DIDAS TUMAINI
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 242
- 676
Katika msimu ambao mimi kama shabiki wa simba nimeridhishwa na usajili wa club yetu, tena kiufundi na kwa quality players basi ni msimu huu.Management imejitahidi sana kusajili kwa kuangalia mahitaji ya timu na umri.
Simba imesajili wachezaji waliofanya vizuri kwenye ligi zao.Kilichobaki tu ni kocha atafute chemistry mzuri uwanjani, hakuna mchezaji MBOVU, narudia tena wachezaji wote waliosajiliwa na simba msimu huu WOTE walikuwa ni first 11 za vilabu vyao na wote wameacha PENGO kwenye vilabu vyao.
Wawa out ....... Outarra in
Kagere out.......Phiri in
Mugalu out...... Manzouk in
Morrison out...... Okhra in
Bwalya out........Okwa in
Thadeo out.......Akpan in
C.E.O Barba na Management ya simba hatuna cha kuwalaumu.Kocha ashindwe yeye tu na wachezaji wake.
Didas Tumaini
Simba imesajili wachezaji waliofanya vizuri kwenye ligi zao.Kilichobaki tu ni kocha atafute chemistry mzuri uwanjani, hakuna mchezaji MBOVU, narudia tena wachezaji wote waliosajiliwa na simba msimu huu WOTE walikuwa ni first 11 za vilabu vyao na wote wameacha PENGO kwenye vilabu vyao.
Wawa out ....... Outarra in
Kagere out.......Phiri in
Mugalu out...... Manzouk in
Morrison out...... Okhra in
Bwalya out........Okwa in
Thadeo out.......Akpan in
C.E.O Barba na Management ya simba hatuna cha kuwalaumu.Kocha ashindwe yeye tu na wachezaji wake.
Didas Tumaini