Sina mzuka na mamito wangu...

Sina mzuka na mamito wangu...

pole sana kwa hilo linalokusumbua.
ila kwa uzoefu wangu mtoto wa kike anakuwa karibu sana na baba ......hata mimi binafsi baba yangu niko karibu nae sana na nikiwa na tatizo yeye ndo wa kwanza kujua na nyumbani wanajua mim ni mtoto wa baba.......lakini sasa baada ya kuzaa acha tu nimejua umuhimu wa mama....sasa hivi mama yangu niko karibu nae sana na mtu akimudhi natamani nimdunde......hii ni baada ya kuingia labor.
ushauri wangu.
jitahidi kuwa karibu na mama mana ana nafasi kubwa sana maishani mwetu na kama kuna mahali alikukosea msamehe na jitahidi kujilazimisha hata kama unakuwa mzito weka hata alarm kwenye simu ikikumbushe kumpigia simu kila siku.....na umtembelee mara kwa mara kwa kadri ya nafasi yako.
 
pole sana kwa hilo linalokusumbua.
ila kwa uzoefu wangu mtoto wa kike anakuwa karibu sana na baba ......hata mimi binafsi baba yangu niko karibu nae sana na nikiwa na tatizo yeye ndo wa kwanza kujua na nyumbani wanajua mim ni mtoto wa baba.......lakini sasa baada ya kuzaa acha tu nimejua umuhimu wa mama....sasa hivi mama yangu niko karibu nae sana na mtu akimudhi natamani nimdunde......hii ni baada ya kuingia labor.
ushauri wangu.
jitahidi kuwa karibu na mama mana ana nafasi kubwa sana maishani mwetu na kama kuna mahali alikukosea msamehe na jitahidi kujilazimisha hata kama unakuwa mzito weka hata alarm kwenye simu ikikumbushe kumpigia simu kila siku.....na umtembelee mara kwa mara kwa kadri ya nafasi yako.

Itabidi nizae soon ila akili inikae sawa eeehh teh!!!!!
ahsante kwa ushauri wako sister
 
Last edited by a moderator:
mi mwenyewe sijui namwonaje mama yangu..

Sina Uhakika kama ninampenda!!
 
Kwani alikuudhi nini? Ni mama yako mzazi? Umeishi naye kwa muda gan i mean amekulea yeye? Usijilaumu yawezekana mfumo uliokulia ndio umekupa distance ya kutomfeel your mum kwa sana! Yani mi nnavyompenda mamangu natamani hata asikanyage chini! But fikiria mapenzi yake kwako utakuwa mwanzo mzuri wa kummis your mum nakupenda kuwasiliana naye muda mwingi! HAMNA KAMA MAMA!
 
Mimi nina maswali kibao, ambayo ni soul searching na huenda yakafukua root cause ya issue yako; are you comfortable kuyajibu jukwaani au kwa PM.

mie pote tu nipo comfortable sister make nahitaji nitibu hili tatizo
 
Kwani alikuudhi nini? Ni mama yako mzazi? Umeishi naye kwa muda gan i mean amekulea yeye? Usijilaumu yawezekana mfumo uliokulia ndio umekupa distance ya kutomfeel your mum kwa sana! Yani mi nnavyompenda mamangu natamani hata asikanyage chini! But fikiria mapenzi yake kwako utakuwa mwanzo mzuri wa kummis your mum nakupenda kuwasiliana naye muda mwingi! HAMNA KAMA MAMA!

Ni mama angu ndio, amenilea na hadi leo bado nipo kwake!!!!!!!
hata mi sina amani na hii na nahisi hata ye anajua sina mzuka nae
 
mie pote tu nipo comfortable sister make nahitaji nitibu hili tatizo

Great.
1. Lini umejihisi hauko karibu sana na mama?
2. Ni jinsi gani ungependa mama awe, akufanyie, au akutreat?
3. Mmezaliwa wangali?
4. Ulishawahi kuhisi mama ana mapenzi zaidi kwa ndugu yako mwingine kuliko wewe/ninyi?
5. Mara ya mwisho mama kukuchapa/kukugombeza bila kosa ilikuwa lini, na ulituhumiwa kwa kosa gani na ulifeel vipi baada ya 'kuonewa'?
6. Kuna mama mdogo, mkubwa ambaye unampenda sana?

Tuanze na hayo kwanza.
 
Evelyn kipenzi watoto wa kike always ni wa dingi huwezi epuka such athing na sisi masela ni wa bi mkubwa ndo ilivyo lakini hii haiwezi kusababisha usiwe na mzuuuka kabisa na maza kama kuna somethng wrong she has done 2 u tujuze kwa mfano mimi dingi yangu simtaki hata kumsikia achilia mbali kumuona na kuna sababu behind ndo mana nakuuliza kama kuna reason behind
 
Great.
1. Lini umejihisi hauko karibu sana na mama?
2. Ni jinsi gani ungependa mama awe, akufanyie, au akutreat?
3. Mmezaliwa wangali?
4. Ulishawahi kuhisi mama ana mapenzi zaidi kwa ndugu yako mwingine kuliko wewe/ninyi?
5. Mara ya mwisho mama kukuchapa/kukugombeza bila kosa ilikuwa lini, na ulituhumiwa kwa kosa gani na ulifeel vipi baada ya 'kuonewa'?
6. Kuna mama mdogo, mkubwa ambaye unampenda sana?

Tuanze na hayo kwanza.

1. nilivokuwa form two 2004 yani mzuka uliniisha kabisa
2.mama hana tatizo huwa ananicol, mapenzi anaonesha kwangu ila mie ndo shida kurespond kwenye hayo mapenzi
3.tupo 5, two girls mi na sis angu, na 3 boys
4.yap nahisi hivo, pia nnavohisi mie anadhani sina mzuka nae kwa sababu ya elimu kitu ambacho wala mie sina make bila yeye hata nisingekuwa na hii elimu
Hata nikikosa kidogo ananambia "kama wasomi ndo mpo hivi kazi ipo"
huwa sielewi why anahusisha elimu yangu kwenye vitu mbalimbali
5.hata jana tu kishanigombeza na namuona leo anafeel guilt make ananibembeleza sana lakini ndo hivo mi nipo kawaida tu
6. yap ma mkubwa nampenda na hua naongea nae vz lakini mzazi nnaempenda sana hata nikiwa na shida namwambia ni baba angu mdogo
 
Evelyn kipenzi watoto wa kike always ni wa dingi huwezi epuka such athing na sisi masela ni wa bi mkubwa ndo ilivyo lakini hii haiwezi kusababisha usiwe na mzuuuka kabisa na maza kama kuna somethng wrong she has done 2 u tujuze kwa mfano mimi dingi yangu simtaki hata kumsikia achilia mbali kumuona na kuna sababu behind ndo mana nakuuliza kama kuna reason behind

Pole sana.
kwangu baba angu ndo kila kitu
i love him sana
i wish angekuwepo tu
 
mi mwenyewe sijui namwonaje mama yangu..

Sina Uhakika kama ninampenda!!

Mi namwona kawaida na ninampenda ila tatizo tukikaa tu mda lazima tufarakane

Sent from BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom