Sina matumaini tena ya kuendelea na masomo,mnishauri tu namna ya kumudu maisha

Sina matumaini tena ya kuendelea na masomo,mnishauri tu namna ya kumudu maisha

Raelish

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2013
Posts
489
Reaction score
162
Poleni na kazi wapendwa.! sitaki nimlaum Mungu wala yeyot kwa hivi nilivyo.,nimezaliwa miaka zaid ya 20 iliyopita nikiwa ni mtoto niliyetokea katika familia ya kmaskn sana,nilifanya mtihan wa drs la 7 na nikachaguliwa pale KIBAHA SEC. wazaz wang walikuw hawana uwezo wowt wa kunilpia ada,nauli n.k mbay zaid hawana mwamko wa elim .nikiw na miaka 14 nikajkuta natembea umbal mref kwend mishen moja hv kuomb msaada.,nikaktana na mjeruman mmoja pale akanisaidia kwa kunilipia nauli ya kwenda na kurud,nilienda shulen na ile nauli ya kurud nikanunua vfaa mhm vya shule na muda wa likizo nilikuw nabak shulen nikifanya vbarua na kupata hela kdog iliyonisaidia kuendesha maisha yangu,mateso hasa msongo wa mawazo ulikuwa unanitesa sana,machoz ndiyo yalikuwa faraja yangu ya mwisho. nilimaliza pale kwa tabu sana na nikafaulu na nikaenda kdato cha 5..hapa angalau nilikuwa mkubwa kdogo hvyo nikajhusisha na kaz za shamba,shule niliyokuwa nasoma ilikuwa karb na kjjn kwangu hvyo nikawa naomba ruhusa....NATUMIA SIMU NITAENDELEA
 
NAENDELEA,..nikawa naomba ruhusa na kwa kuwa nilijieleza wazi mbele za walim nikawa naruhusiwa. nikawa najihusisha na kazi za shamba ili niweze kujisomesha,elimu wa kidato cha tano na sita sikusoma vizuri kutokana na kujigawa katika majukum mbalimbali ya kujitegemea kwa kila kitu katika maisha yangu..mtihani ulikuja nikafanya na matokeo yalipotoka nilifeli nilivuna div.4 point 18 kwa combination ya CBG..walimu wakanishauri nipeleke maombi CLINICAL OFFICER nitumie chet ya kdato cha nne ambacho ni kizuri (hakuna somo nililopata F),lakin hata hicho cheti sina na nadaiwa Tsh.300,000 pale kibaha sek. nimefanya jitihada kukipata chet lakn najiona kushindwa.,kwa sababu nipo kijijin hakuna wenye mawazo ya kunisaidia sana nikaona nije hapa ili nipate msaada wa kusaidiwa kupata cheti au namna ya kumudu maisha na niweze kuendelea vizuri.,no.yangu ya simu;0782168784...AHSANTENI SANA
 
Siku hizi ndugu yangu tumekuwa waangalifu sana kwa watu wasiyo waaminifu.Unaweza kusaidiwa ila watu watataka kupata uhakika toka shuleni.
 
kaka pole sana na matatzo uliyopata, wana Kibaha secondary wapo wengi humu. Toa details zaidi umemaliza mwaka gani pale na unaitwa nani pia. Naamini wapo ex-class mates wengi humu watakusaidia laki 3 si nyingi sana.
 
Siku hizi ndugu yangu tumekuwa waangalifu sana kwa watu wasiyo waaminifu.Unaweza kusaidiwa ila watu watataka kupata uhakika toka shuleni.

mtu mwenye shaka nami anatafute tu 0782168784
 
kaka pole sana na matatzo uliyopata, wana Kibaha secondary wapo wengi humu. Toa details zaidi umemaliza mwaka gani pale na unaitwa nani pia. Naamini wapo ex-class mates wengi humu watakusaidia laki 3 si nyingi sana.

ninatumia simu ndo maana nimeshindwa kuandika kila kitu ila napatikana hapa 0782168784
 
mmmmhhhhh kama kweli uko serious weka details zako vizuri, namba ya simu haitoshi
 
mmmmhhhhh kama kweli uko serious weka details zako vizuri, namba ya simu haitoshi

nimemaliza mwaka 2008 pale kibaha sek. enzi zile mkuu wa shule aliitwa S.M Kayenga,second master alikuwa Kachingwe Kaselenge majina ya mabweni ni PANGAN,SCANDIA,NYANZA na KIBO,mimi nilikuwa naishi SKANDIA(dom B).,kama zaid nitafute 0782168784
 
Ngoja nimuite hapa Mpwa wangu mpendwa ASHA Dii atalifanyia kazi hili fasta kama yale mengine, tulishirikiana na hata sijui yule jamaa kama aliendakulipa ile ishu. Wait we will see what we can do
nimemaliza mwaka 2008 pale kibaha sek. enzi zile mkuu wa shule aliitwa S.M Kayenga,second master alikuwa Kachingwe Kaselenge majina ya mabweni ni PANGAN,SCANDIA,NYANZA na KIBO,mimi nilikuwa naishi SKANDIA(dom B).,kama zaid nitafute 0782168784
 
Last edited by a moderator:
pole sana mkuu kwa matatizo yaliyokukuta ila nasikitika kwa sasa sina jinsi ya kukusaidia ila Mungu yupo utapata tu msaada.
Nalog off
 
kiongozi weka detail zako zote hasa jina lako!!! naamini utasaidiwa tu hapa
 
Sina matumaini tena ya kuendelea na masomo,mnishauri tu namna ya kumudu maisha

...pole sana kijana! ninakushauri usikate tamaa ya maisha...

...sisi kaka zako tumetokea mbali' tena tumepata matatizo kuliko haya yako...
 
namba ya simu ya kibaha sek.023-2402143(labda ibadilishwe siku hizi) kitambulisho changu cha shule kina no.10674....jina langu:ALELUYA KOMBA...kwa lolote zaidi nipigiwe tu simu,.
 
Sina matumaini tena ya kuendelea na masomo,mnishauri tu namna ya kumudu maisha

...pole sana kijana! ninakushauri usikate tamaa ya maisha...

...sisi kaka zako tumetokea mbali' tena tumepata matatizo kuliko haya yako...

Ubarikiwe mwenzangu uliyeshnda,nafkr unajua vzr matatzo ya maisha,usinisahau kt maombi yako
 
nimemaliza mwaka 2008 pale kibaha sek. enzi zile mkuu wa shule aliitwa S.M Kayenga,second master alikuwa Kachingwe Kaselenge majina ya mabweni ni PANGAN,SCANDIA,NYANZA na KIBO,mimi nilikuwa naishi SKANDIA(dom B).,kama zaid nitafute 0782168784
kama wewe ni KIBAHA BOY kweli unamfahamu MAMA Nyandingo??....unapafahamu Mwanalugali.....unamfahamu KASHINDYE(CASH BABA)...unamfahamu SHASHULA???....nitajie siku za pared pale ni lini na lini???......halafu mwisho kabisa nitajie jina la yule mpishi anayeuza mapisi mida ya jioni.....then utakuwa proved kama kweli wewe ni KIBAHA BOY.....afu ma ALUMNI tutakusaidia
 
Back
Top Bottom