Sina uhakika kama Kauli hii ya Steve Nyerere kwa Wasanii wa Kiume nchini Tanzania itamuacha salama

Sina uhakika kama Kauli hii ya Steve Nyerere kwa Wasanii wa Kiume nchini Tanzania itamuacha salama

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
“ Wasanii wengi wa Kiume wa Tanzania hawana Nguvu za Kiume ndiyo maana wengi Wao wanatumia sana Dawa za Kulevya na hupenda pia Kufakamia hovyo Supu ya Pweza na kudanganyika kutumia Vumbi la Kongo “

Ni matumaini yangu makubwa mno kuwa mara baada ya Kukurupuka Kwake kutoa Kauli hii basi Steve Nyerere atakuwa tayari ameshajiandaa Kisaikolojia kwa ama majibu atakayopata kutoka kwa Wasanii au Vipigo vya uhakika kutoka Kwao kwani najua kuwa kuna Wasanii wengine huko nyuma Historia zao za Kimaisha walishakuwa Mabondia wazuri tu wa Ngumi za Ridhaa na wengine ni Wacheza Kung Fu na Karate wazuri sana.

Kazi ipo!
 
Kwani kasema uwongo waje wakanushe. Na discipline inakuwa mgogoro kwa wengi
 
Na yeye msanii wa bongo, je yupo kny wengi au wachache

Nadhani kuna Kitu Kibaya Steve Nyerere anakitafuta kutoka kwa Wasanii wa Tanzania na nadhani atakipata muda si mrefu.
 
“ Wasanii wengi wa Kiume wa Tanzania hawana Nguvu za Kiume ndiyo maana wengi Wao wanatumia sana Dawa za Kulevya na hupenda pia Kufakamia hovyo Supu ya Pweza na kudanganyika kutumia Vumbi la Kongo “

Ni matumaini yangu makubwa mno kuwa mara baada ya Kukurupuka Kwake kutoa Kauli hii basi Steve Nyerere atakuwa tayari ameshajiandaa Kisaikolojia kwa ama majibu atakayopata kutoka kwa Wasanii au Vipigo vya uhakika kutoka Kwao kwani najua kuwa kuna Wasanii wengine huko nyuma Historia zao za Kimaisha walishakuwa Mabondia wazuri tu wa Ngumi za Ridhaa na wengine ni Wacheza Kung Fu na Karate wazuri sana.

Kazi ipo!
Habari bila picha hainogi kabisa!...
 
Steve Nyerere humjui au ni Ududuna ( Upumbavu ) tu unakusumbua?
jasiri ahachi Asili,Japo umekuja na I'd Nyingine Lakini Zile Features zako bado unazo
hahaha Genta
Nashukuru... lakini nakushauri tafuta namna nzuri ya kutatua matatizo yako badala ya kuhamishia hasira kwa watu wengine wasiohusika na matatizo hayo...
ACHANA NAYE
Tushamzoea huyo!!
 
Nashukuru... lakini nakushauri tafuta namna nzuri ya kutatua matatizo yako badala ya kuhamishia hasira kwa watu wengine wasiohusika na matatizo hayo...

Wewe ni Mke wangu hadi ujue kuwa nina matatizo? Huwa nikikutana na Maduduna kama Wewe ndiyo Hasira hunipanda.
 
Na Mimi pia nimeliwaza hili sana tu Kiongozi.
Usibishe ni kweli...kama kuna mmoja cheupe dawa wa siku nyingi alianza kutumia super shaft,hadi 2010 alikua hajiwezi,na mmakonde ni hodari wa kutumia vumbi la kongo,hemed alikua na kibamia akaamua kubusti
 
jasiri ahachi Asili,Japo umekuja na I'd Nyingine Lakini Zile Features zako bado unazo
hahaha Genta
Duh!, watu noma!, huyo jamaa mmemgundua mpaka akiwa hatumii zile fonts zake?!!.
Siku hizi simwoni kabisa humu JF, kakumbwa na nini sijui.
 
Kiki at work
“ Wasanii wengi wa Kiume wa Tanzania hawana Nguvu za Kiume ndiyo maana wengi Wao wanatumia sana Dawa za Kulevya na hupenda pia Kufakamia hovyo Supu ya Pweza na kudanganyika kutumia Vumbi la Kongo “

Ni matumaini yangu makubwa mno kuwa mara baada ya Kukurupuka Kwake kutoa Kauli hii basi Steve Nyerere atakuwa tayari ameshajiandaa Kisaikolojia kwa ama majibu atakayopata kutoka kwa Wasanii au Vipigo vya uhakika kutoka Kwao kwani najua kuwa kuna Wasanii wengine huko nyuma Historia zao za Kimaisha walishakuwa Mabondia wazuri tu wa Ngumi za Ridhaa na wengine ni Wacheza Kung Fu na Karate wazuri sana.

Kazi ipo!
 
Back
Top Bottom