Bornventure
JF-Expert Member
- Jan 29, 2017
- 529
- 523
Huku mbeya Leo mvua imenyesha sana lakini naogopa kuelezea mambo mengine yaliyoambatana na mvua hii kwakuwa sina TAKWIMU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesi hiyo kaka. Kama mamlaka ya halo ya hewa hawatosema basiHuwezi kukisia hata thamani ya mvua iliyonyesha ni ya bei gani?
Kwa kuwa mkoa wa Mbeya ni moja ya mikoa ya kanda ya Juu kusini ambayo pamoja na sifa nyingine inasifika sana kwa baridi isiyo na takwimu halisi,unavyoona mvua hii haitakuwa imezidi kupandisha tabia mwili zinazopelekea mwezi wa tisa mwakani kutoa wapiga kura wapya wasio na takwimu?Kesi hiyo kaka. Kama mamlaka ya halo ya hewa hawatosema basi
Ahahahaa hiyo tafiti inaweza kuwa na ka uhalisia Fulani . mfano mzuri ni mi mwenyewe Leo baada ya kutoka ktk shughuri zangu mapeema nimejifungia tu ndani na bibie [emoji1] mwezi wa 9 itajijua yenyeweKwa kuwa mkoa wa Mbeya ni moja ya mikoa ya kanda ya Juu kusini ambayo pamoja na sifa nyingine inasifika sana kwa baridi isiyo na takwimu halisi,unavyoona mvua hii haitakuwa imezidi kupandisha tabia mwili zinazopelekea mwezi wa tisa mwakani kutoa wapiga kura wapya wasio na takwimu?
Ha ha haa nasikia huko ukimuomba takwimu mwenyeji wa jinsia pendwa akakunyima basi ujue nyota yako ni ya 'kitume' na kuanzia hapo anza tu maisha ya kitawa hata kama si mseminari! Ukiwa half time tunaomba utupe mrejesho wa hiyo takwimu uliyojifungia nayo kwenye chumba cha kubadilisha jezi ili tujue kama ipo kwenye database ya 'serikali'Ahahahaa hiyo tafiti inaweza kuwa na ka uhalisia Fulani . mfano mzuri ni mi mwenyewe Leo baada ya kutoka ktk shughuri zangu mapeema nimejifungia tu ndani na bibie [emoji1] mwezi wa 9 itajijua yenyewe