sina mapenzi

HAKUNAGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2012
Posts
301
Reaction score
72
wana MMU naomba mnijuze sijui nnaweza kuwa na tatizo gani kwani nna umri wa miaka 40 na katika umri wote huu sijawahi kupenda
 
wana MMU naomba mnijuze sijui nnaweza kuwa na tatizo gani kwani nna umri wa miaka 40 na katika umri wote huu sijawahi kupenda

Mmh basi we ni michosho kweli(jokes)

Kama mwenyewe umejihisi hauko sawa na wenzio ni vema kama ungepata pysichologist ili uweze kupata huduma, tatizo lakisaikolojia tu hilo.
 
duu.naona mimi na wewe tuta mechi.nakutania,usichukulie serious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…