39tu,mwacheni aifanyie biashara yanga cc tunachotaka Ni mafanikio uwanjani tu.kipi Nora kiiza au kukodisha #mbumbumbu fcSiku zote ukweli ni mgumu kumeza
Sent from mTalk
Awajielewi wale wanaojiita wakuu wa michezo tz
ukweli upi?manji allisema thamani ya yanga Ni kubwa kuliko hizo bil 20 mnazojidaia,yaani timu yenu Ina thamani ya bili 39tu,mwacheni aifanyie biashara yanga cc tunachotaka Ni mafanikio uwanjani tu.kipi Nora kiiza au kukodisha #mbumbumbu fc
Kwa matumizi yapi mpaka timu ipate hasara ya bil 2 yaani milion 2000 mwambieni awataje na kipato kwanza...Mimi ni mwanachama wa YANGA na nilikuwa kwenye mkutano siku ile Manji aliulizwa ukumbini na mwanachama Kwahiyo thamani ya kukodisha nembo ya Klabu ni shilingi ngap Manji alijibu Mwaka Jana Amepata hasara billion 1.5 Mwaka huu huenda ikafika billion 1.9 Kwahiyo kwasasa Klabu inajiendesha kihasara Kama tukianza kupata faida Klabu itachukua 25% Mimi 75% Hivi inaingia akilini kweli,Clouds wameongea Kweli Ndiyo maana Mimi naipenda clouds kuacha ujinga ujinga wao lakini kuna sehemu wanasimamia Uadilifu na Taaluma
Yaani hata leo wameandaa makala hiyo iliyokaa kichochezi kabisa. Hawa jamaa wanaonyesha waziwazi kabisa kuwa hawaipendinYanga na wanasahau maadili ya kazi yao.Leo nilikuwa nasikiliza kipindi cha michezo hapo clouds,fatma likwata ameandaa makala ya kumponda manji na kuwadharau wanachama wa yanga,hv anajua gharama za kuendesha timu?au wanaropokaropoka Tu?si waanzishe timu Yao kama wanaona rahisi .mi nahisi crew nzima ya clouds fm Ni mashabiki WA mikia
Tuache ujinga Watanzania. Tukubali kuambiwa ukwe.Yaani hata leo wameandaa makala hiyo iliyokaa kichochezi kabisa. Hawa jamaa wanaonyesha waziwazi kabisa kuwa hawaipendinYanga na wanasahau maadili ya kazi yao.
Umesikia wapi timu imekodishwa?Leo nilikuwa nasikiliza kipindi cha michezo hapo clouds,fatma likwata ameandaa makala ya kumponda manji na kuwadharau wanachama wa yanga,hv anajua gharama za kuendesha timu?au wanaropokaropoka Tu?si waanzishe timu Yao kama wanaona rahisi .mi nahisi crew nzima ya clouds fm Ni mashabiki WA mikia